mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Dada Unamapesa Mengi, Nigawie Mdogo Wako Laki Sita Nifuge Kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quick and simple advice mdogo wangu, chukua pesa yako kafungue fixed account endelea kupiga kazi mpaka pale utakapokuwa tayari kufanya biashara. Au kanunue fixed asset kama nyumba tena nakusistizia siyo kiwanja. Nasema hivyo sababu ya hizi sentensi zako mbili "Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida"
Lakini pia kumbuka biashara inahitaji hashiki, shauku na matamanio ya kile kitu unachokwenda kufanya ili hata pale utakapoangua hivi vitu vitatu vitakushawishi uamke na ujipanguse na kuanza tena vita upya. Pia inataka kujitoa lakini usipokuwa makini hiyo 270 milioni utazitia mtaroni mdogo wangu halafu utajuta. Mwisho, huu ushauri wangu utakuwa hauna maana kwenye biashara yoyote ile kama wewe mwenyewe hauna shauku navyo hivyo vitu vine nilivyosisitizia hapo juu. Mshauri wa biashara atakushauri jinsi ya kufanya biashara lakini si aina gani ya kuafanya hii yote sababu biashara inaanzia moyoni mdogo wangu.
Salaams Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!
Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!
Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??
N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
Dawa ndo biashara hot kwetu tz. Km Unataka kumiliki Zaidi ya hivo Vicente ulovo navo dawa ndo kila kitu.
Nyumba utaijenga kwa Tshs 70Mil, na kupangisha kwa labda Tshs laki 7 kwa mwezi. So itachukua miezi (Tshs 70Mil/Laki 7) = Miezi 100 (miaka 8) kurudisha hela.
We bana ingia kwenye Kilimo kama vipi. Nunua mashamba au hata kodisha mashamba na ulime. mazao kama Mpunga na Ufuta yanalipa sana. Ufuta ukiuzia shambani ni Tshs 2,500/= kwa Kilo, na ukiuzia kwa wachina au wahindi wa kurasini ni Tshs 4,000/= kwa kg. Heka moja yaweza kutoa mpaka magunia 8 au 10, so utakua na hela yako ndefu tu.
Halafu hela kama hizo usizifanyie pupa. Kama ni hela "umepiga" mahali (sorry kama sio) hua zinakuaga na mzuka sana, but kama umezichanga kidogo kidogo utakua umezizoea, so zisikupe presha sana. Ukitulia unaweza ukazizalisha sana.
Otherwise angalia pia na sisi wanaume, wengine ukitupata tuta-act kama "mario", then hela zikaisha.
Ni hayo tu.
Anatuyeyusha huyo kama hamna mtu mwenye hela kama hyo aje kuuliza utumbo humu ndani anakuja kupima watu wapo vp.
kuna biashara itakayokuingizia zaidi ya 270 million mama? u r in a age range ya 20 - 30 n u av 270 ml am sure ulizifanyia kazi bs endelea na hyo kazi
Salaams Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!
Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!
Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??
N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
chonga boti za uvuvi wa samaki baharini weka pale kunduchi zisizo zidi kama kumi tafuta msimamizi kila boti kima cha chini itakuletea laki nne kwa siku hapo unakuwa umeshatoa matumizi na posho za wavuvi na ya msimamizi wako ndo unabakiwa na hicho kiasi kwa boti kumi kwa siku ina maana kila siku unalaza milioni 4. Kwa mwezi piga mahesabu utajua utakuwa unapata sh ngapi....na kwa mwaka pia utajua unapata sh ngapi. Hyo ni biashara ambayo aumizi kichwa.
wow ukiwa creative tht is alot of money! mimi ni expert wa mambo ya ujasiriamali na kama hayo na ni consultant wa business na entrepreneurship, u can contact me, na in the mean time, kuwa open minded na kila unapopita angalia gaps utagundua opportunities.
N.B ukiamua kusubiri pls lend me 100,000 na riba, nitafanyia kazi nitakurudishia ndani ya a very short period of time. please! wishing u all the best
Salaams Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!
Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!
Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??
N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
Kula bata, nenda vacation, choma kama 50m Kujionea dunia then ukirudi utapata akili paku invest. Ukikurupuka utashangaa ume invest biashara kibao lakini faida hamna anyways its your call. All the best.
Katoa fungu la 10 kwa mzee wa upako au Rwakatare uwe unakaa siti za mbele.