Nina Milioni 45, msaada wanaJF

Mtu hajawahi kufanya biashara,
afu ndo aanze na utitiri wa biashara.

Tena Ela yenyewe ya mkopo.

Duh! Wallahi mtaita ambyulensi presha itakapopanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua shamba panda miti hata zikiisha zitaonekana zilifanya nini na watoto wako watakuja kuishi maisha ya ukwasi bila nguvu nyingi.
 
Ushaur mzuri, ila Tatizo lenu hamuwaambiagi na changamoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua huu ushauri mtoa mada[emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uje kuvuna baada ya miaka kumi na tano....hiyo inahitaji mtu mwenye hela ambayo ni ya akiba na sio ya mkopo
Nunua shamba panda miti hata zikiisha zitaonekana zilifanya nini na watoto wako watakuja kuishi maisha ya ukwasi bila nguvu nyingi.
 
Uko sahihi brother...mkopo si wakuanzishia biashara kamwe, mkopo huwa ni wa kuendelezea biashara!
 

Kila mtu anakimbilia biashara ya kuku
Wacha uingie uone changamoto zake
 

October mana wewe ni mpambanaji sana Heshima yako mkuu
 
Kila mtu anakimbilia biashara ya kuku
Wacha uingie uone changamoto zake
Hii kauri sio Valid kwenye huu ulimwengu wa sasa hakuna Biashara ambayo akimbilii kilamtu karne hii.

1)kila mtu anakimbilia biashara ya bodaboda √
2)kila mtu anakimbilia biashara y uwakala √
3)kilamtu anakimbilia biashara ya bajaji √
4)kilamtu anakimbilia kulima √

Kwa kauri hiyo utatafuta Biashaara ambayo watu wengi wajaikimbia huipati na hutafanya biashara.
 
Dah! Basi tu yani. Kwa kuwa huna uzoefu na biashara ila unatamani kuingia kwenye daladala mimi ngoja nikushauri ila utaamua mwenyewe.

Badala ya daladala agiza IST zako za tu Japan ambapo utatumia kama mil 35 hivi halafu zifanye kazi ya uber ambapo utazikatia na bima kubwa jumlisha ma GPS. Hesabu yake ipo hivi.

Kwa wiki huwa malengo ni 200000 so kwa gari tatu itakua 600 ambapo kwa mwezi itakua unafunga 2m. Hiyo nadhani sio haba kwani usimamizi sio mkubwa pia gari inakua kwenye hali nzuri katika upande wa makenika hivyo mwaka wa kwanza itakua ni nafuu zaid kiuendeshaji wa bashara. Risk zipo kiasi.
Wewe ni jiran kabisa, ukipata nafasi pita hapa ANDO unisalimie
 
Kabisaaa labda akajenge vi apartment apangishe bas
 
100% sure!
 
Hiyo ndio sehemu pekee naona hela yake itabaki salama.
AF anasema eti hatoweza kumaliza kujenga! Yaani milioni 45 ushindwe kujenga kibanda cha uwani ukapangisha! AF unachuaje mihela yote ikiwa hauna plan yoyote!
Nawaonea huruma ye na mkewe maskini weeee!!! Mungu awasimamie LA cvyo!
 
AF anasema eti hatoweza kumaliza kujenga! Yaani milioni 45 ushindwe kujenga kibanda cha uwani ukapangisha! AF unachuaje mihela yote ikiwa hauna plan yoyote!
Nawaonea huruma ye na mkewe maskini weeee!!! Mungu awasimamie LA cvyo!
Watu wengine wana bahati baasi mil45 hujajipanga unaifanyia nini. Wamechukua tu.
 
Biashara ya daladala ni kichaa itakufilisi na utajuta hafu unachukuaje hela nyingi huna plan,naona ukifeli na kujuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…