Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Kuwa agent wa kiriba original baada ya miezi 2 ama 3 utakuja nipa report...inawafanya watu kuwa millionaire
 
mi nashauri ufungue company ya utoaji wa mikopo midogo midogo,in the mean time nakufuata PM nina private proposal!
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
Tushirikiane. Nina ardhi yenye maji yakutosha na utaalam wa ufugaji samaki. Toa 50 tufanye kazi.
 
Hivi ni benki gani mkuu nami nataka niweke hela zangu huku nikifiria nifanye biashara gani hapo baadaye

unataka biashara inayoingiza faida kiasi gani kwa mwaka? Upo tayari juchukua risk ya kiasi gani?

Kuweka benki kwa fixed deposit inaweza kuwa njia nzuri kama hutaki kujishughulisha moja kwa moja na usimamizi wa kila siku wa biashara au sehemu utakayoweka mtaji wako. Kuna benki wanatoa asilimia 11 au zaidi kidogo kwa mwaka. Interest kama ukitaka inaweza kuingia kwa account yako on a monthly basis. So kwa hizo tzs 270m unaweza kuwa unapata kama tzs 2.5m kwa mwezi huku ukiendelea kufanya shughuli zako kama kawaida. Unaweza kutumia benki mbili au tatu ili kupunguza risk (usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja!)
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hivi ni benki gani mkuu nami nataka niweke hela zangu huku nikifiria nifanye biashara gani hapo baadaye
Mara nyingi rate huwa ni negotiable (pamoja na kuwa bank inaweza kuwa na limits zake) na inategemea kiwango unachoweka. Nafahamu Standard Chartered wanaweza kutoa 11%, kama una fix-deposit TZS 50m na kuendelea. TIB pia nao wanaweza kutoa kiwango rate hiyo ila sina uhakika na minimum fix deposit wanayotaka.

Ukishindwa benki, nikopeshe mie nikupe 13%!:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
 
ngoja nitajaribu hiyo beni ya standard charter kama ulivyonishauri nione ikoje?
Mara nyingi rate huwa ni negotiable (pamoja na kuwa bank inaweza kuwa na limits zake) na inategemea kiwango unachoweka. Nafahamu Standard Chartered wanaweza kutoa 11%, kama una fix-deposit TZS 50m na kuendelea. TIB pia nao wanaweza kutoa kiwango rate hiyo ila sina uhakika na minimum fix deposit wanayotaka.

Ukishindwa banki, nikopeshe mie nikupe 13%!:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hivi ni benki gani mkuu nami nataka niweke hela zangu huku nikifiria nifanye biashara gani hapo baadaye

Dar es Salaam Commercial Bank (DCB) ukianza na m150 kwa fixed deposit mwaka mzima wanakupa riba 13% ikifika 200 na kuendelea wanakupa 15% kama interest.
Wewe tu ndugu yangu!
 
kaka vp? Yaan milioni 270 tu unauliza kua nimezipataje?....hahaha kwel Tz bado saana,,...mbona pesa ya kawaida sana? Na wenye kumiliki Mabilioni nao watasemaje?..,,,au huo ndo urithi wa mawazo uloachiwa na babu yako Nyerere?? ok nna nyumba kadhaa nimerent wazungu kwa dollars maeneo ya mbez na msasan,,...na mbal na hapo nna v mpesa,,...tigopesa na maduka kadhaa mjini,,...ni ayo tu kwa ufupi hope umenielewa

Mpuuzi wewe!!! Kumbe unajua biashara afu unakuja kutibua wana JF? Unavyosema huna experience na biashara ulikuwa unamaanisha nini? Seriously utakuwa una 270, 000/= tuu hapo ulipo
 
Me najitolea kukuoa ili tuwe na muda mzuri wakupanga mirad ya kufanya
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Sembe inalipa mkuu
 
Mpuuzi wewe!!! Kumbe unajua biashara afu unakuja kutibua wana JF? Unavyosema huna experience na biashara ulikuwa unamaanisha nini? Seriously utakuwa una 270, 000/= tuu hapo ulipo
Siyo ajabu wala siyo za kwake kambahatisha mzungu kamwambia atafute cha kufanya.Yapaswa ujiulize kazipataje hizo?kwa nini asiendelee na hicho kilichofanya akapata pesa hizo?
 
Mama kwa pesa kama hiyo kuzungumza juu haitasaidia kutimiza lengo, karibu ofisini kwetu OMEGA CONSULT LIMITED tupo Sinza Kumekucha near Fine Travellerz Hotel, tunadili na wajariamali wadogo,wakati na wakubwa, njoo tukupe ful mchanganuo wa biashara na mawazo ya miradi na kile utakachokifanya na kukupa faida madufu ya utakachokiwekeza kwa mda mchache...tunaexperience ya miaka 5 na kazi yetu, Wajasiriamali wengi waliopitia kwetu wapo mbali sanaaaa.... kwa mawasiliano: 0714-074040,0785074040, karibu sana.
 
Mama kwa pesa kama hiyo kuzungumza juu haitasaidia kutimiza lengo, karibu ofisini kwetu OMEGA CONSULT LIMITED tupo Sinza Kumekucha near Fine Travellerz Hotel, tunadili na wajariamali wadogo,wakati na wakubwa, njoo tukupe ful mchanganuo wa biashara na mawazo ya miradi na kile utakachokifanya na kukupa faida madufu ya utakachokiwekeza kwa mda mchache...tunaexperience ya miaka 5 na kazi yetu, Wajasiriamali wengi waliopitia kwetu wapo mbali sanaaaa.... kwa mawasiliano: 0714-074040,0785074040, karibu sana.

naona mnatapatapa kwa uchu wa hiyo hela, mtu mwenyewe anazingua..wala hana hiyo hela!
 
sana tu 13 mega pixel.mwambie uyo demu wa wataliano.mwambie aangalie sana,maana wataliano ni wa baya kwa TIGO.
 
Back
Top Bottom