Nina Milioni moja: Shindano Nyimbo za Hamasa Katiba Mpya kwa wasanii chipukizi na Kongwe

Nina Milioni moja: Shindano Nyimbo za Hamasa Katiba Mpya kwa wasanii chipukizi na Kongwe

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Mimi kama Mtanzania Mzalendo ninayependa Nchi yangu hii inayoongozwa na Mh Dr Rais Samia kwa sasa najitolea 1M cash kama mkulima tu wa mahindi hapa Dumila.

Nawiwa kufanya hivyo ili kuvuta attention na hamasa kwa wananchi kuhusu ujio wa Katiba Mpya.

Kwa kutambua umuhimu wa jambo lenyewe madai ya Katiba Mpya iwe nguvu ya pamoja kila mtanzania mwenye akili Timamu ashiriki.

Tuna kazi moja tu kwa sasa. Nayo ni Katiba Mpya. Mh Rais ameshapuliza kipenga kazi yetu ni kusakata Kambumbu ili ije mapema.

Tunahitaji kumuonesha Rais kuwaba sisi watanzania tunaitaka.
Hata kama katamka kuandaa mchakato lakini tusipochangamka na yeye Mh Rais tutamvunja moyo au kumtia unyonge.

Sasa tufanye hivi.

Tuanzishe shindano la Mziki kwa wasanii Underground na wale wakongwe kwenye game.

Tufanye shindano la nyimbo za kuhamasisha Amani, Umoja, Utulivu, utii wa sheria, uzalendo na Katiba Mpya.

Matokeo ya hii kazi itakuwa hivi; kwanza Nchi nzima kutakuw na matamasha na fiesta ya kutafuta washindi wenye Tungo na mashairi mazuri ya kizalendo. Wananchi wengi watashiriki kuchagua wasanii wenye ujumbe na melody nzuri......burudani.

Pia itafika elimu kwa haraka na kasi ya ajabu kwa makundi yoote.

Mimi nitachanga Milioni Moja kama kianzio ayakaye leta single yake ikaonekana ni nzuri atabeba mzigo.

Ikiwa kutakuwa na wazalendo wengine wakatoa hata laki moja moja tukafika japo Mil 20 tutapata washindi watano wakali wenye nyimbo tofauti tofauti.

Kazi hii haitakuwa na Chama wala mlengo wa kisiasa kwani wote Chadema na Ccmwameshakubaliana kuhusu hilo.

Naomba kuwasilisha.
 
Mimi kama Mtanzania Mzalendo ninayependa Nchi yangu hii inayoongozwa na Mh Dr Rais Samia kwa sasa najitolea 1M cash kama mkulima tu wa mahindi hapa Dumila.

Nawiwa kufanya hivyo ili kuvuta attention na hamasa kwa wananchi kuhusu ujio wa Katiba Mpya.

Kwa kutambua umuhimu wa jambo lenyewe madai ya Katiba Mpya iwe nguvu ya pamoja kila mtanzania mwenye akili Timamu ashiriki.

Tuna kazi moja tu kwa sasa. Nayo ni Katiba Mpya. Mh Rais ameshapuliza kipenga kazi yetu ni kusakata Kambumbu ili ije mapema.

Tunahitaji kumuonesha Rais kuwaba sisi watanzania tunaitaka.
Hata kama katamka kuandaa mchakato lakini tusipochangamka na yeye Mh Rais tutamvunja moyo au kumtia unyonge.

Sasa tufanye hivi.

Tuanzishe shindano la Mziki kwa wasanii Underground na wale wakongwe kwenye game.

Tufanye shindano la nyimbo za kuhamasisha Amani, Umoja, Utulivu, utii wa sheria, uzalendo na Katiba Mpya.

Matokeo ya hii kazi itakuwa hivi; kwanza Nchi nzima kutakuw na matamasha na fiesta ya kutafuta washindi wenye Tungo na mashairi mazuri ya kizalendo. Wananchi wengi watashiriki kuchagua wasanii wenye ujumbe na melody nzuri......burudani.

Pia itafika elimu kwa haraka na kasi ya ajabu kwa makundi yoote.

Mimi nitachanga Milioni Moja kama kianzio ayakaye leta single yake ikaonekana ni nzuri atabeba mzigo.

Ikiwa kutakuwa na wazalendo wengine wakatoa hata laki moja moja tukafika japo Mil 20 tutapata washindi watano wakali wenye nyimbo tofauti tofauti.

Kazi hii haitakuwa na Chama wala mlengo wa kisiasa kwani wote Chadema na Ccmwameshakubaliana kuhusu hilo.

Naomba kuwasilisha.
Karibuni kwa maoni.
 
Mimi kama Mtanzania Mzalendo ninayependa Nchi yangu hii inayoongozwa na Mh Dr Rais Samia kwa sasa najitolea 1M cash kama mkulima tu wa mahindi hapa Dumila.

Nawiwa kufanya hivyo ili kuvuta attention na hamasa kwa wananchi kuhusu ujio wa Katiba Mpya.

Kwa kutambua umuhimu wa jambo lenyewe madai ya Katiba Mpya iwe nguvu ya pamoja kila mtanzania mwenye akili Timamu ashiriki.

Tuna kazi moja tu kwa sasa. Nayo ni Katiba Mpya. Mh Rais ameshapuliza kipenga kazi yetu ni kusakata Kambumbu ili ije mapema.

Tunahitaji kumuonesha Rais kuwaba sisi watanzania tunaitaka.
Hata kama katamka kuandaa mchakato lakini tusipochangamka na yeye Mh Rais tutamvunja moyo au kumtia unyonge.

Sasa tufanye hivi.

Tuanzishe shindano la Mziki kwa wasanii Underground na wale wakongwe kwenye game.

Tufanye shindano la nyimbo za kuhamasisha Amani, Umoja, Utulivu, utii wa sheria, uzalendo na Katiba Mpya.

Matokeo ya hii kazi itakuwa hivi; kwanza Nchi nzima kutakuw na matamasha na fiesta ya kutafuta washindi wenye Tungo na mashairi mazuri ya kizalendo. Wananchi wengi watashiriki kuchagua wasanii wenye ujumbe na melody nzuri......burudani.

Pia itafika elimu kwa haraka na kasi ya ajabu kwa makundi yoote.

Mimi nitachanga Milioni Moja kama kianzio ayakaye leta single yake ikaonekana ni nzuri atabeba mzigo.

Ikiwa kutakuwa na wazalendo wengine wakatoa hata laki moja moja tukafika japo Mil 20 tutapata washindi watano wakali wenye nyimbo tofauti tofauti.

Kazi hii haitakuwa na Chama wala mlengo wa kisiasa kwani wote Chadema na Ccmwameshakubaliana kuhusu hilo.

Naomba kuwasilisha.
Wazo zuri
 
Mimi kama Mtanzania Mzalendo ninayependa Nchi yangu hii inayoongozwa na Mh Dr Rais Samia kwa sasa najitolea 1M cash kama mkulima tu wa mahindi hapa Dumila.

Nawiwa kufanya hivyo ili kuvuta attention na hamasa kwa wananchi kuhusu ujio wa Katiba Mpya.

Kwa kutambua umuhimu wa jambo lenyewe madai ya Katiba Mpya iwe nguvu ya pamoja kila mtanzania mwenye akili Timamu ashiriki.

Tuna kazi moja tu kwa sasa. Nayo ni Katiba Mpya. Mh Rais ameshapuliza kipenga kazi yetu ni kusakata Kambumbu ili ije mapema.

Tunahitaji kumuonesha Rais kuwaba sisi watanzania tunaitaka.
Hata kama katamka kuandaa mchakato lakini tusipochangamka na yeye Mh Rais tutamvunja moyo au kumtia unyonge.

Sasa tufanye hivi.

Tuanzishe shindano la Mziki kwa wasanii Underground na wale wakongwe kwenye game.

Tufanye shindano la nyimbo za kuhamasisha Amani, Umoja, Utulivu, utii wa sheria, uzalendo na Katiba Mpya.

Matokeo ya hii kazi itakuwa hivi; kwanza Nchi nzima kutakuw na matamasha na fiesta ya kutafuta washindi wenye Tungo na mashairi mazuri ya kizalendo. Wananchi wengi watashiriki kuchagua wasanii wenye ujumbe na melody nzuri......burudani.

Pia itafika elimu kwa haraka na kasi ya ajabu kwa makundi yoote.

Mimi nitachanga Milioni Moja kama kianzio ayakaye leta single yake ikaonekana ni nzuri atabeba mzigo.

Ikiwa kutakuwa na wazalendo wengine wakatoa hata laki moja moja tukafika japo Mil 20 tutapata washindi watano wakali wenye nyimbo tofauti tofauti.

Kazi hii haitakuwa na Chama wala mlengo wa kisiasa kwani wote Chadema na Ccmwameshakubaliana kuhusu hilo.

Naomba kuwasilisha.
Ccm ni dubwasha baya sana kwa ustawi wa taifa letu. Wazalendo wa kweli tunapaswa kuwa makini. Ccm wanatumia ujinga wa mtanzania kuendelea kututawala. Hivi wanaona sehemu kubwa ya jamii inadai katiba mpya, nao wamekubali. Je, ni wtaanzania wangapi wanaojua katiba iliyopo ina mapungufu gan? Wangapi wana habari na mchakato ulioishia njiani wakutafuta katiba mpya siku za nyuma? Wangapi wanajua kuna rasimu ya jaji Warioba, na katiba pendekezwa? Wangapi wanajua tofauti kati ya hizo mbili?
Sasa ccm wamekubali. Je, watatuletea katiba ya namba gani? Nasema'watatuletea' sababu angalia wanavyotaka kuanzisha mchakato. Mchakato unaanzishwa na rais (m/kitu wa ccm), unasimamiwa na msajili wa vyama (Jada waccm, aliteuliwa na rais ambae ni kada no 1 wa ccm). Ikumbukwe vyama vya upinzani vya kweli hawana Imani naye Kwa jinsi alivyosimamia ofisi ya msajili Kwa kupendelea ccm dhidi ya vyama pinzani. Watu wa namba hii hawataweza kusimamia mchakato utakaotuletea katiba nzur bali katiba itakayotoa mwanya kwa ccm kupendelea kututawala Kwa njia isiyo ya haki.
Ni muhimu wananchi tuelimishwe tuweze kujua si tu kwamba tunataka katiba mpya, bali tunataka katiba mpya iliyo bora kwa ustawi wa taifa letu. Hakuna haha kuandika katiba mpya Kwa gharama kubwa, halafu ianze kulalamikiwa day two.
Katiba tunayotaka sio mali ya rais, ccm, Chadema wala cuf etc.
Katiba haipaswi kuwa hisani toka kwa rais. Hivyo mchakato wa upatikanaji wake unapaswa kuwa huru na jumuishi. Makundi yote ktk jamii yapewe nafasi ya kuchangia ktk hali ya uhuru.
Hatuwezi kusema kundi fulani limesusia mchakato, tuseme ni sababu zao tu zimefamya wasusie, basi tusonge mbele. Lazima hoja za kila mmoja zisikilizwe, na tufikie maelewano.
 
Wazo zuri japo nirahisi wanasiasa kuliteka na kulifanya lao asa CCM kwa maslahi ya chama chao. Mimi naungana na wewe katika jambo hili ila uandaliwe utaratibu mzuri ili kufungua mwanya wa wadau wengi kushiriki bila kuhofia upigaji maana wahuni hawachelewi kucheza na fursa.
 
Back
Top Bottom