Nina mke mjeuri sana. Naombeni mnishauri

Nina mke mjeuri sana. Naombeni mnishauri

Nampenda sana single mama wangu. Unajua kwanini niliamua kumwoa yeye?

Nilikuwa na machaguo manne. Mmoja alikuwa muuguzi, wa pili na wa tatu walikuwa mabinti wako kwa wazazi wao. Wanakula na kuishi free. Wa nne single mama, anapambana kulea mwanae bila msaada wa baba mtoto.

Yuko kwa wazazi lakini hawamsaidii kumtunza mtoto. Anapiga vibarua na mtoto mgongoni.

Nilimchagua single kwa kuamini kuwa kapigwa na maisha na atakuwa na akili. Na ni kweli ana akili za maisha. Hakuna kumpangiabkazi. Anapanga, anatoa taarifa au kuomba kuwezeshwa kisha anafanya. Na chenji ikibaki nitaonyeshwa au kuelezwa matumizi.

Msichana miaka 19 anajua nini kuhusu maisha? Ni mtoto na kichwani hazimo. Katoka kwa wazazi wake akilelewa kama broiler na kuja kwako. Hajawahi kupigwa na upepo wa maisha.

Mvumilie tu, akiongezeka hadi 25 hivi, akili itapevuka na atakuwa mke mwema.

Kwa sasa kuwa mpole tu kijana wangu. Hawa mabikira wanahitaji kubikiriwa hadi akili.
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Muolee mke mwenzie
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Kama unashindwa kuwekana naye sawa au kuachana naye, fanya kama afande Saba Sita anavyofanya sasa
 
yaani huyu mwanamke ni pasua kichwa, ana kiburi hatari nilishapiga sana hadi nimechoka, mwenye uzoefu na mambo haya tafadhali aniokoe
Nimepitia comment kadhaa hapo juu. Tayari kuna ushauri mzuri sana. Pia umeulizwa ndoa ina muda gani? Badala ya kuhangaikia kuelewa wanaochangia wanasemaje, bado unakuja kulalama. Yaani kwa nwendo huo utapasuka tu kichwa maana na wewe ni pasua kichwa. Mmekutana
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Wakati unaoa ulikuja kuomba ushauri?
 
Nimepitia comment kadhaa hapo juu. Tayari kuna ushauri mzuri sana. Pia umeulizwa ndoa ina muda gani? Badala ya kuhangaikia kuelewa wanaochangia wanasemaje, bado unakuja kulalama. Yaani kwa nwendo huo utapasuka tu kichwa maana na wewe ni pasua kichwa. Mmekutana
Bwege hilo
 
Ishi nae kwa akili bro...jaribu kukaa nae muongee kiutu uzima muulize shida ni nini.

Halafu punguza mfumo dume, unaonekana ni mkali sana kwa mkeo.
Umemshauri vizuri. Ila kusema apunguze ukali nakukatalia. Hawa viumbe bila kuwa na "voice of command" ili atambue nafasi yako na uwepo wako utajikuta wewe ndo umeolewa. Enzi za kuishi na mwanamke km ndugu (mwili mmoja) ziliisha kitambo, sahivi tunaishi nao km washikaji tu, na ndo maana visa na mifarakano haishi. Wazee wetu waliishi na wake zao kwa raha sn, but now vice versa is true.
 
Back
Top Bottom