Nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye

Nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye

Please note the following.

1.Mafanikio hayaji kwa sababu umefanya kitu kipya kabisa tu bali hata kile wengine wanachofanya ila unaamua kufanya kwa njia tofauti .( tafuta uniqueness)

2.Unapofanya kitu usichokipenda toka moyoni utatumia nguvu kubwa sana kufanikiwa tofauti na mtu ambaye anafanya kitu akipendacho kutoka moyoni. UNAPENDA NINI?

3.MONEY NEVER STARTS AN IDEA, IT IS THE IDEA THAT STARTS THE MONEY.

to be continued
HAYA MADINI UMEKOPI KWANGU HAYA!!!
 
Kama umeweza kujiwekea mpaka kufikisha hapo natumaini hata mara 4 yake unaweza pia.
Kama unapenda kazi yako na inakulipa kiasi cha kupata na akiba basi nakushauri uendelee kuzikusanya tu kwa nguvu zote
Bado mdogo piga kazi kwanza na zikusanye haswa baadae utakuja kujua nini cha maana kufanya bila kuitegemea tena hiyo kazi
WENGINE WANAVUMILIA TU MAKAZINI ILI KUKUSANYA MTAJI,
ILA HAWAIPENDI KAZI!!!
 
Habari ya muda huu wakuu.

Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
Do what you know and like...

Badala ya kuwauzia wanachuo wauzie wafanyakazi wenzako..., na sababu tayari una contact za wateja wa nguo hata ukifungua kibanda, au online shop instagram au whatsapp unaweza ukawauzia, tatu sababu wewe ndio unanunua bidhaa na unajua stock, kuibiwa sio rahisi
 
Kama unahitaji biashara ambayo hutaibiwa tafuta sehemu ufungue uwakala wa tigo pesa na mpesa na huduma ya max malipo, ukipata sehemu nzuri yenye mzunguko unasubr commission yako nzuri tu mwisho wa mwezi.
SAAAAAFI KABISA,
SAAAAAFI!!!

TUOMBE MATAPELI NA WEZI WAKAE MBALI!!!
 
WENGINE WANAVUMILIA TU MAKAZINI ILI KUKUSANYA MTAJI,
ILA HAWAIPENDI KAZI!!!
% kubwa ya wafanyakazi hawazipendi kazi zao kweli kabisa
Ila kujipinda haswa ili ukusanye na kuanza hata biashara ndogo au kufikia malengo yako
 
Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
Ukiona umekosa kabisa biashara ya kufanya fungua huu uzi hapa chini, unaweza ukaambulia mawili matatu.

 
Kama unafikiria kufanya biashara hiyo basi jiongeze.Kuna sehemu nimeiona fursa hiyo .Nenda pale nyuma ya jengo la GEPF kwa nyuma kuna parking kubwa ya magari hakuna huduma hiyo japo Luna vijana wachache huwa nawaona na baadhi ya walinzi wakiosha baadhi ya magari lakini hawako rasmi na hawana cage zile za kupandisha gari kidogo iwe juu ili ioshwe vizuri na hawana mipira ile maalum yenye pressure kwa ajili ya kusafisha uchafu sugu nk.Nenda serikali ya mtaa kaombe kibali cha kuweka car wash, na kitambulisho chako cha mjasiriamali uanze kazi.Nafikiri mpaka hapo utakuwa umepata pa kuanzia.All the best.
Unavyoandika ni kama vile unaelewa jamaa yuko mkoa gani, na mkoa mzima ofisi ya GEPF ni moja.
 
Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana nafahamu biashara nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana ili kuepusha vitu kama kutapeliwa pesa.
Nilishawahi kufanya biashara ndogo ndogo nikiwa chuo kama kuuza nguo na viatu kwa wanachuo wenzangu wa jinsia ya kike.
Kwa kuileta mada hii kwenu nina imani nitapata msaada mzuri wa mawazo ya biashara kutokana na hali yangu halisi ilivyo.
Ahsanteni.
Upo dar es salaam sehem gan labda
 
Dah huwa nasikitikaga sana mtu anapesa nying afu amekosa chakufanya kwel mung akup vyote, mwingne kanyimwa pesa lkn anamawazo kibao, vitu vya kufanya viko ving lkn cha kwanza lazm naww uwe na mda ili uweze kufanikiwa au umpate mtu mwaminifu sana atake weza kukusaidia ktk hilo,
Mara nyingi ukizishika mkononi idea za BiASHARA zinayeyuka, hasa Kama hyo fedha Ni fixed, NA sabb Ni kuwa unajaribu KUPATA the best idea in terms of: faida, usalama wa mtaji, nk, unachanganua idea nyiiiingi Hadi unasahau ulikoanzia!
 
Tumia M3 kuvuta boda mbili. Au bajaji Moja.

Tumia M1 kusoge karibu na maeneo ya vyuoni tafuta frem, vuta mtumba (viatu au nguo au vyote) flani stereo (wa wadada) panga

Tumia M 2 kununua nafaka. Uza reja reja.
Bodaboda/Bajaj inafaa tu Kama ataendesha mwenyewe.. otherwise atalia
 
Mimi naona uchunguze kwanza aina tofauti ya biashara ndo uanze
 
Kama unahitaji biashara ambayo hutaibiwa tafuta sehemu ufungue uwakala wa tigo pesa na mpesa na huduma ya max malipo, ukipata sehemu nzuri yenye mzunguko unasubr commission yako nzuri tu mwisho wa mwezi.
Katika biashara ambayo Inahitaji usimamizi na uwepo wa karibu basi ni hiyo miamala..
Asidanganyike akatia hela zote huko, uaminifu kwenye pesa ni mdogo hata ukipata mwaminifu bado kuna changamoto ya matapeli!
 
Back
Top Bottom