mkuu tumeingia ubia na mchina huwa inapelekwa china....uzuri wa hii kitu tabu ni mwanzoni kuupanda, ila ukishapanda sio kama miti kuwa kuna uangalizi mkubwa hapana, mana ni zao ambalo linastahamili ukame, baada ya miaka minne unavuna....uzuri wa hii huvuni ww.hupeleki kuproduce ww kila ktu unafanyiwa hata uwe unaishi wapi. wakat wa kvuna ukifika wapo wakataji watkuja kkvunia, hupeleki sokoni ww mana serikali ishatutaftia mchina ambaye ameshinda tender ya kuchkuwa mkonge tz nzima alaf mwisho wa sku oparation cost zote znakatwa...huwa tunalima kwa hekta na hekta 1 unauwez wa kutoa tani 3, na tani 1 ni mill 3. na hayo ni mahesab ya chini kabisaAaa....ndugu yng mmoja mwaka jana kavuna hekta 12 tu kapata mill 47...na uvunaji wake ni kila baada ya miezi 6, sema kwa sasa naona kama miez imeongezwa hiv ni around 9 months....ww hutokuwa na kaz yyte ni kuingiziwa pesa tu...njoo tanga huku upige pesa, kuna usemi unasema wazee wa tanga kutwa kwenye kahawa na bao,[emoji23]si uongo[emoji16] lakini siri yao kubwa ni hii...sema wanatmia sana pesa pasipo na malengo, nikiri kabisa kwa hili wangekuwa mbali sana kiuchumi..
hili zao ni tfaut na mazao mengne mana kilimo ni lazma ujitoe na utenge mda mwing kusmamia lasivyo unalia, ila kwa zao hili unaweza ukaenda shamban kwako mara 1 kwa miaka mitano[emoji23] kutembea tu...mpunga unaingia....
nipo shamba kwa sasa..[emoji23][emoji23]
View attachment 1453310View attachment 1453311
Sent using
Jamii Forums mobile app