Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

MTAU JR

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
216
Reaction score
305
Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya Uber na Bolt.

Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili nipo Dar es Salaam, natanguliza shukrani zangu nawasilisha [emoji120][emoji120]
 
Acha kabisa stori za kuambiwa eti biashara fulani inalipa utakuja kufa na presha, tulia huku ukijaribu kufanya tafiti taratibu nadhani utapata cha kufanya ila achana na mishe za bajaj, boda na Uber zimewapa vijana wengi ugonjwa wa moyo na kupoteza matumaini kabisa
 
Uber na bolt kwa upande wangu sikushauri, hiyo nj biashara kichaa unafaidisha kampuni na sio wewe, makato makubwa yaani 25 ya kila pesa unayopata kwenye 10k yao uber ni 2500 means unabakiwa na 7500 ambayo hio ijumuishe mafuta, maintenance na posho yako na bado hapo haujaenda sehemu ambayo huwezi kupata request hadi uchome uende sehemu zilichongamka.

Kwangu Mimi walau Go for bajaj unapigia pia uber coz haina maintenance kubwa au waza kwa upana zaidi jambo jingine. Na kwa hiyo bajet yako utapata mpya ambayo haitokusumbua ndani ya mwaka mzima not gari hii bajet utapata used au kama ni second hand showroom kuagiza labda passo au vitz nadhani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uber na bolt kwa upande wangu sikushauri hyo nj biashara kichaa unafaidisha kampuni na sio wewe, makato makubwa yaan 25 ya kila pesa unayopata kwenye 10k yao uber ni 2500 means unabakiwa na 7500 ambayo hio ijumuishe mafuta ,maintenance na posho yako na bado hapo haujaenda sehem ambayo huwezi kupata request hadi uchome uende sehem zilichongamka,
Kwangu Mimi walau Go for bajaj unapigia pia uber coz haina maintenance kubwa au waza kwa upana zaidi jambo jingine. Na kwa hyo bajet yako utapata mpya ambayo haitokusumbua ndani ya mwaka mzima not gari hii bajet utapata used au kama ni second hand showroom kuagiza lbda passo au vitz nadhan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa ushauri mzuri ubarikiwe sana .... vipi kuhusu biashara ya spea za magari madogo au spea kwa ujumla.. nipe mawazo
 
Kweli hadi sasa kuna watu wanawaza kununua bajaji ??? Unaweka milion 8 then unasubiria 20.000 au 15.000 kwa siku.??
Wakati hiyo elfu 20 hadi muuza chipsi mtaji wa laki 6 anapata.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri pia inaonekana una madini ... eb kama hutojali mwaga kidogo hapa ndugu naweza ambulia chchte ... natanguliza shukurani
 
Mkuu kabla ya uber na bajaji je iyo million 8 uliipata kupitia njia gani. Kama ni biashara basi fanya hivyo biashara kwa kuiboresha.

Uber na bolt iwe bajaji au gari ile ni kazi ya ziada kwa mtu mwenye chombo cha usafiri (lengo la kuanzishwa)kufanya biashara kuu itafika time itakuumiza utaona unaibiwa.

Kushauri, ongea na wenzako tazama wanafanya nini jikite kwenye biashara yoyote. Tena yafaa mwambie mtu una 1 million ili tamaa za wizi au kuibiwa zisiwaingie sana.

Ukiweza zalisha million 1.. weka 2.. hadi utafika 8
 
Kweli hadi sasa kuna watu wanawaza kununua bajaji ??? Unaweka milion 8 then unasubiria 20.000 au 15.000 kwa siku.??
Wakati hiyo elfu 20 hadi muuza chipsi mtaji wa laki 6 anapata.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Kila mtu angeuza chipsi kama hesabu 20,000 kwa siku kirahisi rahisi hivyo.
 
Kweli hadi sasa kuna watu wanawaza kununua bajaji ??? Unaweka milion 8 then unasubiria 20.000 au 15.000 kwa siku.??
Wakati hiyo elfu 20 hadi muuza chipsi mtaji wa laki 6 anapata.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Maajabu ya biashara haya kiongozi
Ila pia inategemea na muhusika anapenda nn cha kufanya
Mtu ananunua mini bus 10ml+ akisubir hesab ya 30k kwa siku 😳😳😳 wakat muuza chps kwa mtaj wa 500k anaingiza kwa siku 😀😀😀
 
Back
Top Bottom