Bayou98
Member
- Sep 28, 2022
- 64
- 88
Habari zenu wakuu,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili. Nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani.
Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara lakini biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo.
Nawasilisha kwenu wakuu
Mimi ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili. Nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani.
Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara lakini biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo.
Nawasilisha kwenu wakuu