We omba tu TRA wasikuotee, na kwa njia ya Posta wanaweza wasikuotee lakini wakikuotea, TRA hawana aibu!! Hata hivyo, jaribu kununua kwa buyers tofauti (about 2 buyers kwa same product) ili kupunguza risk ya kuchelewa mzigo na kucheleza zaidi! Mimi si mara moja wala mara 2, nimeshawahi kupata mizigo within 2 weeks, lakini pia si mara moja wala mara mbili, nimeshawahi kupata mzigo kwa zaidi ya mwezi!
Aidha, jaribu pia kutafuta supplier wa same product aliye Alibaba kwa sababu kwavile wanauza jumla, hawa ni more cheap though mtihani upo kwenye kupata supplier anaye-ship to Tanzania!