Hapana ndugu kwa sahivi swala la ujenzi tunataka kuliweka pembeni tutakachozalisha kutokana na biashara tunaweza kukitumia kujengea uku mtaji ukiwa unaendelea kupumua maana kwenye ujenzi siku zote ni kutoa tu wala sio kuingiza ndugu ni sawa na mshahara wa sisi waajiriwa tunatoa tu hakuna backupMilioni 45 ushindwe kujenga na kumaliza?
Unaweza nunua hata pagala kuna mapagala unanunua 20 unatumia million 10 kumalizia..
Naona wewe ulivyojenga mwanzo ulipigwa Sana na mafundi..
Namtakia mafanikio mema lakini kuna kila dalili ya mtu kulizwa hizo fedha hata kabla hajaanza biashara. Dalili zote zinaonyesha hivyo. Kweli dunia ya leo unaonyesha nyama uliyobeba kwenye kundi lenye mafisi?Mzidi kuajiriwa tu 9am-5pm...
Kama ni kweli, nyie siyo wajasiriamali...haiingii akilini, vichwa viwili mume na mke mchukue mkopo halafu kama mazuzu hamjui nini mnataka kufanya..
Mzitoe hizo hela benki mlale nazo kitandani!
Everyday is Saturday.......................... 😎
Nashukuru kwa ushauri wako ngoja namimi niendelee kupambanua kupitia jukwaa ili maana nimeisha jifunza mengi naona kuna Fulsa nyingi lazima ntaona zile ambazo naweza kupambana nazo kutokana na kazi ninayoifanya na mda ntakaokuwa na upata ila nimejifunza kitu kikubwa kumbe ukitaka kufanikiwa kwenye biashara lazima upambane mwenyewe ndo maana waliopata ndo wale wale.Namtakia mafanikio mema lakini kuna kila dalili ya mtu kulizwa hizo fedha hata kabla hajaanza biashara. Dalili zote zinaonyesha hivyo. Kweli dunia ya leo unaonyesha nyama uliyobeba kwenye kundi lenye mafisi? Hata kama hatalizwa (tena na member(s) kutoka hapa hapa) akifanya biashara uwezekeno wa kufanikiwa ni mdogo. kisumapai ni bora kama huna wazo lolote kwa sasa basi chukuwa fedha zote, tafuta benki yenye riba nzuri, weka fixed kwa muda wa mwaka au miezi sita, ili upate muda wa ku-research utafazifanyia nini.
Ushauri BORA sana tatizo bado itakatika sababu mkopo 20% FDR ya juu 11%Namtakia mafanikio mema lakini kuna kila dalili ya mtu kulizwa hizo fedha hata kabla hajaanza biashara. Dalili zote zinaonyesha hivyo. Kweli dunia ya leo unaonyesha nyama uliyobeba kwenye kundi lenye mafisi? Hata kama hatalizwa (tena na member(s) kutoka hapa hapa) akifanya biashara uwezekeno wa kufanikiwa ni mdogo. kisumapai ni bora kama huna wazo lolote kwa sasa basi chukuwa fedha zote, tafuta benki yenye riba nzuri, weka fixed kwa muda wa mwaka au miezi sita, ili upate muda wa ku-research utafazifanyia nini.
Asante kwa ushauri ndugu je kwanini usinipe idea ya kufanya chochote ambacho unaona kinaweza kunikomboa kuliko kurudisha pesa je kama nikiendelea kuogopa angali bado kijana je siku watoto wangu wakishindwa kwenda shule kwa sababu ya kipato kidogo ninachokitegemea je hapo ntakuwa nimejikomboa?POLE SANA, Nakuomba sana hiyo pesa irudishe bank au kwa hao waliokukopesha haraka, Pesa ngeni, kazi ngeni , wewe mgeni kwa hakika hiyo ni BALAA, Pesa bila PLAN ni balaa..
Sio kila pesa ni neema inategemea umeipataje na uzoefu nayo na uzoefu wa kazi yake pia n.k,,,
Mimi ni mjasriamali pia tena mzoefu kiasi changu, kwa miaka hii ya karibuni tena kwa shughuli za kuchanganya mikono ya watu au kutumia watu, HAKIKA HAKUNA BIASHARA YA MKOPO 100% ITAKULIPA tegemea maumivu na hasara kubwa BORA UZIRUDISHE HIZO PESA.
Bank au mikopo mingi Riba ni kuanzia 18% na kuendelea na biashara nyingi zinazolipa sana
zinazosifiwa huishia 8% hadi 13% kwa mwaka baada ya kuondoa gharama zote, fatilia
sasa wewe ukodi pesa kwa 20% mfano na zikuzalishie 12% UTAPONA ? ?
Aidha uwe tayari kujifunza biashara/ujasriamali kabla ya kustaafu kwa KUZIPOTEZA HIZO 45 mln na zinaweza kuisha na usielewe chochote ukaambulia kuchanganyikiwa - BAHATISHA
Nikiwa mjasriamali ni DHAMBI SANA KUMKATISHA TAMAA Mjasriamali anayeanza.
Ushauri wangu anza kidogo kidogo bila mkopo au 30/70 mtaji yaani mkopo 30% isizidi kwa mtaji mali yako iwe 70% ukijiwekea malengo makubwa hata kama utaanzia Sh 5mln tu huko 45 mln utafika tena salama na ari nzr na zaidi,
Washauri wamejaa kila aina ya biashara kwa mitazamo yao TATIZO hawana takwimu linganishi za kukusaidia kuamua badala yake sawa na chukua 45mln ukacheze kamali..
Ni kweli mkuu ila nimeona jamaa ana kiherehere sana. Ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Kosa kubwa alilofanya ni kuchukuwa mkopo bila kuwa na plan au uzoefu wa biashara. Asipokuwa makini anapigwa hapa hapa na hatajua amepigwaje.Ushauri BORA sana tatizo bado itakatika sababu mkopo 20% FDR ya juu 11%
Huyu ataweza hata kuzipeleka kanisani ba mchungaji akaziombee na akaziacha huko huku akilipa marejesho..Namtakia mafanikio mema lakini kuna kila dalili ya mtu kulizwa hizo fedha hata kabla hajaanza biashara. Dalili zote zinaonyesha hivyo. Kweli dunia ya leo unaonyesha nyama uliyobeba kwenye kundi lenye mafisi? Hata kama hatalizwa (tena na member(s) kutoka hapa hapa) akifanya biashara uwezekeno wa kufanikiwa ni mdogo. kisumapai ni bora kama huna wazo lolote kwa sasa basi chukuwa fedha zote, tafuta benki yenye riba nzuri, weka fixed kwa muda wa mwaka au miezi sita, ili upate muda wa ku-research utafazifanyia nini.
Kwasababu hukujiandaa kuchukua mkopo nunua Jenga nyumba nyingine weka wapangaji my friend. Hizo business ulizozitaja inabidi angalau uwe experienced kidogoMimi pamoja na mke wangu ni watumishi wa serikali tumekaa pamoja tumeshauliana tumeamua kuchukua mkopo wa mil 45 lakini tatizo tulilonalo hatuna idea yoyote ya biashara maana kazini tunaenda asubuhi na kurudi jioni.
Japo mungu ametujalia tumeweza kujikwamua na kujenga nyumba ya kuishi maeneo ya boko chasimba.
Shida yangu kwenu je ni biashara gani naweza kufanya ili tuweze kujipatia kipato cha ziada bila kuaribu utaratibu wa kazi maana ikifika tarehe 14 wote tunakuwa tumeishiwa tunabakia ndani kuangalia CD za kikorea na kijapani.
Mawazo niliyokuwa nayo ni÷
1. Ninunue daladala ya habiria.
2. Ninunue bodaboda 5
3. Ninunue bajaji mbili
4. Nifuge kuku wa nyama
Maana siwezi kuweka fixed account kwakuwa pesa yenyew ni ya mkopo ushauri wenu ndugu zangu lakini wazo la daladala ndo tumelipa kipau mbele kikubwa naomba kwa mwenyewe uzoefu na iyo biashara ya daladala anipe msaada kwa umakini maana makato ya miaka 5 sio powa kabisa
Asante kwa ushauri ndugu hakika mawazo yako ntayafanyia kazi japo kuna neno moja umelitumia la kusema nina kiherehere usijal kuhusu ilo pia iyo ni njia ya kufikisha ujumbe ili uwe na uzito fulaniNi kweli mkuu ila nimeona jamaa ana kiherehere sana. Ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Kosa kubwa alilofanya ni kuchukuwa mkopo bila kuwa na plan au uzoefu wa biashara. Asipokuwa makini anapigwa hapa hapa na hatajua amepigwaje. Ni kosa sana kutangaza una fedha kiasi fulani, na unataka kuzifanyia shughuli ambayo huna uzoefu nayo. Labda anaona kwa sababu hapa username yake haiwezi kumtambulisha lakini nimeshaona dalili ya watu kufukizia. Ni watu walivyo wajanja watamlanisha kidogo kidogo mpaka aingie kingi, wapige. Naanza kuona dalili ya watu kujitolea hata kupoteza milioni kadhaa ili wamweke sawa aingie kingi.
Au ni chai piaUnunue bajaj 2 au boda boda 5 alafu hela inayobaki je?
Ulikosea mkuu kuchikua mkopo huku huna cha kufanyia.
Angalizo kwenye hii biashara ya mpunga.Gunia la mpunga hivi sasa ni 42000 anaekununulia anakula 2000 kwakila gunia pia ushuru kila gunia1500 usafiri kwakila gunia kutoa porin hadi stoo2000 vibega kupakia na kushusha1000 mfuko wakuhifadhia tsh800 wafuata mpunga polini ndani ndani kila gunia1000 kuhifadhi stoo1500 kwaiyo gharama zote pamoja ununuzi gunia litakua ni 51800 utakuja kuuza kila gunia ifikikapo december kwa kima cha chini soko likiwa baya utauz tsh 80000 kwaiyo utakua na faida ya tsh 28200 kwa kila gunia.ila ukitaka usiuze mpunga uje uuze mchele yaan ukoboe huo mpunga uwauzie walanguz wa mchele wanaotaka dar uganda nakwingneko gharama itaongezeka kwenye kukoboa ambayo kila kilo utakobolea tsh50 kwaiyo gunia la kilo tisini utalikoboa kwa tsh3000 hapo mchele bei ya jumla utakuta imefika 1700 kwaiyo utazidisha mara kilo60 kila gunia ndo litao hizo kilo za mchele kwaiyo utapata faida ya tsh 47200 sasa zidisha mara gunia utakazo kua na zo stoo utaona faida kias gani umepata ndani ya miez isiyo zidi 10
Hapo hapo unatoa njia ya kufanya , hapo hapo unasema haiwezekani.. confused mindSio bongo hii....africa bila kusimamia kitu chako mwenyewe au kama huna uzoefu nacho basi we subiri maumivu au kama ukifanikiwa shukuru Mungu.
Hapo hapo unatoa njia ya kufanya , hapo hapo unasema haiwezekani.. confused mind
Kwa kazi yangu si ruhusa kusafir nje ya mkoa pasi na likizo ndugu
Ingekua vema,mmoja wenu apige chini iyo kaziWote tumekutana makazini ndugu
Nimekuelewa vema, vigezo vya mafanikio ya ujasriamali ni vingi na hasa inategemea na mhusika mwenyawe(management, skills, knowledge etc) mazingira (fursa, rasilimali-mtaji,vitendeakazi, n.k)Asante kwa ushauri ndugu je kwanini usinipe idea ya kufanya chochote ambacho unaona kinaweza kunikomboa kuliko kurudisha pesa je kama nikiendelea kuogopa angali bado kijana je siku watoto wangu wakishindwa kwenda shule kwa sababu ya kipato kidogo ninachokitegemea je hapo ntakuwa nimejikomboa?