The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
YepKwahiyo nawewe unatafuta ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji unao lingana na mleta mada??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YepKwahiyo nawewe unatafuta ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji unao lingana na mleta mada??
Umesahau na kumwambia anunue na mafuta ya kula nayo dili mtaaniUngekua Dodoma ningekushauri ufungue Stoo au Duka la Nafaka.
●50k unapata fremu mtaani unalipa miezi mitatu 150k.
●250k mzani kimeza cha mbele ya ofisi na matengezo kidogo kilingana na chumba cha frem kitavokua.
●1100k unapata kilo 500 za mchele mzuri ambao unauzika mtaani 2800 kwenda juu weka hapo.
●300k Hii itumie kununua Sembe 50k mifuko miwili, Ngano 40k mfuko1 Maharage 50k kwa kilo25 na mayai trei5 kwa 45k.
●Utabaki na 300k Cashi ya kuanzanayo ya kuangalia kipi cha kujazia au kuangalia wateja watakua wanataka bidhaa zipi pia
Ebhana nimependa idea Yako,kama uko Dodoma hebu tuongee hii issue njoo Dm.Ungekua Dodoma ningekushauri ufungue Stoo au Duka la Nafaka.
●50k unapata fremu mtaani unalipa miezi mitatu 150k.
●250k mzani kimeza cha mbele ya ofisi na matengezo kidogo kilingana na chumba cha frem kitavokua.
●1100k unapata kilo 500 za mchele mzuri ambao unauzika mtaani 2800 kwenda juu weka hapo.
●300k Hii itumie kununua Sembe 50k mifuko miwili, Ngano 40k mfuko1 Maharage 50k kwa kilo25 na mayai trei5 kwa 45k.
●Utabaki na 300k Cashi ya kuanzanayo ya kuangalia kipi cha kujazia au kuangalia wateja watakua wanataka bidhaa zipi pia
wazo nzuri mkuu ishu location tuUngekua Dodoma ningekushauri ufungue Stoo au Duka la Nafaka.
●50k unapata fremu mtaani unalipa miezi mitatu 150k.
●250k mzani kimeza cha mbele ya ofisi na matengezo kidogo kilingana na chumba cha frem kitavokua.
●1100k unapata kilo 500 za mchele mzuri ambao unauzika mtaani 2800 kwenda juu weka hapo.
●300k Hii itumie kununua Sembe 50k mifuko miwili, Ngano 40k mfuko1 Maharage 50k kwa kilo25 na mayai trei5 kwa 45k.
●Utabaki na 300k Cashi ya kuanzanayo ya kuangalia kipi cha kujazia au kuangalia wateja watakua wanataka bidhaa zipi pia
hivi msimu wa kulima nyanya umefikaItupie kwenye kilimo cha nyanya
Kuanzia mwezi wa April hadi August utapiga sana maokoto
Speaking from experience
Sawa mkuuMwaga nondo mzee
Sasa hivi ndio muda mzuri kucheza na sokohivi msimu wa kulima nyanya umefika
Shukrani mkuuUza unga wa ugali mwanangu, tafuta mashine ya kusaga na kukoboa, cheki bei ya mahindi sokoni. Uwe na both Sembe na Dona na mzani, angalia wewe utawachangiaje wenye mashine ila wengine hawana noma sababu unalipia huduma za kusaga na kukoboa. Hio biashara might give you a hell huge profit hadi ushangae sema ndo hivyo kama bishoo hautaiweza.
2. Fanya biashara ya Pumba, njoo morogoro vijijini kwenye mashine za unga, nunua pumba gunia hata 10 kwa kuanzia za debe 10 kwa laki 2 na nusu, peleka dar hasa maeneo ya Goba, Bunju, Mbweni, piga maokoto yako. Kama unajiweza unanunua hata na Mashudu ya alizeti unaenda kuuza mjini, ni biashara nzuri sana na ina faida kubwa sana.
Unajua hata bei ya mzani mkuu??Yaani alipe Kodi 50k Kwa mwezi alafu any ue mzani na kimeza na ukarabati Kwa 250k?
Nitafute usijaliEbhana nimependa idea Yako,kama uko Dodoma hebu tuongee hii issue njoo Dm.
Uza unga wa ugali mwanangu, tafuta mashine ya kusaga na kukoboa, cheki bei ya mahindi sokoni. Uwe na both Sembe na Dona na mzani, angalia wewe utawachangiaje wenye mashine ila wengine hawana noma sababu unalipia huduma za kusaga na kukoboa. Hio biashara might give you a hell huge profit hadi ushangae sema ndo hivyo kama bishoo hautaiweza.
2. Fanya biashara ya Pumba, njoo morogoro vijijini kwenye mashine za unga, nunua pumba gunia hata 10 kwa kuanzia za debe 10 kwa laki 2 na nusu, peleka dar hasa maeneo ya Goba, Bunju, Mbweni, piga maokoto yako. Kama unajiweza unanunua hata na Mashudu ya alizeti unaenda kuuza mjini, ni biashara nzuri sana na ina faida kubwa sana.
Unalimia wapi?Itupie kwenye kilimo cha nyanya
Kuanzia mwezi wa April hadi August utapiga sana maokoto
Speaking from experience
Kwan hizi pumba zinatumika kufanyia nini??Uza unga wa ugali mwanangu, tafuta mashine ya kusaga na kukoboa, cheki bei ya mahindi sokoni. Uwe na both Sembe na Dona na mzani, angalia wewe utawachangiaje wenye mashine ila wengine hawana noma sababu unalipia huduma za kusaga na kukoboa. Hio biashara might give you a hell huge profit hadi ushangae sema ndo hivyo kama bishoo hautaiweza.
2. Fanya biashara ya Pumba, njoo morogoro vijijini kwenye mashine za unga, nunua pumba gunia hata 10 kwa kuanzia za debe 10 kwa laki 2 na nusu, peleka dar hasa maeneo ya Goba, Bunju, Mbweni, piga maokoto yako. Kama unajiweza unanunua hata na Mashudu ya alizeti unaenda kuuza mjini, ni biashara nzuri sana na ina faida kubwa sana.
Kulishia kuku mzeeKwan hizi pumba zinatumika kufanyia nini??
Wewe inabidi uanze kufanya biashara yeyote kwanza ndo ili uache kuuliza maswali ya kipumbavu hivi.Hizo pumba na shudu ni kufika na kuuza tu chapu au ndo mpka uanze udalali
Ungemjibu mzee[emoji14][emoji14][emoji14]Wewe inabidi uanze kufanya biashara yeyote kwanza ndo ili uache kuuliza maswali ya kipumbavu hivi.