1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
🤣Naelewa mkuu umuhimu wa ardhi ila sina namna.
Nimejaribu kuongea na Madoni wa ukoo wanisapot ila nimetolewa Nje.
Sasa nashindwa nifanyeje, nahitaji kufanya Biashara na kuendelea na maisha mengine.
atafute pisi moja ya kueleweka atulie nayoBrother, what i can tell you.
Kile unachoamini ndio mafanikio yako.
Weka juhudi,nidhamu ya kila shilingi,acha starehe,achana na wanawake wa kuokota,Mwombe Mungu kila siku katika mambo yako yote mtangulize Mungu atakufanikisha.
Nikutakie mafanikio mema.
Hongera mkuu kwa kuonesha jitihada wengine hulalamika wazazi hawawawezeshi wakati hata jitahada za kuwezeshwa hawaoneshiUsije kulaumu madon wa ukoo wakati huna pa kuanzia nakumbuka baba angu alinisaidia sna kuanzisha Biashara zaidi ya tano na zote nilipiga pua kwasababu hela haikuniuma akanichoka akaniambia ukija na laki ndakupa laki ukija na million ndakupa million kaumie kwanza
Mwanzo nilihisi mzee kanipa mtihani nisioweza kuufanya nikawa mzururaji sana wa mikoa tofauti ili mradi nimuoneshe napambana nilikuja kupata fedheha ya kutumiwa nauli nimestuck mkoani iringa sina hata nauli
Nilivofika nyumban niliamua kuwa serious nikaanza kupambana baada ya mwaka na miezi nikafanikiwa kupata mtaji wa laki 7 na mzee baada ya wiki akauza ng'ombe 1 akaniongezea nikaanza kupambana til now
Hitimisho mkuu kama una hamu ya upambanaji uza kiwanja mkuu acha kulaumu Ndugu,ndugu watakuongezea wakiona mafanikio
Hata mimi mwenyewe nawashangaa ardhi lazima iuzwe ili eneo husika liendelee,Hawa ndio wanaotujazia maporiMnaosema asiuze kiwanja, atakula hicho kiwanja?
Naunga mkono hoja......mtu husaidia na chake sio rahisi kupata msaada wakati huna chochoteUsije kulaumu madon wa ukoo wakati huna pa kuanzia nakumbuka baba angu alinisaidia sna kuanzisha Biashara zaidi ya tano na zote nilipiga pua kwasababu hela haikuniuma akanichoka akaniambia ukija na laki ndakupa laki ukija na million ndakupa million kaumie kwanza
Mwanzo nilihisi mzee kanipa mtihani nisioweza kuufanya nikawa mzururaji sana wa mikoa tofauti ili mradi nimuoneshe napambana nilikuja kupata fedheha ya kutumiwa nauli nimestuck mkoani iringa sina hata nauli
Nilivofika nyumban niliamua kuwa serious nikaanza kupambana baada ya mwaka na miezi nikafanikiwa kupata mtaji wa laki 7 na mzee baada ya wiki akauza ng'ombe 1 akaniongezea nikaanza kupambana til now
Hitimisho mkuu kama una hamu ya upambanaji uza kiwanja mkuu acha kulaumu Ndugu,ndugu watakuongezea wakiona mafanikio
kama una plan nzuri ,endelea tu mkuu, kimfaacho mtu chakeHabari za majukumu Ladies and Gents.
Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)
Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.
Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.
Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.
Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.
Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.
Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Eh upate mtaji ila sio kiwanja
Ee ulivyosikiaAti nini 😂
Hivi mke analingana na thamani ya 1.3M ama hata huyo mchepuko??Eh upate mtaji ila sio kiwanja
Kuuza kiwanja sio tatizo. Tatizo nikufanya biashara ambayo bei zake nielekezi hasa ukiwa na mtaji mdogo. Kulia ni nje nje maana profit margin uwa ni ndogo sana.Habari za majukumu Ladies and Gents.
Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)
Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.
Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.
Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.
Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.
Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.
Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Biashara sio option ya kufeli Mamb mengine uko... nakushauri endelea kutafuta ajira ww, biashara sio mahala kwako..Habari za majukumu Ladies and Gents.
Baada ya Purukushani za mjini naona ajira zimekuwa ngumu sana nataka kuuza mali zangu baadhi nijite kwenye Biashara ya Nafaka (karanga n.k)
Nina Kiwanja ambacho Jirani yangu ameahidi kunipa 1,300,000 Tshs.
Nina Sea Piano SP 1002 naweza kuiuza 120,000 ina miezi mitatu tu.
Nina simu Tecno Camon 16s hapa naweza pata 150,000 tu then nanunua kasimu kadogo tu.
Nauza na vidogo vidogo kama Flash Disk 1, Memory Card 1 hapa kuna 25,000.
Kwa Ujumla nilihitaji 1,500,000 kwa Biashara hii ambayo msimu unaanza mwezi wa tatu na kuisha mwezi wa 6.
Wadau naombeni Mawazo, Ushauri, ama chochote cha kuongea.
Tajiri mkopeshaji kama vipi mkopeshe kijana. Aanze kujitafuta.Biashara sio option ya kufeli Mamb mengine uko... nakushauri endelea kutafuta ajira ww, biashara sio mahala kwako..
Kama kutafuta kazi ameshindwa, ataweza kweli biashara inayotaka roho ngumu?Tajiri mkopeshaji kama vipi mkopeshe kijana. Aanze kujitafuta.
Ajira za kulipa ivyo hazipatikani kirahisi kama unavyodhani. Ni vyema akazama ulingoni mapema before hajakata tamaa ya maisha.Kama kutafuta kazi ameshindwa, ataweza kweli biashara inayotaka roho ngumu?