Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Dah 😅Mkuu INBOX CHAP Tuongee Maana kuna mahali panahitaji Pesa Kama hiyo unaweza Kutengeneza Faida nzuri kila Mwezi Ila Uwe na Angalau Siku 2-3 za Kupiga kazi kila wiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah 😅Mkuu INBOX CHAP Tuongee Maana kuna mahali panahitaji Pesa Kama hiyo unaweza Kutengeneza Faida nzuri kila Mwezi Ila Uwe na Angalau Siku 2-3 za Kupiga kazi kila wiki.
Hiyo mambo ya kumpa mtu pikipiki akuletee hela sio Kabisa tena pikipiki yenyewe used.. Aloo utalia kilio cha mbwa kokoHabari zenu wakuu..Mm ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili..nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani...Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara...lkn biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo..Nawasilisha kwenu wakuu
HahahahahahNunua chup za kike kwa jumla ww uza rejareha kwa wadada na Lectures wa kike wa hapo chuoni
Nawezaje pata machine inayotumia umeme kukamua juiceAnzisha kijiwe cha juis ya miwa popote kwenye watu wengi. Weka kijana.
Machine ya petrol n 900k
Deri la kuweka juic 40k
Miwa 10k had 20k
Barafu 10k.
Petrol 10k
Kijana 20k
Ndimu na tangawizi 2k
Hesabu jioni n 100k baada ya kutoa natumuzi yote.
Kwa Hili amuone mtu anitwa John Kalage Jr wa Twitter xFanya Biashara ya Body spray.
Jumla utanunua kwa 3k had 4k
Ww uza kwa 6k
Nunua za kike na za kiume
Wazo zuri ila mimi ninamshauri hizo shuka auze bei ya chini ila awe na mzunguko wa fasta. Kama ananunua kwa 13k auze 15k.Nenda Kariakoo nunua Mashuka ya laki 5 tu. Anza kuuza, kama utakuwa mbunifu ndani ya wiki mbili au tatu umeyamaliza na faida ni mara mbili yake.
Shuka zinauzwa 13k wewe unauza 25k wakilia sana uza 22k au hata 20k kulingana na eneo.
Pesa yako itakuwa salama zaidi.
According to wewe hiyo.Sema ajifunze aanze kufundisha suckers wengine awapige kwenye kufundisha. Trading yenyewe hapati kitu hata asome vitin vyote.
Akajifunze wapi
Kwangu naweza msaidia, au kwa yeyote yule ila afanye uchunguzi kwanza.Akajifunze wapi
Mkuu shuka 100 uuze fastaWazo zuri ila mimi ninamshauri hizo shuka auze bei ya chini ila awe na mzunguko wa fasta. Kama ananunua kwa 13k auze 15k. Kwa shuka 100 atapata 200k kama faida. Kama ataziuza kwa haraka itakuwa poa. Faida nyingine ya kuuza haraka ni kutengeneza jina kwa watu wengi.
Inawezekana.Mkuu shuka 100 uuze fasta
Kwangu naweza msaidia, au kwa yeyote yule ila afanye uchunguzi kwanza.
Siwezi fanya hivyo najua ninacho fanya. Suyo tapeli mimi kama hao wengineAkijichanganya mbamize. Nayeye akijua awabamizie wengine.
Yeah wanakuja kumpa mwongozo
Nimeangalia hiyo picha uliyoweka hapo profile nikakiri kweli ndugu Smart911 alizingatia mwongozo Yeah wanakuja kumpa mwongozo
Nikopeshe 400,000 Kwa riba ya 20% Kwa mwezi mmojaHabari zenu wakuu..Mm ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili..nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani...Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara...lkn biashara niliyonayo kichwani ni kununua pikipiki used ili nimpe mtu awe ananiletea pesa naomba ushauri kwenye ilo..Nawasilisha kwenu wakuu