Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

mfichuamambo

Senior Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
107
Reaction score
313
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 

Kwa bandiko lako hili hapa ni dhahiri na wewe ulienda gym kuwinda na kushawishi vijana wenye six pack sasa wamekulisha kande zilizochacha umevimbiwa unalalamika,sometimes kulikuwa na mwamba alitaka hadi kukuowa but kwa kukosa kwake six pack ukamuona lofa.

Kimasihara masihara unaenda kuwa single mama!yaani unaenda kuongeza kelele mtaani za wanaume wote ni mbwa kumbe mbwa ni wewe uliyeshindwa kuyatuliza mapaja yako.
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yani unatamani kutoa mimba au kumuua huyo kiumbe alafu akikua nikusikie unabana pua huku unasema "nampenda mtoto wangu" pumbafu.

NB: Hiyo avata yako inaashiria wewe ni mwanamke wa aina gani.
 
Uligundua ni Mchafu sana,na bado ukabeba memba ukitegemea atabadilika?,na hapo pengine kuna wengine kama wewe wanalea mimba zake...Pole.
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Una visa wewe... Mara mashoga, mara mimba....
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Are you seriously blaming him? Unasema alishakuonyesha uchafu wake wote na unaujua lakini ukaamua kuvumilia, sasa hapo mwenye kosa ni yeye au wewe? You had a choice and you chose wrong and thats not on him its on you. Hivi hii tabia ya mabinti kujilamisha kwa wanaume na kukataa kuachika itaisha lini jamani? Na kwa akili yako ulizani kubebea mimba ndio kupendwa na kuolewa mweee. Kiukweli kabisa kutoka moyoni mimi nakulaumu wewe
 
Hao hao unaotegemea kukushauri nao kuna sehemu wametelekeza watoto. Kikubwakama unakula na kulala pazuri inatosha
Dada zetu wanachokosea ni hawaangalii nani na nani wanaweza kufanya nao ngono zembe hata ikitokea chochote akawajibika.

Kwanza wajue madhara ya ngono kwao ndiyo makubwa zaidi kama hivi mimba,inabidi wao ktk tendo lolote la ngono wawe waamuzi wa mwisho maana ktk situations za uzinifu yule anayezini nae hajaidhinishwa na hayupo guaranteed kwamba atawajibika kwa matokeo ya kosa wanalofanya.
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Shenzi, acha ukome... Ulipo anza nae ulituuliza? Si ulimpenda sasa inakuaje kutusumbua sisi
 
Kumbe hizi nyuzi zote ulizofungua kwa fujo kuhusu gym ni ww wamekutenda?Mashoga wamekutibulia kitumbua chako?
pole sana
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Alitakiwa kufanyaje? Akupokee hiyo mimba?
 
Are you seriously blaming him? Unasema alishakuonyesha uchafu wake wote na unaujua lakini ukaamua kuvumilia, sasa hapo mwenye kosa ni yeye au wewe? You had a choice and you chose wrong and thats not on him its on you. Hivi hii tabia ya mabinti kujilamisha kwa wanaume na kukataa kuachika itaisha lini jamani? na kwa akili yako ulizani kubebea mimba ndio kupendwa na kuolewa mweee. Kiukweli kabisa kutoka moyoni mimi nakulaumu wewe
Wanasemaga ‘ngoja nimzalie/ nimbebee mimba atatulia
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nasikitika baba wa mtoto naye ni Shoga.
Daah mtoto wa Shoga inauma lakini ni UKWELI huo kutokana na kile ulichoandika.
Jamaa yako sasa yupo busy kufukua na kufukuliwa
Pole sanaa KWA kugongwa na mwanaume shoga
 
Back
Top Bottom