Bajaji m7 mkuu pesa yake haitatosha labda anunue used kwa mtiTumia M3 kuvuta boda mbili. Au bajaji Moja.
Tumia M1 kusoge karibu na maeneo ya vyuoni tafuta frem, vuta mtumba (viatu au nguo au vyote) flani stereo (wa wadada) panga
Tumia M 2 kununua nafaka. Uza reja reja.
Nilimaanisha hikiBajaji m7 mkuu pesa yake haitatosha labda anunue used kwa mti
1: Lima mananasi Kiwangwa.
Nitakupa maelekezo mwanzo mwisho.
2: Uza Mifuko mbadala wa Plastiki ninayo stock ya kutosha.
Milioni sita inunue kiwanja, ijenge,Nunua Kiwanja kihifadhi tuu au kama unacho jenga nyumba ya kupangisha bado tunahitaji nyumba za kupanga.
Ni ngumu sana kuendesha Biashara huku umeajiriwa otherwise uache Kazi jiajiri. Vinginevyo ukubali kula Na mfanyakazi
Toa maelezo vizuri nduguKama una msimamizi unayemuamini kuhusu heka yako nicheki. Niko Geita.
Milioni sita inunue kiwanja, ijenge,
Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
OPTION YA SALON YA KIUME NI NZURI,fungua mpesa na bank wakala ..ni rahisi kusimamia coz transaction zote zinakuwa na statement.Au fungua salun ya kiume unaweka mtu mnaelewana kiasi atakachokupa kwa wiki afu gharama zingine zote zinakua zake(kama wanavyofanya daladala)
OPTION YA KWANZA HIYO ATALIA SOON.Tumia M3 kuvuta boda mbili. Au bajaji Moja.
Tumia M1 kusoge karibu na maeneo ya vyuoni tafuta frem, vuta mtumba (viatu au nguo au vyote) flani stereo (wa wadada) panga
Tumia M 2 kununua nafaka. Uza reja reja.
HILO ENEO NIMESHALIWAHIA,Asante mkuu wacha kesho nitembelee maeneo hayo. Nipate kujionea
ATALIA KILIO CHA KENGE MWENYE MBAWA!!!Fanya Forex and Allience in global motion.