Nina mtaji wa Tsh. Milioni 5. Nipo mkoa wa Songwe

Nina mtaji wa Tsh. Milioni 5. Nipo mkoa wa Songwe

Niliwahi kufanya hii msimu flani,

ilinicost kutokana na kushindwa kuujua mpunga mzuri, kwahiyo nilinunua mpunga (kamsamba) baada ya kuukoboa (mlowo) nikapata chenga kwa kiasi kikubwa aisee...

ikanikatisha tamaa yan, bado sijafwatilia kujua wazoefu wanapambanaje kuepukana na hili...

kama una uzoefu wowote naomba unipe ABCs boss🤲
Hapo mchani ni hiyo mashine uliyotumia kukoboa.
 
Hapo mchani ni hiyo mashine uliyotumia kukoboa.
ahaa... kwani mbegu huwa hazichangii kwenye hili?

asilimia kubwa waliniambia kwqmba mbegu ndio tatizo... wakashauri niwe makini kweny uchaguzi wa mpunga, ikibidi niwe na mwenyeji anaewajua vzuri wakulima wenzake pamoja na mbegu wanazotumia... ndio nimtumie kukusanya mzigo
 
Habari za majukumu waheshimiwa[emoji112]
naamini mko salama...

Ndugu yenu hapa, kwenye moja na mbili za utafutaji nimekusanya Tsh. 5,000,000/=

kilichonileta hapa ni kupata ushauri kwa wenye uzoefu kidogo kwenye uchaguzi wa biashara ya kuingia kati ya hizi

1. Spea za pikipiki (coz nina uzoefu kwenye biashara ya bodaboda (kutoa mkataba) kwa miaka miwili)

2. Second hand phones from dubai and their accessories (coz ninajuana na wadau wengi wanaofanya hii kitu)

3. Electrical and electronics devices (coz naipenda)

4. Vifaa vya ujenzi ( coz kwa sehemu ninapoenda kuish mji bado mpya ndo unajengwa, kwa hapa... changamoto nafkiri kwamba mtaji ni mdogo)

au kama kuna option nyingine iliyo nzuri zaid ya nilizotaja sio mbaya pia

Nahitimu chuo next month (BACHELOR DEGREE IN COMPUTER ENGINEERING)

NaTaNgUlIzA ShUkRaNi ZaNgu KwEnU [emoji1488][emoji1488]
Nunua guta (bajaji ya mizigo) utapiga hela mpaka uzeeni mwako.
 
Ndio ipi hiyo
Na hisi ni hili
20230516_113941.jpg
 
Habari za majukumu waheshimiwa👋
naamini mko salama...

Ndugu yenu hapa, kwenye moja na mbili za utafutaji nimekusanya Tsh. 5,000,000/=

kilichonileta hapa ni kupata ushauri kwa wenye uzoefu kidogo kwenye uchaguzi wa biashara ya kuingia kati ya hizi

1. Spea za pikipiki (coz nina uzoefu kwenye biashara ya bodaboda (kutoa mkataba) kwa miaka miwili)

2. Second hand phones from dubai and their accessories (coz ninajuana na wadau wengi wanaofanya hii kitu)

3. Electrical and electronics devices (coz naipenda)

4. Vifaa vya ujenzi ( coz kwa sehemu ninapoenda kuish mji bado mpya ndo unajengwa, kwa hapa... changamoto nafkiri kwamba mtaji ni mdogo)

au kama kuna option nyingine iliyo nzuri zaid ya nilizotaja sio mbaya pia

Nahitimu chuo next month (BACHELOR DEGREE IN COMPUTER ENGINEERING)

NaTaNgUlIzA ShUkRaNi ZaNgu KwEnU 🙏🏾🙏🏾
Nunua mahindi pakia kwenye fuso gunia 100 @50,000 pakia kwenye fuso tandam zije dodoma, nalipa 7,000,000 faida yako Milioni Moja, usafiri Milioni moja
 
Komaa na hiyo "moja n mbili" utafika mbali
tatizo kwenye hii ninayoifanya mpaka sasa ambayo ni (PASSIVE BUSINESS)... kuna changamoto nyingi sana, na kipato chake ni kidogo ukilinganisha na mtaji uliowekezwa...

hata hivyo nilikua naendelea kuipambania kwasababu bado nipo shule, sina muda wa kutosha kufanya ACTIVE BUSINESS...


Ila kwa sasa naelekea kumaliza chuo(one month ahead) ... thats why nimetoa kiasi hichio kwaajili ya biashara nyingine... lakini simaanishi kwamba ile ya kwanza naiua kabisa... naendelea nayo pia, coz hii ya xamani haihitaji muda wangu mwingi.

Au nakosea wakuu🤔🙄

ushauri wenu ni wa muhimu sana hapa
 
Nunua mahindi pakia kwenye fuso gunia 100 @50,000 pakia kwenye fuso tandam zije dodoma, nalipa 7,000,000 faida yako Milioni Moja, usafiri Milioni moja
Sounds great✌🏾... nashukuru mkuu

ngoja hili niliangalie kwa ukaribu
 
Hela ya boooom umedunduliza olus ku bet , now mambo mazurii
 
Hela ya boooom umedunduliza olus ku bet , now mambo mazurii
 
Hela ya boooom umedunduliza olus ku bet , now mambo mazurii
 
Niliwahi kufanya hii msimu flani,

ilinicost kutokana na kushindwa kuujua mpunga mzuri, kwahiyo nilinunua mpunga (kamsamba) baada ya kuukoboa (mlowo) nikapata chenga kwa kiasi kikubwa aisee...

ikanikatisha tamaa yan, bado sijafwatilia kujua wazoefu wanapambanaje kuepukana na hili...

kama una uzoefu wowote naomba unipe ABCs boss🤲
Kuna mdada naye ilimkuta hii nilimwonea huruma. Aliuza kwa taabu kwa watu aliofahamiana nao coz zilikuwa chenga lakini zinanukia vizuri.

Ngoja mdau aje atueleweshe. Ila Mbeya na Songwe hii mikoa kutoka kimaisha ni rahisi sana hasa kwenye kilimo au biashara ya mazao cha muhimu mtaji na uzoefu wa soko
 
Nunua mahindi pakia kwenye fuso gunia 100 @50,000 pakia kwenye fuso tandam zije dodoma, nalipa 7,000,000 faida yako Milioni Moja, usafiri Milioni moja
Soko lipo la uhakika yaani mzigo unafika na kuuzwa hapohapo? Au inabidi uanze kutafuta wateja. Maana kukaa na kuanza kutafuta wateja ni gharama lazima nayo ipigiwe mahesabu
 
Back
Top Bottom