Usifanye lolote dada mimi nnawatoto sita nimezaa mara tatu ,katikati ya seti ya 2 na 3 nilishika mimba sema ilikua bahati mbaya,dr aliniambia niwanyonyeshe kama kawaida nizingatie lishe ya chakula cha hawa walionje ,usitoe wala nini wote watakua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawatoto wangapi?kama huna nyamaza punda wewe,kazae kwanza utaelewa anachouliza mwenzioSipendagi wanawake ambao hawajielewi!! Miezi minne kwenda kumbebea mtoto mimba afu ukiulizwa eti bahati mbaya..Bahati mbaya my foot! Jielewe! Unamtesa mtt bila sababu!
Daaah.... Sisi binadamu wote hukoseaWakati unatanua BOPA! Ulikuwa unategemea matokeo gani!? Hayo ndio yanaitwa MATOKEO MAKUBWA SASA! Ama BIG RESULT NOW! Lako hilo!
Mkuu unaweza kuthibitisha hili mm najua mtoto anaweza kunyonya maziwa ya mtu yyte sema hapo inabidi amnyonyeshe hadi kipindi ambacho uache yajitengeneze kwa nn ajili ya mtoto mpyakitaalaam wanasema mwanamke anapokuwa mjamzito akiendelea kunyonyesha maziwa yanamxuru mtoto,yanakuwa sio sala tena couse mwil unakuwa unajitengeneza kwa ajili ya maziwa ya mtoto alie tumbonii
Tumia uzazi wa mpango punda mwenyewe..irresponsible human being!Unawatoto wangapi?kama huna nyamaza punda wewe,kazae kwanza utaelewa anachouliza mwenzio
Akili zako ndogo mbweha wewe,unadhani hizo dawa unafikiri hazina madhara kila mtu zinamkubali?kazae kwanza alafu uje umbwele hapaTumia uzazi wa mpango punda mwenyewe..irresponsible human being!
Sex addict. .mbwea mwenyewe..kwendraaaaAkili zako ndogo mbweha wewe,unadhani hizo dawa unafikiri hazina madhara kila mtu zinamkubali?kazae kwanza alafu uje umbwele hapa
Sent from my HUAWEI G750-U10 using JamiiForums mobile app
Mrejesho Mkuu vipi ulijifungua salama , ulitumia mbinu gani Afya za watoto wetu vipiHabar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.
Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.
Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.
Asanteni.
Hukupanga afu unaliwa kavu tena siku za hatari ???Sina operation, Ila. Hofu yangu ni juu afya yangu mimi na mtoto, maana kiukweli kupata ujauzito saivi sikupanga kabisa,
Hii ni ushauri kwa wote, mke wangu alibeba mimba mtoto akiwa na miezi 6. unachokieleza also kilimtokea mke wangu, tuliomba ushauri,kutoka kwa bibi yetu kijijini.
Bibi alitueleza kwamba mke wangu amchukuemtoto aoge naye, yale maji unayooga ,hasa maeneo ya tumbo. mwogeshe mwanao. huku ukiongea maneno haya " mwanagu ( Taja jina la mwanao) mpokee huyu mtoto ni mdogo wako, anakupenda sana, usiwe na hofu ,wote ni wanangu pendaneni,mimi nawapenda wote na Mungu anawapenda wote" fanya kila wakati unapooga. ndani ya siku 7. then utaona matokeo. endelea kumnyonyesha mwanao. mambo yote yataenda safi. au nipm...nikuambie zaidi. ukizarau shauli lako. Usitumie dawa ya mzizi yoyote, utawadhuru wao. nilichokumbia hapo ndiyo ufanye.
Kinachofanyika hapo siyo uchawi ni kubalance joto la mtoto wa tumboni na huyo uliyenaye. usiache kunipa feedback baaada ya siku 7.
2016 ila itasaidia wengineKama anaharisha, usimnyonyeshe tena muanzishie formula S26 ni nzuri zaidi haikatai mtoto japo ni bei kidogo. Kingine ambacho ni kigumu kidogo hebu muache usilale naye for now
hapo maziwa ya kopo yanamhusu, sababu ya kwako tayari yameisha Anza kuharibika.Ninachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhurike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye.
hahahahaaaaaaUkimzaa huyo mwambie jamaa yako ajikaze awe anakojolea nje,,asione raha tu kukumiminia.La sivyo Miezi miwili tena baadae Unaweza ukaacha kunyonyesha.t