Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

A
Unaweza kufungua kituo cha mafuta,Tank 3 kama 150m, moja ya diesel, nyingine ya mafuta ya taa na nyingine ya petrol.
pump 3 kama 18m. Jenga Jengo dogo la kiushikaji kama ofisi, nunua sehemu kando ya barabara unaweza tumia kama 20M na 30m kujenga jengo dogo la kiushikaji kwa ajili ya ofisi.Kopa kama 200m nyingine anzia hapo.
Aisee
 
Back
Top Bottom