Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

Wakati unafikiria biashara ya kufanya endelea kufanya kile kile lichokupatia hiyo 2million
 
Itupie kwenye kilimo cha nyanya

Kuanzia mwezi wa April hadi August utapiga sana maokoto

Speaking from experience
Wabongo ni watu wenye roho mbaya sana, kipind cha april mpk august ndio kipindi nyanya hua nyingi sokoni na bei yake hua chini sana..kama huna lengo la kumsaidia bora uache kuliko kumpa ushauri wa kumpoteza
 
Pet Geo nimesoma nyuzi zako za kutafuta kazi tangu sijajiunga na JF nipo chuo 2018 huko yaani miaka sita mpaka Leo umekusanya mtaji wa 2 Milion kweli maisha magumu sana haya
 
Pet Geo nimesoma nyuzi zako za kutafuta kazi tangu sijajiunga na JF nipo chuo 2018 huko yaani miaka sita mpaka Leo umekusanya mtaji wa 2 Milion kweli maisha magumu sana haya
😃😀😄 kitaa noma unaanguka na kuinuka, unapata kazi unafukuzwa baada ya mwaka mmoja, unasema uanze biashara inakufa baada ya miaka miwili😀🙃 unaanza tena kutafuta kazi 😀
 
Mkuu inategemea na maeneo labda, ulipaswa umuulize ni mkoa/mikoa gani kwa kipindi hicho bei huwa kubwa.
Wabongo ni watu wenye roho mbaya sana, kipind cha april mpk august ndio kipindi nyanya hua nyingi sokoni na bei yake hua chini sana..kama huna lengo la kumsaidia bora uache kuliko kumpa ushauri wa kumpoteza
 
Wakuu habarin!

Nimejitaidi kufanya kazi kwa muda mrefu Sana mpaka nikafanikiwa kukusanya kiasi cha Million 2 ila nimeshidwa nifanye biashara gani.

Wakuu mwenye wazo la biashara naomba anisadie, napatikana Mwanza, kuajiriwa nimechoka Sana.

Naombeni wazo la biashara wakuu.
Kwa muda mrefu duh 😄 ila nyie maboss niwamchongo sasa nimepigwa tukio huko hapana 😄
 
Back
Top Bottom