Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
-
- #61
Hapo nmekupata japo kuna sehemu Dar hyo business ya vyombo vya ndani inafanywa na watu wengi kwny hilo eneo lakn wote wana mzunguko mzuriBiashara zote hapo zinawezekana kasoro ya vifaa vya ujenzi mtaji wako ni mdogo.
Ya vyombo vya nyumbani naikataa, haina mzunguko mkubwa inataka location nzuri zaidi kuliko hizo nyingine.
Ya small electronics, gadgets na accessories ina mzunguko mkubwa zaidi. Ila kila biashara inataka upewe codes zake kabla ya kuingiza mtaji mazima.
Mimi nafanya biashara na kiufupi biashara ndilo jambo tunaloliweza kwenye familia yetu kwasababu tumezaliwa tumeikuta biashara hom na baadae tukawa na biashara zetuMpaka hapo nimeamini Wewe ndo mfanya biashara sasa ✍️✍️✍️.
kikubwa maisha yaende na mjini nipate heshimaMungu atusamehe ila mm pia najiendesha na ndumba
Huku kusini kulikuwa na daktari mmoja akiitwa mwambe huyu ndie alikuwa daktari bingwa wa mifupa kusini yote hii ilimtegemea yeye ila alipofariki wakatokea wengine na wanasaidia watuAmelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye mwanadamu kuwa Kinga yakee....ushawahi jiuliza uyo mganga akifa utafanyaje...mganga mwenyew anategemea pumzi ya Mungu Mkuu kuishi
Unaijua kazi ya mganga? Nimewahi kwenda kwa mganga akanifanyia dawa akaniambia nitoe 500 tuVipi hao waganga nao ni matajiri/wana mafanikio?
Au ndiyo mganga anaishi kwenye kijumba cha udongo halafu unamfuata akupe dawa ya biashara.
Zingatia niliposema vyombo vinahitaji location nzuri zaidi kuliko hizo biashara nyingine.Hapo nmekupata japo kuna sehemu Dar hyo business ya vyombo vya ndani inafanywa na watu wengi kwny hilo eneo lakn wote wana mzunguko mzuri
mwanzo hii sikuwahi kujua siri iliyo ndani mwake mpaka nilipoalikwa kwenye sherehe kama mbili hivi za daycare kama mgeni rasmi ndo nikajua tena baada ya kumkuta professor akaniambia na yeye anayo shule ya hivyo.Kuna bi mkubwa mstaafu Serikalini ameanzisha day care yake ya kihali ya chini, kutokana na muitiko wa ile idea yake pale mtaani kwa sasa ana uhakika wa kupata watoto 40 hadi 50 kwa siku, then hapo kila mtoto kwa siku anaenda na elfu 1 ya chakula na mwisho wa mwezi elfu 30 kama ada, bibi anakula pension yake kiurahisi mno
Mkuu twende No.3 nina aunt yangu alimpandia mtu kariakoo pale mpaka kumtoa mil28 na kodi analipa 600k kwa mwezi.Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.
Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..
1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)
2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)
3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)
4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.
NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
Hyo nzurii sanaa I hope utakua mtu wa kaskazini(mchaga)[emoji848]Mimi nafanya biashara na kiufupi biashara ndilo jambo tunaloliweza kwenye familia yetu kwasababu tumezaliwa tumeikuta biashara hom na baadae tukawa na biashara zetu
Duuuhh noma na ilikua ni dawa ya mambo ya biashara au.?Unaijua kazi ya mganga? Nimewahi kwenda kwa mganga akanifanyia dawa akaniambia nitoe 500 tu
Hapo nmekupata mkuu nahsi kwny uthamani wa vyombo itategemea zaidi na location ntayoipata na aina ya watu wanaopatikana hapo...kwangu mimi ningekushauri ufanye biashara ya kwanza kwa haraka ndio naona nafsi yako inaitazama kwanza na ndio maana ni ya kwanza hata kuitaja.
biashara hii haihitaji mtaji mkubwa sana na hasa ukiuza vyombo vya watu wa kati na mama lishe hivyo mtaji wa m6 unaweza tosha kwa kuanzia.
katika vyombo vyako weka vyombo vya kawaida vingi na vile vya thamani vichache 70:30 itakaa sawa.
Hapana unaweza ukaongeza na idea nyngne pia,, hyo ya spare inakuaje.?Mkuu twende No.3 nina aunt yangu alimpandia mtu kariakoo pale mpaka kumtoa mil28 na kodi analipa 600k kwa mwezi.
Japo umetuwekea limit ila kuna biashara ya spare hii mkuu ukipata watu sahihi kutoboa ni 90%.
Hakika hvi ni vitu muhmu sana ubongo inabdi utulie sana hapokitaaluma na kadri ya vimafunzo vyetu tulivyofundishwa vingine kwa kugoogle na vingine darasani unaweza kufanya yafuatayo kabla hujaamua kuchangua mradi:-
- uwezo muda na uzoefu wa biashara unayotaka kufanya
- kuna faida?
- soko likoje? hapa tunazungumza uhitaji na idadi ya wauzaji wengine?
- mtaji
- uchangiaji wa mahitaji ya familia ukoje?
Nina asilimia 100%, hiyo dawa ilifanya kazi, ila hawa wa toa sijui laki nane, mara million hamna kitu.Unaijua kazi ya mganga? Nimewahi kwenda kwa mganga akanifanyia dawa akaniambia nitoe 500 tu
Ndioa maana vibiashara vyenu havidumu.. mnakuja kulia lia humu.Mambo ya
Business proposal
SWOT
E.t.c
Naonaga ujinga tuuu...
Sawa niliyasoma chuo ila niliyakariri ili nifaulu darasani ila ukija mtaani ukitaka kutoboa....
1. Anzisha biashara
2. Weka bei kama ulizozikuta sokoni
3. Soma MCHEZO ukiwa mchezoni
4. Tafuta taarifa field
5. Tafuta waliokutangulia wakuongoze na kukupa hint
Makaratasi na mambo hayo ya darasani TUPA HUKOOOO
#YNWA
Anachotakiwa ni kuwa na connection na warehouses, ikitokea mtu kataka mifuko mingi kwa muda mdogo anavuta waya mifuko inakuja kwa haraka.Ni sahihi Mkuu, ila kwa kiasi alichonacho cha milioni 10 nadhani haitatosha labda kama anaweza kuanza kuwa dealer wa Saruji na vifaa vichache vya Plumbing
Maana ukiagiza mifuko 300 ya Saruji utatakiwa kuwa na shilingi 4,576,000 hapo ukiagiza kiwandani