Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Mbeya makambako ni masaa 2 sasa Mbeya Mafinga inakuwaje lisaa?Labda kama unajifunza kuendesha hapo sawa
Ma learner uta wajua tu hayo masaa yako kwa mwendo wa tractor hapo sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]Mbeya makambako ni masaa 2 sasa Mbeya Mafinga inakuwaje lisaa?
Tuliza wenge! Natumia Mitsubishi double cabin L 200 Spotero!! Nikijivuruga sana Makambako Mbeya ni 1 and half hours,pale ni 182kms!! Sasa Mbeya mafinga unajua ni kms ngapi? I doubt ni sehemu ambazo huzijui au unapitaga tuMa learner uta wajua tu hayo masaa yako kwa mwendo wa tractor hapo sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]
Iweke haapa kwa faida ya watanzania na wakenya wote sisi sote ni dugu moja.Njoo inbox nikushauri tufanye biashara nzuri na inafaida kubwa mno mkuu
Weka hapa kwa faida ya wote, sisi sote ni dugu moja.Nicheki DM!
Aweke hapa kwa faida ya wote.Anaelezwa kibla na wewe unasimama mbele vipi wewe pishaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unatafuta na pisi kaliiiii usahau shida kwa mda kidogo200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
Mkuu, kwenye hiyo pesa yako chukua nusu yaaani 100 millions kisha weka akiba bank alafu nyingine inayobaki ndio jaribu biashara.Habari Wana JF,
Mimi ni mwanabiashara kutoka Nairobi, Kenya. Ninafanya biashara katika sekta za Ujenzi na Real Estate.
Katika pilka pilka za kibiashara, nimekuja kuugundua mji wa Mafinga. Mji wa Mafinga unajulikana kama mji wenye mbao na miti mingi zaidi Tanzania. Kwa sekta yangu ya Ujenzi hapa kenya, kuna demand kubwa sana ya Mbao kwa hivyo soko itakuwa ni hapa Kenya.
Kama nilivyosema kwenye mada, nina mtaji wa millioni mia mbili pesa za Tanzania.
Ningependa kuwekeza katika hii sekta ya mbao kwa kuweka sawmill hapo mafinga.
Je, ni kweli kwamba miti iko available easily?
Biashara hii wakenya tunaruhusiwa kujihusisha nayo pia?
Ninaweza kupata shamba la ku-lease ili niweke hiki kiwanda? Kulease kiwanda itagharimu pesa ngapi hivi per acre.
Mapato ya hii sekta hukuwa vipi?
Bei ya sawmill kule Tanzania ni pesa Ngapi? Hapa Kenya inaanzia Tsh. 60 million kuendelea.
Bei ya miti mafinga ni ngapi hivi?
Nikifanya biashara Mafinga nitaishi wapi? Ningependelea mji ambao ni upper-middle class kwendelea.
Kuna Ndege zinazokwenda route ya Mafinga au Iringa to Arusha?
Kuna taratibu nyingine maalamu kwenye hii biashara ambazo ninafaa kuzijua?
Je, hii biashara inalipa?
Ninaomba ushauri wenu.
Ninashukuru.
Kazi na bata ili kupunguza stress200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama
Mbeya - Mafinga kwa gari binafsi 2½hrs+Ni kweli mji wa mafinga, na mufindi yote kwa ujimla pia mkoa wa njombe kuna miti mingi sana mbao nyingi sana za kutosha.
Kuhusu makazi pindi utakapo kua Tanzania kama uta chagua mafinga tafuta nyumba hapo hapo huwezi kukosa, pia mafinga hakuna kiwanja cha ndege hata iringa sidhani labda uchukue ndege ya arusha Dar mbeya ukitua mbeya uchukue costa mpaka mafinga sio mbali ni mwendo wa saa moja na nusi au saa moja tu kuhusu kibali cha kusafirisha Kenya sifahamu na menginyo wanakuja.
Naona kama anajitahidi kupindisha kiswahili cha kibongoHakuna mfanyabiashara hapa. Pia wewe sio Mkenya ingawa umejitahidi uonekane hivyo. Uzi wako umeibua maswali mengi.
Fundi ujenzi na biashara za uvunaji miti wapi na wapi. Hii inatakiwa mtu aliewagi kufanya hiyo biashara kutoka huko.Kuna fundi ujenzi namjua ni mkazi na mwenyeji wa Iringa kama utajali naweza kukupa mawasiliano yake inbox uenda akakupa dondoo mbili tatu
Haina Kaz kivip boss bas wee Kama una pesa mpe mdg ako hyo kumi unaoona Haina KazKwa mahesabu yako mil200 ni pesa ndogo sana! Ukikua utaelewa! Mil10 tu yenyewe kwa sasa haina kazi