Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya uber na bolt

Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili .. nipo Dar es salaam... natanguliza shukrani zangu ...nawasilisha [emoji120][emoji120]
Hiyo milioni nane umeipataje? umetumia muda gani kuipta hiyo milioni nane? Mi nafikiria ungeendelea kufanya hiyo kitu iliyokuingizia milioni nane, hizo biashara zingne ulizotaja ni pasua kichwa haswa kama utampa mtu. MIMI NAJUTA HAPA NA HIZI PIKIPIKI MBILI SIJUI NIUZE SCRAPERS?
 
Hiyo milioni nane umeipataje? umetumia muda gani kuipta hiyo milioni nane? Mi nafikiria ungeendelea kufanya hiyo kitu iliyokuingizia milioni nane, hizo biashara zingne ulizotaja ni pasua kichwa haswa kama utampa mtu. MIMI NAJUTA HAPA NA HIZI PIKIPIKI MBILI SIJUI NIUZE SCRAPERS?
Ok poa na vipi kuhusu biashara ya spea ... hasa spea za magari madogo , pikipiki, au hata vifaa vya simu
 
Asante mkuu kwa ushauri mzuri ubarikiwe sana .... vipi kuhusu biashara ya spea za magari madogo au spea kwa ujumla.. nipe mawazo
Yani milioni nane utanunua spear gani? Au utakuwa unauza side mirror na wiper pekee ???

Maana ukigusa vingine unaambiwa kila kimoja Malaki hapo haujakodi fremu na uichomelee watu wasiingie batini, aisee hiyo usiifikirie kabisa hata spear za Boda achana nazo.

Weka vibanda vya chips vinne sehemu zilizochangamka , nunua boda ya kuzungukia na kupeleka mkaa na viazi kwenye vijiwe vyako ukikomaa kwa siku hukosi laki nne kwa vibanda vuote hapo unaweka milioni zako tano tu mtaji tatu weka za Emergency.

Hata siku ukipata pungufu bado hauna hasara kwa mwezi
 
Mkuu 8m achana na hizo biashara kichaa..

Tafuta a single product ambayo inawateja,,, Agiza kutoka nje then weka margin ndogo tu (vunja bei) ili wateja wako wawe wauzaji wa hio bidhaa...

Hii infanya kazi katika kada yoyote ya biashara.... (Acha tamaa, chagua bidhaa moja tu)

Thank me later..
 
Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya uber na bolt

Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili .. nipo Dar es salaam... natanguliza shukrani zangu ...nawasilisha [emoji120][emoji120]
Kanunue mahindi Tunduma huko uje uongeze thamani, sambaza madukani.
2121087429.jpg
1520461913.jpg
 
Hiyo milioni nane umeipataje? umetumia muda gani kuipta hiyo milioni nane? Mi nafikiria ungeendelea kufanya hiyo kitu iliyokuingizia milioni nane, hizo biashara zingne ulizotaja ni pasua kichwa haswa kama utampa mtu. MIMI NAJUTA HAPA NA HIZI PIKIPIKI MBILI SIJUI NIUZE SCRAPERS?
Kwa nini mkuu huletewi hesabu au?
 
Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya uber na bolt

Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili .. nipo Dar es salaam... natanguliza shukrani zangu ...nawasilisha [emoji120][emoji120]
Achana na bajaj na gari fungua duka la spare
 
Mkuu kabla ya uber na bajaji je iyo million 8 uliipata kupitia njia gani. Kama ni biashara basi fanya hivyo biashara kwa kuiboresha.

Uber na bolt iwe bajaji au gari ile ni kazi ya ziada kwa mtu mwenye chombo cha usafiri (lengo la kuanzishwa)kufanya biashara kuu itafika time itakuumiza utaona unaibiwa.

Kushauri, ongea na wenzako tazama wanafanya nini jikite kwenye biashara yoyote. Tena yafaa mwambie mtu una 1 million ili tamaa za wizi au kuibiwa zisiwaingie sana.

Ukiweza zalisha million 1.. weka 2.. hadi utafika 8
mkuu ushauri wako mzuri Sana. Ila tatizo linakuja kwenye kukaa na hio 8ml aliyonayo jinsi ya kuisave isipungue Mana ukishika hela tu inatabia ya kuzaa matatizo ambayo utajikuta unaanza kuipunguza taratibu.
 
mkuu ushauri wako mzuri Sana. Ila tatizo linakuja kwenye kukaa na hio 8ml aliyonayo jinsi ya kuisave isipungue Mana ukishika hela tu inatabia ya kuzaa matatizo ambayo utajikuta unaanza kuipunguza taratibu.

Haizalishi matatizo bali wewe ndio unaruhusu changamoto ulizo zivumilia usizivumilie kisa sasa huko na pesa.

Unajua mtu huwezi kutoa ushauri pasipo mazingira. Mazingira kwanza ya favour kutambua wapi uwekeze na wapi usiwekeze.
 
Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya Uber na Bolt.

Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili nipo Dar es Salaam, natanguliza shukrani zangu nawasilisha [emoji120][emoji120]
Bora Bajaj maana nauli buku itapiga pesa
 
Yani milioni nane utanunua spear gani? Au utakuwa unauza side mirror na wiper pekee ???

Maana ukigusa vingine unaambiwa kila kimoja Malaki hapo haujakodi fremu na uichomelee watu wasiingie batini, aisee hiyo usiifikirie kabisa hata spear za Boda achana nazo.

Weka vibanda vya chips vinne sehemu zilizochangamka , nunua boda ya kuzungukia na kupeleka mkaa na viazi kwenye vijiwe vyako ukikomaa kwa siku hukosi laki nne kwa vibanda vuote hapo unaweka milioni zako tano tu mtaji tatu weka za Emergency.

Hata siku ukipata pungufu bado hauna hasara kwa mwezi
So kila banda apate laki 1 kwa siku sio? Biashara y chips hata uifanye vp haivuki faida ya elf 30 kwa siku
 
Back
Top Bottom