Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo tatu au zaidi ya hiyo kila wiki?

500,000 x 2/100 = 10,000

Kwamba faida Ni 10,000 ?
 
Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo 3 au zaidi ya hiyo kila wiki, au biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka
Kiongozi i am sorry kwani hizo hela umeziokota au umehongwa? How come upambane kupata 25M na usijue nini cha kufanya nayo?
 
We jamaa umefanya mwana aonekane hayuko serious na hajui anataka nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Apa hakuna ukweli,haiwezekan ukapata 2% kwenye mauzo ya siku km faida.Kama hvyo biashara nyng zingekua zishafungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ