Mahmoud Shariff Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 267
Ninachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
Muanzishe Maziwa ya ng'ombe fresh na umuachishe kunyonya maziwa yako kichuani, hatodhurika.
Mara nyingi kama Baba zao ni mmoja aileti madhara kunyonyesha lakini kama umechanganya damu basi bora umuachishe.