Kwa mawazo yangu sina uzoefu na mbeya ila huko nahisi..Biashara ya kusafirisha mazao ina lipa sana
Ifanyie utafiti
ILA uanze na mazao yasiyo haribika haraka kama mahindi, mchele< maharage nk
Ndizi, Viazi, Nyanya yana faida kubwa sana ila yanahitaji uzoefu kwani ndani ya siku nne ukikosa soko unaweza kumaliza mtaji