Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wapangie ratiba. Inavyoonekana umewaacha huru sana kwenye TV.Wakuu za usiku.
Nina TV na madishi ya azam na mengine. TV mbili. Nawaza hapa, enzi zetu hatukuwa na TV hivi sasa watoto wanapoteza muda kwenye katuni na movies. Hii inanipa picha najenga kizazi cha kukaa na kuangalia TV, Watu wavivu, Ombaomba na Maskini. Hii haikubaliki
Naomba kutoa hoja..naomba mniunge mkono au kutoa maoni