The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
HahahahNia tu tayari ushaslimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahNia tu tayari ushaslimu
Mwache akaonje joto ya jiwe!Oa mkristo au yeye abadili
Kijana mmoja wa kisukuma nilikuwepoBadilisha sababu ya kupenda uislam
Mm nimelelewa na pande zote lakn ukweli uislam ni mzuri sana kuanzia maishawanayoishi namna wanavoishi na watu walivo na heshima na hata namna mafundisho ya mienendo ya namna ya Kuishi
Natamni kijana mmoja angekuwa n mawazo kma Yako aisee ningempa Dunia yote wengine tungewahamisha mkatafute pa Kuishi 😄😄😄
Kuna mmojq alifanya hivyoo akafa alichanganyikiwa akajitupa juu mpala chini msikitini kaeni na dini zenuMwache akaonje joto ya jiwe!
Ni vizuri sote ni wa Mungu japo kilamtu na Imani yake ila lengo letu ni lile lileKijana mmoja wa kisukuma nilikuwepo
Ila kwa jinsi ninavyompenda rafiki yangu YESU KRISTO, ambaye hata hunijia na kunipa kesho yangu itakuwaje dah huenda hapo nimechemka
ItakuwaMwanaume unataka ubadilishe dini kwani n wewe unaolewa?
Mimi nikiamka kwenda kanisan wewe unaamka kwenda msikitin? Mpokee BWANA YESU KRISTO utashangaa sana utajua kumbe ulichelewaNi vizuri sote ni wa Mungu japo kilamtu na Imani yake ila lengo letu ni lile lile
Fact kabisa ila ukweli ni kuwa dini tunarithi wengi tuko kwaajili tumezaliwa humo wachache ambao wapo kwenye dini Kwa kufata ukweli na hata huo ukweli ukiuchunguza had unakufa unaweza usiujueMimi kama muislamu labda nikuambie tu
1. Usije ukabadili dini kwa sababu yoyote ile ispokuwa umejua ukweli umo wapi meaning umefanya uchunguzi wako na ukajiridhisha kwamba sasa nimejua haki ilipo kwa uthibitisho wa wazi hivyo nabadili dini nikiwa na uhakika .
2. Unaweza kubadili dini lakini kama haufanyi ibada basi wewe hauhesabiki kama muislamu (na hapa nikazie ukiacha hata swala moja kwa siku kwa makusudi kabisa UMETOKA NDANI YA UISLAMU) unakuwa kundi moja na wasiokuwa waislamu na HAKUNA NDOA YA MWANAUME ASIYE MUISLAMU NA MWANAMKE MUISLAMU.
3. Usijidanganye kwamba maswala ya talaka na mgawanyo wa mali uta ku favour mwanaume pindi mambo yasipoenda sawa , watu wengi hapa hawana elimu ndiyo maana wanadhulumiwa , KAMA MKE ANA MKONO WAKE KWENYE MALI basi jua mtagaw na utatakiwa kumuhudumia kwa kila kitu [ispokuwa tendo] mpaka atakapomaliza Eda yake .
N.B
NIKAZIE UKIBADILI DINI KWA SABABU YOYOTE ILE ISPOKUWA YA KUUJUA UKWELI BASI HIYO SABABU NI BATILI.
Shida sana hii 😃Mimi nikiamka kwenda kanisan wewe unaamka kwenda msikitin? Mpokee BWANA YESU KRISTO utashangaa sana utajua kumbe ulichelewa
Hapo kwenye bold mnaposema dini ya HAKI mnamanisha HAKI gani,?!Ukitaka kusilimu kwa ajili ya mwanamke tu hio sio sawa. Silimu kwa sababu ya kuaminj uislam ndio dini ya haki. Mke baadae
Usiogope mwenzagu Amin tufanye jambo, tufanye kitu kizuriShida sana hii 😃
Kuamini kunakitu ni. Bora kuliko kingine ambacho wakat vipo mm nawewe hatukuwepo
Hivi unajua kama Sheria ya Tz ya mwaka 71 inaruhusu Binti wa miaka 14 kuolewa, Tena Kwa idhini ya Mahakana?Hapo kwenye bold mnaposema dini ya HAKI mnamanisha HAKI gani,?!
Na ipi isiyo dini ya HAKI?!
Na kama uislamu.. ni dini ya haki, mbona mtume alimuingilia binti wa miaka 9?! Je, hito ni HAKI?!
Maana ya haki.. kwa mujibu wa kamusi...
Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano yoyote kwa kuwa ni adili la msingi la utu linalotufanya tumpatie mwingine anachostahili..
NajuaHivi unajua kama Sheria ya Tz ya mwaka 71 inaruhusu Binti wa miaka 14 kuolewa, Tena Kwa idhini ya Mahakana?
Asante mkuuUsiogope mwenzagu Amin tufanye jambo, tufanye kitu kizuri
YESU ni MWAMINIFU atatubariki sana
Amina ubalikiwe mamaAsante mkuu
Kama anaolewa yeye freshItakuwa