Nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye

Nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye

Fungua account usitoe hela kwa miezi Sita huku unajipatia percent ya faida wakati huo huo endelea kufikiria wazo la biashara.....
 
Tumia M3 kuvuta boda mbili. Au bajaji Moja.

Tumia M1 kusoge karibu na maeneo ya vyuoni tafuta frem, vuta mtumba (viatu au nguo au vyote) flani stereo (wa wadada) panga

Tumia M 2 kununua nafaka. Uza reja reja.
Bajaji m7 mkuu pesa yake haitatosha labda anunue used kwa mti
 
1: Lima mananasi Kiwangwa.
Nitakupa maelekezo mwanzo mwisho.

2: Uza Mifuko mbadala wa Plastiki ninayo stock ya kutosha.
 
1: Lima mananasi Kiwangwa.
Nitakupa maelekezo mwanzo mwisho.

2: Uza Mifuko mbadala wa Plastiki ninayo stock ya kutosha.

IMG_0196.JPG
IMG_9971.JPG
C6F2D701-4394-468B-91EF-58DB652D48AD.jpg
 
Nunua Kiwanja kihifadhi tuu au kama unacho jenga nyumba ya kupangisha bado tunahitaji nyumba za kupanga.

Ni ngumu sana kuendesha Biashara huku umeajiriwa otherwise uache Kazi jiajiri. Vinginevyo ukubali kula Na mfanyakazi
Milioni sita inunue kiwanja, ijenge,
 
Dah huwa nasikitikaga sana mtu anapesa nying afu amekosa chakufanya kwel mung akup vyote, mwingne kanyimwa pesa lkn anamawazo kibao, vitu vya kufanya viko ving lkn cha kwanza lazm naww uwe na mda ili uweze kufanikiwa au umpate mtu mwaminifu sana atake weza kukusaidia ktk hilo,
 

Aina 50 ya ONLINE BUSINESSES Platforms Unazoweza Anzisha TZ na Uka-Dominate Soko
Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
 
fungua mpesa na bank wakala ..ni rahisi kusimamia coz transaction zote zinakuwa na statement.Au fungua salun ya kiume unaweka mtu mnaelewana kiasi atakachokupa kwa wiki afu gharama zingine zote zinakua zake(kama wanavyofanya daladala)
OPTION YA SALON YA KIUME NI NZURI,

ILA NIKIKUMBUKA WALICHONIFANYIA VINYOZI MWAKA JUZI-
SINA HAMU KWA SASA,

LABDA BAADA'E KIDOGO!!!
 
Tumia M3 kuvuta boda mbili. Au bajaji Moja.

Tumia M1 kusoge karibu na maeneo ya vyuoni tafuta frem, vuta mtumba (viatu au nguo au vyote) flani stereo (wa wadada) panga

Tumia M 2 kununua nafaka. Uza reja reja.
OPTION YA KWANZA HIYO ATALIA SOON.
 
Back
Top Bottom