Nina milioni 45, nifanye biashara ipi kati ya hizi?

Vipi mkonge maeneo ya mkuranga waweza stawi
mkuranga una stawi kwa maeneo ambayo ni makame zaid mana huwa haupnd maji meng (ni zao la ukame), lkn hapa utapata shida kidogo mana dar na pwani mashine za ku produce mkonge hazipo, na wafanyakaz utawatoa wapi wa kukuvunia jibu ni hapana....

Unatakiw kulima maeneo ambay yapo karb na shamba la mkonge ili waje kukuvunia na wakfnyie kila ktu.ww kaz yko ni kusoma account na kuagiza wa2 wakufyekee majani shambani tu....kama upo ofisini, burdaaaan unaznguka na kiti tu, huku account balance ikiwa high...huna presha..hutotaman kfny biashara mana utaona inakupa stress tu (sijasema biashara ni mbaya nieleweke)....mana huk hakuna mambo cjui nitafilisika cjui kuibiwa cjui kupata hasara..hiyo sahau.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinunue mpunga kama sio mzoefu maana utauziwa mpunga ulivunwa kwenye maji na mchele wake uwe biliani , nakushauli nunua trekta iliotumika toka nje Massey 165 hii NI ndogo sana lkn unauwezo wa kulima Shamba lako ekari 100 kwa mwaka na ukawalimia na majirani zako, biashara ya kilimo ukiwa na trekta anza na mashamba yako kwanza, hiyo Massey 165 unaweza pata kwa 21 milioni tafuta ile ya muingeleza , pesa inayobaki unaanzia kilimo na nakushauli ukitaka kulima anza na ekali chache kama 10 ili uwangalie changamoto za kilimo na mengeneyo ,sasa hapo ndio unaweza kulima mpunga baada ya kununua , au fungua duka la jumla la bidhaa mabali mbali , kama mafuta ya kula, sukari , nk, ukishindwa kabisaaa tengeneza chakula cha kuku au saga sembe uwe na mashine yako, hapa unaweza kuja mp nikakupa muongozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…