Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh, unajitetea tu, sema huwa namfokea na kumpa amri! Huu ni upande wako, tunataka tumsikie na yeye anasemaje! Punguza gubu!wakuu nina mke kiburi sana,,kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu
hapana sina gubu,,,dem huyu anazingua sijui atakuwa atakuwa anarubuniwa na washikaji hata sijui,,,na tumefunga ndoa kabisa ya kiserikaliMh, unajitetea tu, sema huwa namfokea na kumpa amri! Huu ni upande wako, tunataka tumsikie na yeye anasemaje! Punguza gubu!
Tafuta mzee mwenzio,huyo waachie bodabodamimi 32 yeye 19
Ungekua hujaoa ningekushauri umuache kwao angalau afike ata 23.mimi 32 yeye 19
Una nafasi kubwa ya kumbadilisha, yeye bado anawaza utotomimi 32 yeye 19
mimi 32 yeye 19
Umeoa mtoto wa 2005, kaz unayomimi 32 yeye 19
😂😂Umeoa mtoto wa 2005, kaz unayo
Mpe hela ya kutosha kila siku, mpelekee moto wa kutosha kila siku na atakuheshimu kabisa kabisa.Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Ameonekana wapi? Wabongo kwa kujiongeza!!Halafu punguza mfumo dume, unaonekana ni mkali sana kwa mkeo.
Wewe sasa umejitakiamimi 32 yeye 19
Muongezee mkewakuu nina mke kiburi sana,
Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.
Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?
Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Hapo kwenye kupiga sana ndio ulikuwa unajiongezea urefu wa shimo uliotumbukia.yaani huyu mwanamke ni pasua kichwa, ana kiburi hatari nilishapiga sana hadi nimechoka, mwenye uzoefu na mambo haya tafadhali aniokoe
ampungizie majukumu then ampandishe cheo awe mke mkubwa 😀 😀Muongezee mke