Nina mtaji wa milioni 1.5 nataka kufungua biashara hii, wazoefu nahitaji mawazo yenu

Nina mtaji wa milioni 1.5 nataka kufungua biashara hii, wazoefu nahitaji mawazo yenu

We omba tu TRA wasikuotee, na kwa njia ya Posta wanaweza wasikuotee lakini wakikuotea, TRA hawana aibu!! Hata hivyo, jaribu kununua kwa buyers tofauti (about 2 buyers kwa same product) ili kupunguza risk ya kuchelewa mzigo na kucheleza zaidi! Mimi si mara moja wala mara 2, nimeshawahi kupata mizigo within 2 weeks, lakini pia si mara moja wala mara mbili, nimeshawahi kupata mzigo kwa zaidi ya mwezi!

Aidha, jaribu pia kutafuta supplier wa same product aliye Alibaba kwa sababu kwavile wanauza jumla, hawa ni more cheap though mtihani upo kwenye kupata supplier anaye-ship to Tanzania!
Unapatikana wapi mkuu nataka tuyajenge
 
Utapiga hela mpaka ushangae mkuu kama kweli mzunguko upo. Kila la heri. Naona kila bidhaa unaingiza zaidi ya nusu ya bei uliyonunulia.


Ila mkuu alibaba ni cheap zaidi hususani kama unachukua piece kuanzia 100 kwa kila bidhaa.
 
We omba tu TRA wasikuotee, na kwa njia ya Posta wanaweza wasikuotee lakini wakikuotea, TRA hawana aibu!! Hata hivyo, jaribu kununua kwa buyers tofauti (about 2 buyers kwa same product) ili kupunguza risk ya kuchelewa mzigo na kucheleza zaidi! Mimi si mara moja wala mara 2, nimeshawahi kupata mizigo within 2 weeks, lakini pia si mara moja wala mara mbili, nimeshawahi kupata mzigo kwa zaidi ya mwezi!

Aidha, jaribu pia kutafuta supplier wa same product aliye Alibaba kwa sababu kwavile wanauza jumla, hawa ni more cheap though mtihani upo kwenye kupata supplier anaye-ship to Tanzania!
Nashukru kwa mawazo yako bila shaka ni mzoefu Wa hii biashara
 
Utapiga hela mpaka ushangae mkuu kama kweli mzunguko upo. Kila la heri. Naona kila bidhaa unaingiza zaidi ya nusu ya bei uliyonunulia.


Ila mkuu alibaba ni cheap zaidi hususani kama unachukua piece kuanzia 100 kwa kila bidhaa.
Ali baba kweli nzuri ishu ipo kwenye malipo sjawai lakin naona kuna risk flani tofaut na ali express
 
Si umesema usha agiza tiyari? Hahaaa kwa kuongea unawexa ona ni kitu rahisi sana. Watu Mikoani wenye Maduka ya mitahi ya milion hadi 100 wanachukua mzigo Dar sembuse wewe milion 1 mtaji wa kimachinga?

Kachukue kwa Maduka ya Jumla Dar. Kwa kuongea ni rahisi mno tena mno ila njoo kwenye practical ndo utaelewa ninacho manisha.
Huo mtaji Wa kimachinga ni wangu Mimi na ndio nnapo anzia binafsi nimeamua kuchukua through Ali express sio kwamba sijui kama dar ipo nafahamu ata hao Wa dar nao wanatoa uko uko alibaba amazon n.k
Alafu mtaji wangu ni 1.5 ndio uwezo wangu sasa nitajilazimishaje niwe na M 10 pasipo uwezo kuruhusu bado ujanivunja moyo mkuu labda uje na lingine.
Alafu watanzania wengi kuagiza kwa namna hii awawezi na wengine waoga wachache wanajua.
 
K
We omba tu TRA wasikuotee, na kwa njia ya Posta wanaweza wasikuotee lakini wakikuotea, TRA hawana aibu!! Hata hivyo, jaribu kununua kwa buyers tofauti (about 2 buyers kwa same product) ili kupunguza risk ya kuchelewa mzigo na kucheleza zaidi! Mimi si mara moja wala mara 2, nimeshawahi kupata mizigo within 2 weeks, lakini pia si mara moja wala mara mbili, nimeshawahi kupata mzigo kwa zaidi ya mwezi!

Aidha, jaribu pia kutafuta supplier wa same product aliye Alibaba kwa sababu kwavile wanauza jumla, hawa ni more cheap though mtihani upo kwenye kupata supplier anaye-ship to Tanzania!
Kweli Posta si rahisi juzi kuna jamaa kuchukua mzigo Mkubwa Posta nikamuuliza vipi tra akasema ajalipa zaidi ya makato madogo ya Posta basi
 
Wadau mim napatikana dsm wapi naeza pata haya mazaga kwa bei chee hvo
 
Ukitaka upige fresh hiyo biashara basi fanya mambo haya...
-Tafuta fremu karibu na maeneo ya vyuoni (Maana hizo ndio bidhaa muhimu za wanachuo wakipata boom na wana tabia ya kuigana)
-Mbali na kuweka hizo bidhaa za flash, Memory card, Charger za simu weka pia huduma ya M-Pesa/Tigo pesa/Airtel money, Photocopy na printing katika cheaper price.
-Akiagiza mzigo mkubwa/Jumla wa bidhaa kwa mara moja(Hii itapunguza gharama na utakuwa na bidhaa za kutosha wakati wowote).

Tatizo ni huo mtaji wako. Pesa ya 1.5milioni ni kidogo sana, otherwise jiongeze kidogo ili ununue boda boda yako upige mwenyewe kisomi (kuwa smart, mwaminifu na reliable) kila siku utalaza mfukoni si chini ya Elfu kumi.
 
Back
Top Bottom