Haya ndio mambo ya kushauriana sasa safi sana mdau.Mtaji mkubwa sana huo hongera Bwanyenye.
Nakushauri kule Mafinga usiende kama mwekezaji utapigwa, nenda kama unazuga unataka kuishi halafu anza kuchukua ardhi "grabbing" utapata ardhi kubwa kwa bei ndogo ndani ya mwaka ndio uanze uwekezaji wako. Ukienda kama investor itakugharimu mkuu.
Kila la kheri
Pamoja sana mdau.Haya ndio mambo ya kushauriana sasa safi sana mdau.
Una milioni 200 tu, unataka kuwa unaishi kwenye mji wa upper middle class na uwe unatumia usafri wa ndege kwenda huko.Habari Wana JF,
Mimi ni mwanabiashara kutoka Nairobi, Kenya. Ninafanya biashara katika sekta za Ujenzi na Real Estate.
Katika pilka pilka za kibiashara, nimekuja kuugundua mji wa Mafinga. Mji wa Mafinga unajulikana kama mji wenye mbao na miti mingi zaidi Tanzania. Kwa sekta yangu ya Ujenzi hapa kenya, kuna demand kubwa sana ya Mbao kwa hivyo soko itakuwa ni hapa Kenya.
Kama nilivyosema kwenye mada, nina mtaji wa millioni mia mbili pesa za Tanzania.
Ningependa kuwekeza katika hii sekta ya mbao kwa kuweka sawmill hapo mafinga.
Je, ni kweli kwamba miti iko available easily?
Biashara hii wakenya tunaruhusiwa kujihusisha nayo pia?
Ninaweza kupata shamba la ku-lease ili niweke hiki kiwanda? Kulease kiwanda itagharimu pesa ngapi hivi per acre.
Mapato ya hii sekta hukuwa vipi?
Bei ya sawmill kule Tanzania ni pesa Ngapi? Hapa Kenya inaanzia Tsh. 60 million kuendelea.
Bei ya miti mafinga ni ngapi hivi?
Nikifanya biashara Mafinga nitaishi wapi? Ningependelea mji ambao ni upper-middle class kwendelea.
Kuna Ndege zinazokwenda route ya Mafinga au Iringa to Arusha?
Kuna taratibu nyingine maalamu kwenye hii biashara ambazo ninafaa kuzijua?
Je, hii biashara inalipa?
Ninaomba ushauri wenu.
Ninashukuru.
Kila la kheri mkuu ila kama ni genuinelyNo brother. I am 100% honest. 200M kwa sekta ya ujenzi ni jambo la kawaida tu. Niko hapa kupokea mawaidha kutoka kwa Internet friends kisha niende kwa ground with a good understanding of where to start.
Nashukuru kwa hoja.
Nakushauri tafuta biashara nyingine ufanye. Au uendelee na biashara hyo hyo unayofanyaHabari Wana JF,
Mimi ni mwanabiashara kutoka Nairobi, Kenya. Ninafanya biashara katika sekta za Ujenzi na Real Estate.
Katika pilka pilka za kibiashara, nimekuja kuugundua mji wa Mafinga. Mji wa Mafinga unajulikana kama mji wenye mbao na miti mingi zaidi Tanzania. Kwa sekta yangu ya Ujenzi hapa kenya, kuna demand kubwa sana ya Mbao kwa hivyo soko itakuwa ni hapa Kenya.
Kama nilivyosema kwenye mada, nina mtaji wa millioni mia mbili pesa za Tanzania.
Ningependa kuwekeza katika hii sekta ya mbao kwa kuweka sawmill hapo mafinga.
Je, ni kweli kwamba miti iko available easily?
Biashara hii wakenya tunaruhusiwa kujihusisha nayo pia?
Ninaweza kupata shamba la ku-lease ili niweke hiki kiwanda? Kulease kiwanda itagharimu pesa ngapi hivi per acre.
Mapato ya hii sekta hukuwa vipi?
Bei ya sawmill kule Tanzania ni pesa Ngapi? Hapa Kenya inaanzia Tsh. 60 million kuendelea.
Bei ya miti mafinga ni ngapi hivi?
Nikifanya biashara Mafinga nitaishi wapi? Ningependelea mji ambao ni upper-middle class kwendelea.
Kuna Ndege zinazokwenda route ya Mafinga au Iringa to Arusha?
Kuna taratibu nyingine maalamu kwenye hii biashara ambazo ninafaa kuzijua?
Je, hii biashara inalipa?
Ninaomba ushauri wenu.
Ninashukuru.
Haha...I think you have the wrong impression..nina uzoefu wa kibiashara za kikawaida niko very hands-on ...ninataka mji upper-middle class kwa sababu ya amenities kama secure parking, access to good roads na security nikiwacha gari hapo ibaki safe. Usafiri wa ndege ni very convenient and fast kwa sababu Tanzania is one massive country na speed limit za 50km/hr saa zingine hazitupendezi sisi wakenya.Una milioni 200 tu, unataka kuwa unaishi kwenye mji wa upper middle class na uwe unatumia usafri wa ndege kwenda huko.
Hii biashara hautaiweza Mkuu. Ukiwa unafanya hizi biashara za kawaida zenyewe ndo zinakupangia wape pa kuishi na kulala.
🤣🤣🤣200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
Huko kuna madalali na matapeli kweli kweli,chukua tahadhari pindi utakapo amua kupelekea hukoHabari Wana JF,
Mimi ni mwanabiashara kutoka Nairobi, Kenya. Ninafanya biashara katika sekta za Ujenzi na Real Estate.
Katika pilka pilka za kibiashara, nimekuja kuugundua mji wa Mafinga. Mji wa Mafinga unajulikana kama mji wenye mbao na miti mingi zaidi Tanzania. Kwa sekta yangu ya Ujenzi hapa kenya, kuna demand kubwa sana ya Mbao kwa hivyo soko itakuwa ni hapa Kenya.
Kama nilivyosema kwenye mada, nina mtaji wa millioni mia mbili pesa za Tanzania.
Ningependa kuwekeza katika hii sekta ya mbao kwa kuweka sawmill hapo mafinga.
Je, ni kweli kwamba miti iko available easily?
Biashara hii wakenya tunaruhusiwa kujihusisha nayo pia?
Ninaweza kupata shamba la ku-lease ili niweke hiki kiwanda? Kulease kiwanda itagharimu pesa ngapi hivi per acre.
Mapato ya hii sekta hukuwa vipi?
Bei ya sawmill kule Tanzania ni pesa Ngapi? Hapa Kenya inaanzia Tsh. 60 million kuendelea.
Bei ya miti mafinga ni ngapi hivi?
Nikifanya biashara Mafinga nitaishi wapi? Ningependelea mji ambao ni upper-middle class kwendelea.
Kuna Ndege zinazokwenda route ya Mafinga au Iringa to Arusha?
Kuna taratibu nyingine maalamu kwenye hii biashara ambazo ninafaa kuzijua?
Je, hii biashara inalipa?
Ninaomba ushauri wenu.
Ninashukuru.
Mkuu, kuwa na heshima. Lengo ni kufika Mafinga physically lakini hata hivyo, the first step is to start collecting sentiments ile uwe na context ukienda ground.Sijaona muwekezaji hapa!.........hata hajui anachokitafuta....
Mfanyabiashara makini mwenye lengo mahsusi, hasa hufika eneo husika kufanya research physically.....
kuwekeza kiasi cha fedha kama hichi kunahitaji umakini,
Milioni mia2 mzee sio makalio! Hayo......! kwamba KILA mtu anayo....!
Ooo yes.... pia nakutahadhalisha hao wanao jifanya kuku PM kuwa nao makini wana weza kua ni matapeli wakubwa, kama ni ushauri watoe hapa hapa hadharani,,, hili jukwaa ni la uwazi na ukweli wanavyo kuita chamber wana taka wakulaghai hao.Mkuu, kuwa na heshima. Lengo ni kufika Mafinga physically lakini hata hivyo, the first step is to start collecting sentiments ile uwe na context ukienda ground.
Teknologia imebadilisha mambo.
Ila ninakubali kila mtu ana njia zake na hii mimi mara nyingi imenifaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
Sio tu mashetani,ila mashetani mafisi😄Ooo yes.... pia nakutahadhalisha hao wanao jifanya kuku PM kuwa nao makini wana weza kua ni matapeli wakubwa, kama ni ushauri watoe hapa hapa hadharani,,, hili jukwaa ni la uwazi na ukweli wanavyo kuita chamber wana taka wakulaghai hao.
Kaa kijanja mzee kuna watu ni zaidi ya mashetani.
Uwanja wa ndege upo Iringa mjini njia ya kuelekea Dodoma. Unaitwa uwanja wa ndege wa Nduli. Na kwa sasa uko katika matengenezo ya kutanuliwa, ili uweze kupokea ndege kubwa.Ni kweli mji wa mafinga, na mufindi yote kwa ujimla pia mkoa wa njombe kuna miti mingi sana mbao nyingi sana za kutosha.
Kuhusu makazi pindi utakapo kua Tanzania kama uta chagua mafinga tafuta nyumba hapo hapo huwezi kukosa, pia mafinga hakuna kiwanja cha ndege hata iringa sidhani labda uchukue ndege ya arusha Dar mbeya ukitua mbeya uchukue costa mpaka mafinga sio mbali ni mwendo wa saa moja na nusi au saa moja tu kuhusu kibali cha kusafirisha Kenya sifahamu na menginyo wanakuja.
Kwa mahesabu yako mil200 ni pesa ndogo sana! Ukikua utaelewa! Mil10 tu yenyewe kwa sasa haina kazi200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
Pia mkumbusheni kwenye usafirishaji wa mbao atakuwa anamwaga pesa kwenye kila barrier anayosimamishwa na wazee.Una milioni 200 tu, unataka kuwa unaishi kwenye mji wa upper middle class na uwe unatumia usafri wa ndege kwenda huko.
Hii biashara hautaiweza Mkuu. Ukiwa unafanya hizi biashara za kawaida zenyewe ndo zinakupangia wape pa kuishi na kulala.
Cost of labour sio changamoto kwa TZ.Nimesahau kuulizia kuhusu cost of labour in Tanzania kwa hivyo pia mkisoma huu ujumbe mnipe ushauri kuhusu swala la cost of labour.
Ukiachana na biashara ya madini hii ndio inayofuata kwa mambo ya utapeli.Huko kuna madalali na matapeli kweli kweli,chukua tahadhari pindi utakapo amua kupelekea huko