Nina mpango wa kuoa mwishoni mwa mwaka huu ila...

luis diaz

Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
86
Reaction score
208
Nimeweka mikakati yangu ya kutaka kuoa mwaka huu mwezi wa 11 ila tangu nimeweka wazi hili suala wadada wazuri wazuri ndo kama wamefunguliwa machoni mwangu haipiti siku sijakutana na mdada mzuri na nikimsemesha tunaongea vizuri.

Mawazo yanaenda kubadilika kabisa hawa wadada sijui walikua wapi siku zote. Vijana Mungu atupe uvumilivu na subira, kabla hatujachagua tuhakikishe tumezunguka vyakutosha na tumejiridhisha.
 
Mi nilipanga nioe mwaka huu ila hii vita ya ukraine ndo imenikwamisha,hapa labda mwaka ujao afu mbili na ishinatatu
 
Ndoa inaleta utulivu ameen kila kitu utaona kawaida ukipata na watoto akili itakuwa kubwa ndo hapo utapambana sana ingia kweny ndoa kama upo tayar hizo obstacles ni za kawaida ndo maisha ya ukubwa
tuombe uzima ,,ahsante kwa ushauri
 
Hii mm kwangu nahisi imezidi, utakuta kuna manzi nimeielewa, Siku nimepanga tukuta sehemu, unashangaa anakuja na rafiki yake mkali kuzidi yy, yaani daaah au ndio shetani anafanya kazi yake.
 

Arudi na uzi wa wadada wote mbwaaaa [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…