Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
HAYA MADINI UMEKOPI KWANGU HAYA!!!Please note the following.
1.Mafanikio hayaji kwa sababu umefanya kitu kipya kabisa tu bali hata kile wengine wanachofanya ila unaamua kufanya kwa njia tofauti .( tafuta uniqueness)
2.Unapofanya kitu usichokipenda toka moyoni utatumia nguvu kubwa sana kufanikiwa tofauti na mtu ambaye anafanya kitu akipendacho kutoka moyoni. UNAPENDA NINI?
3.MONEY NEVER STARTS AN IDEA, IT IS THE IDEA THAT STARTS THE MONEY.
to be continued
WENGINE WANAVUMILIA TU MAKAZINI ILI KUKUSANYA MTAJI,Kama umeweza kujiwekea mpaka kufikisha hapo natumaini hata mara 4 yake unaweza pia.
Kama unapenda kazi yako na inakulipa kiasi cha kupata na akiba basi nakushauri uendelee kuzikusanya tu kwa nguvu zote
Bado mdogo piga kazi kwanza na zikusanye haswa baadae utakuja kujua nini cha maana kufanya bila kuitegemea tena hiyo kazi
CHOMBO CHA MOTO USED BONGO UWEZEKANO WA KULIA KILIO CHA KENGE NI MKUBWA!!!Bajaji m7 mkuu pesa yake haitatosha labda anunue used kwa mti
Do what you know and like...Habari ya muda huu wakuu.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
SAAAAAFI KABISA,Kama unahitaji biashara ambayo hutaibiwa tafuta sehemu ufungue uwakala wa tigo pesa na mpesa na huduma ya max malipo, ukipata sehemu nzuri yenye mzunguko unasubr commission yako nzuri tu mwisho wa mwezi.
% kubwa ya wafanyakazi hawazipendi kazi zao kweli kabisaWENGINE WANAVUMILIA TU MAKAZINI ILI KUKUSANYA MTAJI,
ILA HAWAIPENDI KAZI!!!
Ukiona umekosa kabisa biashara ya kufanya fungua huu uzi hapa chini, unaweza ukaambulia mawili matatu.Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
Unavyoandika ni kama vile unaelewa jamaa yuko mkoa gani, na mkoa mzima ofisi ya GEPF ni moja.Kama unafikiria kufanya biashara hiyo basi jiongeze.Kuna sehemu nimeiona fursa hiyo .Nenda pale nyuma ya jengo la GEPF kwa nyuma kuna parking kubwa ya magari hakuna huduma hiyo japo Luna vijana wachache huwa nawaona na baadhi ya walinzi wakiosha baadhi ya magari lakini hawako rasmi na hawana cage zile za kupandisha gari kidogo iwe juu ili ioshwe vizuri na hawana mipira ile maalum yenye pressure kwa ajili ya kusafisha uchafu sugu nk.Nenda serikali ya mtaa kaombe kibali cha kuweka car wash, na kitambulisho chako cha mjasiriamali uanze kazi.Nafikiri mpaka hapo utakuwa umepata pa kuanzia.All the best.
Upo dar es salaam sehem gan labdaHabari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
Mkuu kwa nini unasema hyo option ya Bajaj/bodaboda atalia?OPTION YA KWANZA HIYO ATALIA SOON.
Usikatishe watu tamaaOPTION YA KWANZA HIYO ATALIA SOON.
Mara nyingi ukizishika mkononi idea za BiASHARA zinayeyuka, hasa Kama hyo fedha Ni fixed, NA sabb Ni kuwa unajaribu KUPATA the best idea in terms of: faida, usalama wa mtaji, nk, unachanganua idea nyiiiingi Hadi unasahau ulikoanzia!Dah huwa nasikitikaga sana mtu anapesa nying afu amekosa chakufanya kwel mung akup vyote, mwingne kanyimwa pesa lkn anamawazo kibao, vitu vya kufanya viko ving lkn cha kwanza lazm naww uwe na mda ili uweze kufanikiwa au umpate mtu mwaminifu sana atake weza kukusaidia ktk hilo,
Bodaboda/Bajaj inafaa tu Kama ataendesha mwenyewe.. otherwise ataliaTumia M3 kuvuta boda mbili. Au bajaji Moja.
Tumia M1 kusoge karibu na maeneo ya vyuoni tafuta frem, vuta mtumba (viatu au nguo au vyote) flani stereo (wa wadada) panga
Tumia M 2 kununua nafaka. Uza reja reja.
Picha za mifuko?1: Lima mananasi Kiwangwa.
Nitakupa maelekezo mwanzo mwisho.
2: Uza Mifuko mbadala wa Plastiki ninayo stock ya kutosha.
Fafanua vizuri hapa mkuu.Bodaboda/Bajaj inafaa tu Kama ataendesha mwenyewe.. otherwise atalia
MSHUKURU SANA DEREVA WAKO NI MWEMA,Fafanua vizuri hapa mkuu.
Mimi mbona nimenunua bodaboda nikampa dereva na ananiletea hesabu kila wiki.Sasa atalia kivipi?
Katika biashara ambayo Inahitaji usimamizi na uwepo wa karibu basi ni hiyo miamala..Kama unahitaji biashara ambayo hutaibiwa tafuta sehemu ufungue uwakala wa tigo pesa na mpesa na huduma ya max malipo, ukipata sehemu nzuri yenye mzunguko unasubr commission yako nzuri tu mwisho wa mwezi.
Nilichofanya nimempa jamaa tunayefahamiana na ni mtu mzima mwenye familia yake.MSHUKURU SANA DEREVA WAKO NI MWEMA,
NI MMOJA KATI YA ELFU MOJA.