Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Dada Unamapesa Mengi, Nigawie Mdogo Wako Laki Sita Nifuge Kuku
 
Dadaangu Kuwa Kakini Na Wadau Wanao Taka Mkutane Hzo Fedha Ni Nyingi. Jaribu Biashara Ya Gesi Nasikia Inalipa, Unaweza Kuingia Katika Kilimo Cha Alizeti Singida Kinalipa Sana Na Nicha Uhakika
 
Quick and simple advice mdogo wangu, chukua pesa yako kafungue fixed account endelea kupiga kazi mpaka pale utakapokuwa tayari kufanya biashara. Au kanunue fixed asset kama nyumba tena nakusistizia siyo kiwanja. Nasema hivyo sababu ya hizi sentensi zako mbili "Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida"


Lakini pia kumbuka biashara inahitaji hashiki, shauku na matamanio ya kile kitu unachokwenda kufanya ili hata pale utakapoangua hivi vitu vitatu vitakushawishi uamke na ujipanguse na kuanza tena vita upya. Pia inataka kujitoa lakini usipokuwa makini hiyo 270 milioni utazitia mtaroni mdogo wangu halafu utajuta. Mwisho, huu ushauri wangu utakuwa hauna maana kwenye biashara yoyote ile kama wewe mwenyewe hauna shauku navyo hivyo vitu vine nilivyosisitizia hapo juu. Mshauri wa biashara atakushauri jinsi ya kufanya biashara lakini si aina gani ya kuafanya hii yote sababu biashara inaanzia moyoni mdogo wangu.


Haya ni Maneno Kuntu,Maneno ya mtu aliyesheheni uzoefu wa Maisha,Full Hekima!!!

 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Habari!
Mimi ni mtaalam wa uchumi kilimo na biashara, huwa naandika miradi mbalimbali hivyo hebu nichek kwa0713659828 ili tushauriane kuhusu biashara sahihi.
 
As I can see you,have the money But no time to supervise your business, by share in twitter company, facebook, emirate airline, sun-city, dstv, total etc
Or,beter still nipe msaada wa sh.1T.sh only
 
kuna biashara itakayokuingizia zaidi ya 270 million mama? u r in a age range ya 20 - 30 n u av 270 ml am sure ulizifanyia kazi bs endelea na hyo kazi
 
kwa kiwango kikubwa cha fedha kama iki na mtu kama wewe invest in shares or fdr( fixed a/c).honestly hatufanani mwenzio am graduate ninamawazo mazuri sana ya busnes but capital ata laki3 cna my sister ikukupendeza nisaidie.but all in all utafanikiwa.
 
Dawa ndo biashara hot kwetu tz. Km Unataka kumiliki Zaidi ya hivo Vicente ulovo navo dawa ndo kila kitu.

Ntunzu natamani kufanya hiyo biashara ya Dawa! Ni dawa za binadamu au mifugo? Msaada ndugu
 
Nyumba utaijenga kwa Tshs 70Mil, na kupangisha kwa labda Tshs laki 7 kwa mwezi. So itachukua miezi (Tshs 70Mil/Laki 7) = Miezi 100 (miaka 8) kurudisha hela.

We bana ingia kwenye Kilimo kama vipi. Nunua mashamba au hata kodisha mashamba na ulime. mazao kama Mpunga na Ufuta yanalipa sana. Ufuta ukiuzia shambani ni Tshs 2,500/= kwa Kilo, na ukiuzia kwa wachina au wahindi wa kurasini ni Tshs 4,000/= kwa kg. Heka moja yaweza kutoa mpaka magunia 8 au 10, so utakua na hela yako ndefu tu.

Halafu hela kama hizo usizifanyie pupa. Kama ni hela "umepiga" mahali (sorry kama sio) hua zinakuaga na mzuka sana, but kama umezichanga kidogo kidogo utakua umezizoea, so zisikupe presha sana. Ukitulia unaweza ukazizalisha sana.

Otherwise angalia pia na sisi wanaume, wengine ukitupata tuta-act kama "mario", then hela zikaisha.

Ni hayo tu.

Nimecheka sana hapo mwishoni! Ila ni kweli Mkuu!
 
Katoa fungu la 10 kwa mzee wa upako au Rwakatare uwe unakaa siti za mbele.
 
kuna biashara itakayokuingizia zaidi ya 270 million mama? u r in a age range ya 20 - 30 n u av 270 ml am sure ulizifanyia kazi bs endelea na hyo kazi

Nyie watu siyo waelewa kuna fedha zingine zinakuja kwa deal mara moja unapiga hela! Nyingine urithi, kwa hiyo si ajabu mtu hana uzoefu au idea kabisa ya biashara na akawa na capital Mkuu!
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Fanyia hiyo hiyo kazi iliyokupatia hizo 270!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
chonga boti za uvuvi wa samaki baharini weka pale kunduchi zisizo zidi kama kumi tafuta msimamizi kila boti kima cha chini itakuletea laki nne kwa siku hapo unakuwa umeshatoa matumizi na posho za wavuvi na ya msimamizi wako ndo unabakiwa na hicho kiasi kwa boti kumi kwa siku ina maana kila siku unalaza milioni 4. Kwa mwezi piga mahesabu utajua utakuwa unapata sh ngapi....na kwa mwaka pia utajua unapata sh ngapi. Hyo ni biashara ambayo aumizi kichwa.

Aiseee!......Boti moja shilingi ngapi Mkuu! Hata kwa siku ukilaza milioni si mbaya kama kweli! Mkuu ni pm no yako please!
 
wow ukiwa creative tht is alot of money! mimi ni expert wa mambo ya ujasiriamali na kama hayo na ni consultant wa business na entrepreneurship, u can contact me, na in the mean time, kuwa open minded na kila unapopita angalia gaps utagundua opportunities.
N.B ukiamua kusubiri pls lend me 100,000 na riba, nitafanyia kazi nitakurudishia ndani ya a very short period of time. please! wishing u all the best

Hamkawii..kulia njaa..hahahha
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Kula bata, nenda vacation, choma kama 50m Kujionea dunia then ukirudi utapata akili paku invest. Ukikurupuka utashangaa ume invest biashara kibao lakini faida hamna anyways its your call. All the best.
 
Kula bata, nenda vacation, choma kama 50m Kujionea dunia then ukirudi utapata akili paku invest. Ukikurupuka utashangaa ume invest biashara kibao lakini faida hamna anyways its your call. All the best.

nakuunga mkono mdau
 
Back
Top Bottom