raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Chai kivpChai ile mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai kivpChai ile mkuu
Tena Chai ya pilipiliChai ile mkuu
Tatizo la chips location ya kukuingizia hiyo 20kKweli hadi sasa kuna watu wanawaza kununua bajaji ??? Unaweka milion 8 then unasubiria 20.000 au 15.000 kwa siku.??
Wakati hiyo elfu 20 hadi muuza chipsi mtaji wa laki 6 anapata.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Kuna muuni pale sinza Mori anauza chipsi mishikaki. Ana nyomi la watu. Biashara ya chips nzuri Sana kama ukiotea sehemu nzuri iliyochangamka hapa town na pia ukapata mtaalam mzuri wa kuzipika na kuandaa mishikaki vizuri.Maajabu ya biashara haya kiongozi
Ila pia inategemea na muhusika anapenda nn cha kufanya
Mtu ananunua mini bus 10ml+ akisubir hesab ya 30k kwa siku [emoji15][emoji15][emoji15] wakat muuza chps kwa mtaj wa 500k anaingiza kwa siku [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu endelea na hiyo shughuli yako iliyokufanya upate hiyo pesa mkuuHabari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya uber na bolt
Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili .. nipo Dar es salaam... natanguliza shukrani zangu ...nawasilisha [emoji120][emoji120]
Kuna muuni pale sinza Mori anauza chipsi mishikaki. Ana nyomi la watu. Biashara ya chips nzuri Sana kama ukiotea sehemu nzuri iliyochangamka hapa town na pia ukapata mtaalam mzuri wa kuzipika na kuandaa mishikaki vizuri.
Mganga tena kwenye vyepe😲😲😲Umesahau kipengele cha mganga mzuri
Asante kwa ushauri ila naomba fafanua kidogo why uber
Mkuu ungesema uko mkoa gani me nifundi wa simu na nishawahi kumiliki kiduka cha spare nikajakuibiwa,Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya uber na bolt
Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa kuna wajuzi wenge uelewa mpana na wazoefu je? Nifanye lipi kati ya hizo hapo juu. Napokea mawazo ya kila member kwa mikono miwili .. nipo Dar es salaam... natanguliza shukrani zangu ...nawasilisha [emoji120][emoji120]
Cjawahi kuwa fundi pia cjawahi kuwa dereva bajaji nliwahi fanya biashara ya electronic kutokana nabusimamizi mbya nikaifungaUna experience na mojawapo wa vitu ulivyotaja? Kama ndio basi fanya hicho ambacho una experience nacho. Kama ulishawahi kuwa fundi wa pikipiki basi endelea na hilo la spea. Kama ni dereva wa bajaji au gari basi endelea na hicho. Mil 8 si kiwango kikubwa sana hivyo inabidi uendelee kukuza mtaji zaidi.
Pia kama unafanya biashara nyingine ambayo ndio imekuingizia hiyo mil 8 basi unaweza pia kuikuza biashara hiyo zaidi ili uongeze pesa yako.