Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Fungua hardware inalipa saana ndugu zangu wengi hata sisi wenyeww hardware imetutajirisha ...hio million 10 inatosha kikubwa uwe na connection na suppliers hua wanakopesha sometimes kuhusu mtaji usiogope ukiwa na suppliers wako ukihitaj vitu kama huna ela anakupa then unakuja kumlipa...kikubwa upate location nzurii hio ela inatosha Kwa kuanzia Anza na vile vitu vinavyotoka sana kama cement,mbao,gypsum,misumari,vifaa vinginevyo igawanye Io ela ununue vitu kidogo kidogo sio lazima uanze na vingi Anza na kidogo kadri siku zinavoenda biashara itakua..... achana na mambo ya waganga pesa za kichawi hua hazidumu Zina mwsho wake nna ndugu alikua anafanya biashara Kwa dawa mambo yalienda vizuri haikuchukua muda biashara ikabuma akaanza kuhangaika mganga akamwambia itabidi atoe sadaka ya mtu mke au mtoto ....yule Bwana alishindwa kilichotokea alifilisika vibaya sana to the point nyumba ilitaka kupigwa mnada......yule Bwana ilibidi atubu amrejee Mungu alivofanya ivo biashara ikachipuka upya saiv amekua mlokole biashara imekua Bora zaidi kuliko uko nyuma anaiendesha Kwa nguvu za Mungu na wokovu
Shukrani sanaa kwa hii elimu kubwa ndugu ntakutafuta kwa maelekezo zaidi[emoji120]
 
Kwani kujulikana ndiyo kunazuia mtu asitapeli? Tena kwenye haya mambo ya uganga ndiyo rahisi kweli kweli kwani huwa hakuna kipimo. BTW kama uko huko Mtwara nitakusamehe kwani sehemu nyingine imani za uchawi ni kama utamaduni.
Unisamehe niliekuzidi kila kitu maishani mbona unachekesha binti?
 
Unisamehe niliekuzidi kila kitu maishani mbona unachekesha binti?
Najua Tanzania mwanamme kumuita mwingine ''binti'' ndiyo tunadhani ni ujanja na akili. FYI mimi nawaheshimu sana wanawake na nawapenda kiasi ambacho ukiniita binti naona ni kama umenipa heshima.
 
Najua Tanzania mwanamme kumuita mwingine ''binti'' ndiyo tunadhani ni ujanja na akili. FYI mimi nawaheshimu sana wanawake na nawapenda kiasi ambacho ukiniita binti naona ni kama umenipa heshima.
Hakuna mahali niliposema mimi ni mjanja na ninyi wanawake mimi nawaheshimu mno kwasababu ndivyo mafundisho ya dini yanavyotutaka tufanye
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nimebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwenye Biashara na kwa kufikiria nimepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwenye majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji, Mabeseni, Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS
Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.
3 au 4 zitakilipa
 
Software z

Software za kuzuia kila aina za hila kwenye biashara yako. Kuna watu wanaweza ifanya isionekane.
Kwa mfano wewe biashara yako ni ya kuuza nguo lkn akija mteja anaona bidhaa zako ni majembe.

Kuuza bidhaa ukichanganya ile fedha uliyopewa na zingine kumbe ni virus,inahamisha fedha zako kwenda ilikotokea hiyo virus.

Unaweza kuta mko wafanya biashara kadhaa ndani ya eneo moja lkn ni biashara yako tu ndio huibiwa,huungua nk.

Kudhibiti na kulinda fedha yako ni kazi kubwa kuliko kuitafuta hiyo fedha.
mbona hivi vitu vya kawaida sana labda kama mtu analeta ubishi,biashara za kiafrica 90% zinaongozwa na magic
usione hata hawa matajiri wakubwa wana vitu vyao ,wananunua malori na kuchinja mbuzi kufanya kafara.
kuna mtu alikuwa ananipa story vile watu hutumia hadi misukule kuja dukani kubeba mali.yaanni mfano unauza duka la jumla mtu anakuja na cash anataka katoni kadhaa,ile unatuma vijana kwenda kubeba na yeye anatuma misukule kama ni katoni 20 misukule na wanaongeza 20 wanabeba.
Nenda pale zile frem za jumla mbagala wanauza vitu vya jumla watu wamejipiga password hadi zinaonekana.mtwara huko popo wanahamisha kororsho toka shamba moja kwenda jingine.
 
mbona hivi vitu vya kawaida sana labda kama mtu analeta ubishi,biashara za kiafrica 90% zinaongozwa na magic
usione hata hawa matajiri wakubwa wana vitu vyao ,wananunua malori na kuchinja mbuzi kufanya kafara.
kuna mtu alikuwa ananipa story vile watu hutumia hadi misukule kuja dukani kubeba mali.yaanni mfano unauza duka la jumla mtu anakuja na cash anataka katoni kadhaa,ile unatuma vijana kwenda kubeba na yeye anatuma misukule kama ni katoni 20 misukule na wanaongeza 20 wanabeba.
Nenda pale zile frem za jumla mbagala wanauza vitu vya jumla watu wamejipiga password hadi zinaonekana.mtwara huko popo wanahamisha kororsho toka shamba moja kwenda jingine.
Sijaelewa hapo "Watu wanajipiga password hadi zinaonekana" znaonekanaje hyo mkuu
 
mbona hivi vitu vya kawaida sana labda kama mtu analeta ubishi,biashara za kiafrica 90% zinaongozwa na magic
usione hata hawa matajiri wakubwa wana vitu vyao ,wananunua malori na kuchinja mbuzi kufanya kafara.
kuna mtu alikuwa ananipa story vile watu hutumia hadi misukule kuja dukani kubeba mali.yaanni mfano unauza duka la jumla mtu anakuja na cash anataka katoni kadhaa,ile unatuma vijana kwenda kubeba na yeye anatuma misukule kama ni katoni 20 misukule na wanaongeza 20 wanabeba.
Nenda pale zile frem za jumla mbagala wanauza vitu vya jumla watu wamejipiga password hadi zinaonekana.mtwara huko popo wanahamisha kororsho toka shamba moja kwenda jingine.
Hadi mashambani misukule inaenda kuiba.
Km mtu hajawahi fanyia biashara maeneo tofautitofauti ndiye atakaye bisha.
Haya yapo sana mkuu.
 
Back
Top Bottom