Suzana Alfred
Member
- Oct 3, 2021
- 86
- 119
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]Mi nilipanga nioe mwaka huu ila hii vita ya ukraine ndo imenikwamisha,hapa labda mwaka ujao afu mbili na ishinatatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]Mi nilipanga nioe mwaka huu ila hii vita ya ukraine ndo imenikwamisha,hapa labda mwaka ujao afu mbili na ishinatatu
[emoji23][emoji23][emoji23] jamani kwamba alieoa si sahihiTena usiombe ukapata mtu sahihi zaidi baada ya kuoa
[emoji23][emoji23] hakuna muoaji hapo.Arudi na uzi wa wadada wote mbwaaaa [emoji23][emoji23]
[emoji1787] [emoji1787]
Waambie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbe mnaoa kuangalia uzuri ndo maana mnalialia humu alafu wazuri wanazaliwa kilasiku na hawaishi Hadi utazeeka na utakufa utawaacha[emoji23]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwakweli hakuna muoaji hapaHakuna muoaji hapa
Arudi na uzi wa wadada wote mbwaaaa [emoji23][emoji23]