Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Fanya biashara mojawapo kati ya hizi ,
1. Kauze "unga " a, soko kuu lipo china or sauzi
2. Kasafirishe twiga au meno ya tembo.
3.Kauze flana na kofia za MAGAMBA (ccm).
 
Upo nchin au nje ya nchi kwa kuanzia please check africa_do_ business com then other information waweza ni PM,ALL THE BEST
 
Dada yangu njoo tufanye biashara pamoja, biashara ya uhakika. Unaweza kuwekeza ukawa unapata less yako bila kutoka jasho
 
kweli JF haiishiwi vituko...we mwenyewe unasema huna kabisa experience ya biashara then unasema na vim-pesa tigo-pesa sijui na maduka mjini....kadanganye watoto wenzako!!
 
mabata madogo madogo yanaogelea........ yanaogelea katika shamba zur la bustaniiii.... yanapenda kulia kwa kwa kwa.,,,,,
 
Hongera mkuu Dancani , mie mwenyewe nilishindwa kuelewa! Mara nyingi kwa akili ya kawaida mtu huwezi kutafuta kiasi cha mil. 270 na usiwe walau na wazo la biashara yoyote na kuleta kwa wadau ili waliborehe! kiuhakika frankly speaking, kama huna wazo la biashara tulia kwanza kwani unatakiwa uwe makini sana na kwanza kufanya research ya biashara utakayoiona profitable na kufanya business and entrepreneurship consultation kwa makini la sivyo matapeli watakuingiza mjini! wishng you all the best!!!
Umezipataje mpka ushindwe kujua nini cha kufanya? au wakati unazisaka ulikuwa na malengo gani?
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa naupitia uzi huu kwa nia na lengo la kuona kama mleta uzi yuko serious kulingana na wachambuzi wa JF. Nami nikaona nitupiemo kawazo kangu. Kama uko serious basi niPM ili tuzungumzie biashara ya UMASTERDEALER wa gemstones. Mimi nina source ya kupata gemstones, wewe una pesa, I think we can team up. Haya funguka mwana JF.
 
Mkuu..samahani idea ya mafuta utamuua huyu dada na oresure..sehem pembezoni na barabara kwa mjubi si chini ya 300mil. Sasa hapo hela yake tu haitoshi..kwa kua anaanza biashara yoyote atakayoichoose aifinance na equity 100%..hakuna haja ya kukopa..mimi naweza mpa ushauri wa finance..hiyo ndo fan yangu
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Kama bado hujapata wazo bora, njoo tulime na kufuga kama tunavyofanya wenzako.
 
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!

Usituletee majambazi kwenye jamiiforum wengine hatuna fedha. Watadhani sote tuko na mafedha mengi namna hiyo.
 
Kama kweli source ni salary na vibiashara vidogo kama mpesa nakushauri wekeza kwenye asset kubwa wakati unaendelea na hizo ndogo. Kuna viwanja bahari beach mji wa mfano vinauzwa cha bei ya chini 69ml kama sikosei. Jenga nyumba na utapangisha. ingawa hela haitarudi kwa kasi uliyoingizia ila value ya hii asset inakua siku kwa siku.
 
Nunua share za TTC, TBL, Barick Goldmine etc au halafu utapat akili tu. Au nunua GVT paper.
 
Hii ni kweli au hadithi? Milioni 270 zenyewe zimeingiaje? Za mshahara au urithi? Nauliza coz hicho ni kiasi kikubwa sana kuingia kwa kudunduliza mshahara, na kama ni biashara si uendelee nayo hiyo hiyo? Ingawa bado naona unasema utaalam wa biashara huna.....
 
Naamini wewe hauna pesa tena waweza kuwa mpiga mzinga wenzio tu kitaa based on the following: Mosi=umejidai hufanyi biashara lkn unajichetua una tigo,voda pesas business, pili= umepangisha wazungu majumba wapokea dola: Back to the point kama wewe kweli ndiye umeonja fedha kutoka vyanzo hivyo umekomaa usingekuja kutafuta kick mara oooh ----------usipotezee wenzioo muda halafu hasira kama mpiga debe kadhulumiwa 100 lol
 
Back
Top Bottom