Nina mtaji wa Tsh. 200 Milioni, ninataka kuwekeza katika biashara ya mbao kule Mafinga

Ma learner uta wajua tu hayo masaa yako kwa mwendo wa tractor hapo sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]
Tuliza wenge! Natumia Mitsubishi double cabin L 200 Spotero!! Nikijivuruga sana Makambako Mbeya ni 1 and half hours,pale ni 182kms!! Sasa Mbeya mafinga unajua ni kms ngapi? I doubt ni sehemu ambazo huzijui au unapitaga tu
 
Mkuu ninayo chain saw ntakukodishia ikusaidie kwa kazi zako ukiwa tayari unichek
 
200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unatafuta na pisi kaliiiii usahau shida kwa mda kidogo
 
Biashara ya mbao itakulipa sana mkuu , Nina uzoefu mkubwa wa biashara hiyo ,na ni biashara ambayo inaendesha maisha kiujumla
 
Hakuna mfanyabiashara hapa. Pia wewe sio Mkenya ingawa umejitahidi uonekane hivyo. Uzi wako umeibua maswali mengi.
 
Mkuu, kwenye hiyo pesa yako chukua nusu yaaani 100 millions kisha weka akiba bank alafu nyingine inayobaki ndio jaribu biashara.
 
200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
Kazi na bata ili kupunguza stress
 
Hela yako ni nzuri kwa hiyo biashara.
Ila napenda kukueleza ukweli kuwa kama wewe sio mzawa wa Tanzania na pia huko mafinga stop that business hutafika mbali .

Usumbufu ni mwingi hasa vibali, bado haujakutana na matapeli na wenye roho za husuda.

But all in all kama unaweza biashara ya kimafia basi hapo ndio pake ingia utapiga hela ila kama ni biashara za kunyooka tu unategemea ufanye huko , ndugu fanya mambo mengine.

Ukiamua kuinvest Tanzania kwenye jambo tofauti na hilo karibu tuelezane safi na chafu.

Cc Mshana Jr
 
Mbeya - Mafinga kwa gari binafsi 2½hrs+
 
ukifungua kampuni utakuwa kama muwekezaji, hiyo hela haitatosha. wenzako wanaolima vitunguu mang'ola na himo wanakuwa na watu wao amabao ni wenyeji wa nchi. wanafanya mambo zao kwa kivuli cha watz. niko hapa nikusaidie hatua kwa hatu
 
Kuna fundi ujenzi namjua ni mkazi na mwenyeji wa Iringa kama utajali naweza kukupa mawasiliano yake inbox uenda akakupa dondoo mbili tatu
Fundi ujenzi na biashara za uvunaji miti wapi na wapi. Hii inatakiwa mtu aliewagi kufanya hiyo biashara kutoka huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…