Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Ipi hiyo boss?
Kwa pesa hiyo sio ndogo kwamaana kuna watu wananunua ngo'mbe 10 wanakuja wanawauza kisha wanafuata wengine na maisha yanakwenda vizuli . Unaweza kuanza lkn kabla ya yote fanya kwanza ujue soko nk . Nimekupa wazo la biashara yako, sasa tutoke hapo boss
Bonafsi sikushauli kufanya biashara hiii kwa maana ina changamoto nyingi sana, kama unataka biashara ya kusafili , nenda kanunue mahindi, maharage lete dar , utauza, peleka manze pale madalali wanakupa mteja unaenda unauza, maharade unaweza peleka tandika nk ..
Lkn kuna biashara nyingi ambazo kwa mtaji wako unaweza fanya tu, kuna jamaa ana mtaji wa milion 10 , tigo pesa, m-pesa, nmb wakala ,crdb wakala nk , kwa mwezi anapata faida ya milioni 2. Kuna mtu ana mtaji wa milioni 4 anafanya biashara ya kuuza vinywaji lain julma na reja reja, soda maji, juic nk kwa mwezi anapata faida ya laki 9.
, nimekupa mchanganuo huo, lkn kuna biashara moja siwezi weka hapa njoo mp nikulishe madini,
Ng'ombe watakufilisi