Nenda Kariakoo nunua Mashuka ya laki 5 tu. Anza kuuza, kama utakuwa mbunifu ndani ya wiki mbili au tatu umeyamaliza na faida ni mara mbili yake.Habari zenu wakuu..Mm ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili..nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani...Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara...lkn biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo..Nawasilisha kwenu wakuu
Dah nashukuru sana kakaNenda Kariakoo nunua Mashuka ya laki 5 tu. Anza kuuza, kama utakuwa mbunifu ndani ya wiki mbili au tatu umeyamaliza na faida ni mara mbili yake.
Shuka zinauzwa 13k wewe unauza 25k wakilia sana uza 22k au hata 20k kulingana na eneo.
Pesa yako itakuwa salama zaidi.
Ukinunua pikipiki ya kumpa mtu akuletee pesa, utakuja kulia hapa muda si mrefu!!!Habari zenu wakuu..Mm ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili..nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani...Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara...lkn biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo..Nawasilisha kwenu wakuu
Hakuna ya 1.3 labda mkangafuUkinunua pikipiki ya kumpa mtu akuletee pesa, utakuja kulia hapa muda si mrefu!!!
😂😂😂Hakuna ya 1.3 labda mkangafu
Jifunze FOREX na Cryptocurrency.
Nimesema KASOME UJIFUNZE. GET THE KNOWLEDGE siyo uende kichwa kichwa uanze kufanya tuu.
Get my point JIFUNZE KWANZA then start to invest.
Tena mbaya zaidi pikipiki used kwa 1.3m . Naungana na wewe, hili suala la pikipiki aliache kwanzaUkinunua pikipiki ya kumpa mtu akuletee pesa, utakuja kulia hapa muda si mrefu!!!
Akajifunze wapiJifunze FOREX na Cryptocurrency.
Nimesema KASOME UJIFUNZE. GET THE KNOWLEDGE siyo uende kichwa kichwa uanze kufanya tuu.
Get my point JIFUNZE KWANZA then start to invest.