Shujaa-zamani
Member
- Apr 26, 2022
- 12
- 4
Hamjambo!
Nitaenda nchi la Tanzania kukaa katika eneo la mto wa Usa. Mini ni mtu mweusi na mwanaume. Ninataka kuunganisha na jamii ya Usa. Je, kuna vitambaa amavyo ninapaswa kuvaa? Nikitaka vitambaa vilivyotengenezwa, nitanunua wapi?
Nitapofika ninaweza kupata wapi vikundi vya kijamii, ni maeneo gani bora ya kukutana na watu? Zaidi ya hayo, ni wapi chakula bora na pombe?
Hapa katika nchi la Amerika, Ninanyanyua vyuma na kukimbia naweza kupata wapi vikundi hivi ili niwe imara?
Mwisho, ninataka kulinda vitu vyangu. Je, nitafanya nini na nitanunua nini kuvilinda vyangu?
Pole kwa Kiswahili changu. Ninajifunza!
Asante.
P.S. Maswali haya ni kwa mji wa Arusha pia! Kwa hivyo, ukijibu kwa Arusha utasema ni 'majibu kwa Arusha'. Asante.
Nitaenda nchi la Tanzania kukaa katika eneo la mto wa Usa. Mini ni mtu mweusi na mwanaume. Ninataka kuunganisha na jamii ya Usa. Je, kuna vitambaa amavyo ninapaswa kuvaa? Nikitaka vitambaa vilivyotengenezwa, nitanunua wapi?
Nitapofika ninaweza kupata wapi vikundi vya kijamii, ni maeneo gani bora ya kukutana na watu? Zaidi ya hayo, ni wapi chakula bora na pombe?
Hapa katika nchi la Amerika, Ninanyanyua vyuma na kukimbia naweza kupata wapi vikundi hivi ili niwe imara?
Mwisho, ninataka kulinda vitu vyangu. Je, nitafanya nini na nitanunua nini kuvilinda vyangu?
Pole kwa Kiswahili changu. Ninajifunza!
Asante.
P.S. Maswali haya ni kwa mji wa Arusha pia! Kwa hivyo, ukijibu kwa Arusha utasema ni 'majibu kwa Arusha'. Asante.