Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Tangia mwaja jana ww unadhani bado ipo?Sikia nenda crdb uongee nao ili uwekeze kwenye hati fungani,utapata faida na pesa zako zitakuwa salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangia mwaja jana ww unadhani bado ipo?Sikia nenda crdb uongee nao ili uwekeze kwenye hati fungani,utapata faida na pesa zako zitakuwa salama
AiseeUnaweza kufungua kituo cha mafuta,Tank 3 kama 150m, moja ya diesel, nyingine ya mafuta ya taa na nyingine ya petrol.
pump 3 kama 18m. Jenga Jengo dogo la kiushikaji kama ofisi, nunua sehemu kando ya barabara unaweza tumia kama 20M na 30m kujenga jengo dogo la kiushikaji kwa ajili ya ofisi.Kopa kama 200m nyingine anzia hapo.
ok sawaTangia mwaja jana ww unadhani bado ipo?
Itakuwa iliisha etiok sawa