Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oky....
MKUU HAYA mashuka ni mtumba au specialNenda Kariakoo nunua Mashuka ya laki 5 tu. Anza kuuza, kama utakuwa mbunifu ndani ya wiki mbili au tatu umeyamaliza na faida ni mara mbili yake.
Shuka zinauzwa 13k wewe unauza 25k wakilia sana uza 22k au hata 20k kulingana na eneo.
Pesa yako itakuwa salama zaidi.
Hii nzuri hii mkuu naichukuaAnzisha kijiwe cha juis ya miwa popote kwenye watu wengi. Weka kijana.
Machine ya petrol n 900k
Deri la kuweka juic 40k
Miwa 10k had 20k
Barafu 10k.
Petrol 10k
Kijana 20k
Ndimu na tangawizi 2k
Hesabu jioni n 100k baada ya kutoa natumuzi yote.
Anzisha kijiwe cha juis ya miwa popote kwenye watu wengi. Weka kijana.
Machine ya petrol n 900k
Deri la kuweka juic 40k
Miwa 10k had 20k
Barafu 10k.
Petrol 10k
Kijana 20k
Ndimu na tangawizi 2k
Hesabu jioni n 100k baada ya kutoa natumuzi yote.
Vyanzo vingi, ukute kwao wameuza kiwanja kapewa mgawo, au alibet mkeka ukatiki, au kapewa na mzazi wake. Cha muhimu ameonyesha mwanzo mzuri wa kutaka kuwekeza mapema ila cha kumshauri azingatie course work kwanza pesa akaiweke fixed bank/UTT Amis wakati akitafuta GPA, inaweza ikawa haina umuhimu ila pia inaweza kuwa na umuhimu sana kama ataamua kujikita na elimu huko mbele.Mbna wenzako wanalalmika hawna pesa za kujikiku wewe umetoa wapi pesa