Yani milioni nane utanunua spear gani? Au utakuwa unauza side mirror na wiper pekee ???
Maana ukigusa vingine unaambiwa kila kimoja Malaki hapo haujakodi fremu na uichomelee watu wasiingie batini, aisee hiyo usiifikirie kabisa hata spear za Boda achana nazo.
Weka vibanda vya chips vinne sehemu zilizochangamka , nunua boda ya kuzungukia na kupeleka mkaa na viazi kwenye vijiwe vyako ukikomaa kwa siku hukosi laki nne kwa vibanda vuote hapo unaweka milioni zako tano tu mtaji tatu weka za Emergency.
Hata siku ukipata pungufu bado hauna hasara kwa mwezi