Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Ukiwa na Biz premises nzuri unaaminika, but wanachopenda wale watu usiwe kigeugeu, leo unanunua mzigo kwangu kesho unaenda sehemu nyingine.

Au kwangu unakuja ukiwa na shida ya kukopa, ukiwa na Cash unaenda sehem nyingine hapo mtashindwana.
Hapo sawaa nmekumbuka pia kuna jamaa alikua anafanya business flan hvi na wahindi wale wahindi walikua wanambeba sana yule jamaa alikutana na condition km hyo pia wahindi walikua hawataki kabsa kuchanganywachanganywa
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
uza bidhaa za lazima kwa binadamu, chakula au madawa
 
Biashara nyingi zinalipa, mchawi location..
Weka hyo vifaa vya electronics, weka viswaswadu na uwakala (usiache lipa namba)...chajisha na sim...uwe mjanja kuangalia wateja wanataka nin...duka lako sio stoo ujaze mavitu mengi yasiuzika
Tumia kama 8m tu inatosha...
Kata TIN na leseni ya biashara mojawapo na uanze kazi...
Utaangalia wateja weng wapo wap...wakiwa kweny uwakala unaweka nguvu huko...
Tunafanya hivi ili kuweza kupata pesa ya kula daily, umeme, kodi, nauli n.k..tofauti na hapo unaweza kujikuta unakula mtaji wote kwa matumizi binafsi
 
Kwakweli hyo ya miamala naona inasifiwa sana ila bdo sijaimaster vzur jinsi inavyoingiza pesa lbd niipatie ufafanuz mzuri
Ni biashar inayolipa kweli ukiwa sehemu yenye mzunguko mzuri ila changamot yake kubwa ni wezi na matapeli ni wengi mnoo na Wana mbinu tofauti tofaut so ni swala la kunchunga sana... En in addition kwenye hii biashara sometimes pana kuwag na mambo ya chuma ulete nalo pia ni swala la kuwa nalo makini..
 
Biashara nyingi zinalipa, mchawi location..
Weka hyo vifaa vya electronics, weka viswaswadu na uwakala (usiache lipa namba)...chajisha na sim...uwe mjanja kuangalia wateja wanataka nin...duka lako sio stoo ujaze mavitu mengi yasiuzika
Tumia kama 8m tu inatosha...
Kata TIN na leseni ya biashara mojawapo na uanze kazi...
Utaangalia wateja weng wapo wap...wakiwa kweny uwakala unaweka nguvu huko...
Tunafanya hivi ili kuweza kupata pesa ya kula daily, umeme, kodi, nauli n.k..tofauti na hapo unaweza kujikuta unakula mtaji wote kwa matumizi binafsi
Nashukuru sana nimenote vitu viwili hapo..
1.Location[emoji871]
2.Duka lako siyo store ujaze vitu vingi visiuzike[emoji871]
 
Ni biashar inayolipa kweli ukiwa sehemu yenye mzunguko mzuri ila changamot yake kubwa ni wezi na matapeli ni wengi mnoo na Wana mbinu tofauti tofaut so ni swala la kunchunga sana... En in addition kwenye hii biashara sometimes pana kuwag na mambo ya chuma ulete nalo pia ni swala la kuwa nalo makini..
Hapo kwny matapeli ndo balaa na panahitaji utulivu kweli kumaster mbinu zao wanazotumia,, Labda wataalamu waje waelezee ni mbinu ipi hasa Matapeli wanatumia hapa..
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
1 mpaka 3 naona inafaa kwa mtaji huo. Ila no 4 kwa 10m utafilisika kabla biashara haijaanza.
 
Back
Top Bottom