Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Mengine utayakuta mbele ya safari kwa wafanyabiashara wenzako...utaonyeshwa wazee wenye chuma ulete, wakopaj maarufu n.k n.k
Pia usianze kumodify sana frame mpk wateja wakaogopa na kudhani bei zitakua juu...
 
Nomaaa aiseee,, kwahyo 4 nijitahidi kuanzia ngap
Angalau mara 2 ya hiyo. Unajua wajenzi wengi hupenda kununua bidhaa zote kwa wakati mmoja sehemu moja ili kukwepa adha ya usafiri na upakiaji. Sasa akikosa bidhaa moja dukani anaenda sehemu nyingine...

Sasa kwa 10M sio rahisi upate vifaa vingi muhimu vya ujenzi...
 
Mengine utayakuta mbele ya safari kwa wafanyabiashara wenzako...utaonyeshwa wazee wenye chuma ulete, wakopaj maarufu n.k n.k
Pia usianze kumodify sana frame mpk wateja wakaogopa na kudhani bei zitakua juu...
Daaahh madingi wa chuma ulete bdo wapogo tu aiseee[emoji21],, Kwny frame nnekupata hapo japo kuna wateja wanavutiwa pia na uzuri wa eneo hasa wale wanaoamini zaidi ktk bidhaa bora kuliko bei
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
Fanya biashara uliyo na maarifa +uzoefu nayo otherwise utapoteza kila kitu.
 
Angalau mara 2 ya hiyo. Unajua wajenzi wengi hupenda kununua bidhaa zote kwa wakati mmoja sehemu moja ili kukwepa adha ya usafiri na upakiaji. Sasa akikosa bidhaa moja dukani anaenda sehemu nyingine...

Sasa kwa 10M sio rahisi upate vifaa vingi muhimu vya ujenzi...
Hapo nmekupata wacha nizidi kukusanya madini
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
hii pesa uliipata kwenye biashara au kama imetokana na biashara basi irudishe huko huko usianza biashara nyingine kwa kuweka hela yote utalia kilio kikali sana,,anza taratibu hadi uone inaanza ku click. otherwise irudishe kwenye mzunguko ilivyopatikana if imetoka kwenye biashara
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA na Biashara ya hoteli kuuza chakula hizo ndio Biashara nzuri zitakayo kuletea pesa kwa haraka kuliko biashara nyingine ulizo zitaja. Swali langu umezaliwa tarehe gani na mwezi gani?yaani unajijuwa wewe ni mtu wa nyota gani? ukinijibu swali langu nitakwambia kitu chakufanya kizuri zaidi.
 
Kama Huna Any Support System (Back Up Ya Ajira, Asset Yako Iwe Ya Kurithi au Yako Mwenyewe Inayokuingizia Hela, Back up ya kazi / biashara za wazazi)

Fanya Yafuatayo Regardless Umesoma Au La

1. Swallow ur pride usijione kama wewe ni wa kufanya kazi za aina flan (za kisomi) pekee.

2. Nunua Smartphone Kali

3. Nunua Bajaj Used iliyo on mint condition Sajili Bolt, Uber, Taxify and the likes. Kama salio likiruhusu funga mfumo wa gas

4. Ukiwa na hicho chombo chako cha usafiri jihusishe na udalali wa vitu tofauti tofauti magari, apartments za kupangisha na vyumba ya hotels or lodges, viwanja (from clean sources)

5. Always be open minded, ukiona au kuletewa fursa hata kama huna interest nayo ipokee sikiliza na ujifunze. Kama huna mpango nayo weka information akilini itakusaidia one day. Binafsi Nina ushahuda na hili.

Utanishkuru baadae kama we ni msomi ukija shoboka na ajira za hata 2 M take home kwa mwezi niite mbwa. Nimekaa pale [emoji1428]

Exposure utayopata kwenye hzo mishe itakufungua kwenye mambo mengi sana. Biashara ulizotaja ni nzuri ila kwa mtaji huo kupoteza ni rahisi sana. Ukiwa serious 150k unafunga daily….umekosa sana 100k (Yes its possible maana huna boss chombo ni chako mwenyewe)

Kaa fikiri wenye viduka vya mangi wanafunga net profit 100k - 150k daily yet wanaweza jiongeza na kuwa exposed na mazingira ya hela tofauti wakiwa kazini ??

Wapo vijana wengi nawajua wametoka chuo hawana mishe wanajiongeza na hzo mishe wanapata na ujasiri wa kuanzisha na familia na wengine hata kununua viwanja. Service ya bajaji sio kubwa wengi wana request bajaji kuliko magari. Achia mbali wateja wa offline.

Well Mtazamo Tu, All The Best [emoji817]
 
Ni biashar inayolipa kweli ukiwa sehemu yenye mzunguko mzuri ila changamot yake kubwa ni wezi na matapeli ni wengi mnoo na Wana mbinu tofauti tofaut so ni swala la kunchunga sana... En in addition kwenye hii biashara sometimes pana kuwag na mambo ya chuma ulete nalo pia ni swala la kuwa nalo makini..
Mkuu inahitaji mtaji kama kiasi gani?
 
Hapo nmekupata mkuu nahsi kwny uthamani wa vyombo itategemea zaidi na location ntayoipata na aina ya watu wanaopatikana hapo...
Juzi kulikuwa na mtu anashangaa kwa vipi mtu kajenga nyumba kwa muda mfupi kwa biashara ya vyombo ndio nikawa namweleza jinsi inavyolipa.
soko unaweza kulitengeneza kuna aina fulani ya soko natoka nikirudi nakuja kuendelea tena na hiki nilichowaza kuhusu biashara hii usifanya kimazoea ukiona sikurudi njoo pm nitakusaidia mawazo kwakuwa huko siwezi acha kujibu msg. BURE
nimerudi!
mlo wangu wa chakula nilichokula kimenisababisha nirudi kwenye uzi huu si unajua jumatatu sio ya kuchezea hela hivyo unapiga kati ya chai na cha mchana ili siku ivuke.
katika mazingira hayo ndo nakutana na vyombo vya muhudumu wangu wa leo na kukumbuka biashara yako japo sehemu kubwa yaweza kuwafaa wengi.
nilichokuwa nasema kwa biashara ya vyombo unaweza kuifanya kwa kuikopesha lakini kabla ya kuwakopesha mama lishe wape elimu ili waweze kujua thamani ya kile unachowakopesha.
  1. weeleze ni muhimu wakawajua wateja wao ili wapate kuwahudumia kwa kadri ya walivyo ili wasiweze kuwapoteza.
  2. hii ni pamoja kuwa na taarifa zinazowafurahisha ambazo wewe wanaweza kufikiri haunazo au huzitilii maanani.
  3. mtaje anasikia furaha wakati mwingine akitambuliwa kwa jina lake au kivumishi kinachomvutia mfano Dada Hamisa , Mpenzi kwa kadri ya social gap ambayo ungependa kumwekea na ukaona anafurahia.
  4. fulani nikuhudumie nini kama muda upo unaweza kumuuliza habari za toka jana na ukaongeza kuuliza falimia hawajambo?
  5. kama hajaonekana kwa siku kadhaa muulize kwanini alikuwa haonekani anaweza kukujibu vibaya lakini usijali atalipia gharama kwa nafsi yake kumsuta kwa jibu lake kuwa baya kwako hivyo itamlazimu kurudi tena mfano kuna mtanzania mmoja alienda London kwenye duka la suruali akafika akamwita kwa kihaya baba wa kihindi ambayo tafsiri yake ilikuwa we n'gombe bei gani akichanganya kihaya na kiingereza. yule muhindi akamjibu kiswahili na huku akimwambia nilishawahi kuishi Bukoba! ikasababisha jamaa anunue suruali nyingi kwa kufuta aibu yake.
listi ni ndefu kiasi unaweza kufikiri tunatoka nje ya mada lakini baada ya kumfundisha njoo sasa mweleze umuhimu wa kuwa na vyombo vizuri vya chakula na pia mweleze jinsi anavyotakiwa kufisafisha na kufitunza.
mweleze wateja hawapendi kutumia vyombo vyenye mapengo na pia hawapendi vijiko vyepesi
uliza kwa siku anauza shilingi ngapi? na mweleze uko tayari kumkopesha vyombo na akalipa kila siku kidogo kidogo.
ni vzr kujua mauzo yake yakoje ili uweze kupata kiasi ambacho anaweza kukopesheka
 
Back
Top Bottom