niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Hapo mchani ni hiyo mashine uliyotumia kukoboa.Niliwahi kufanya hii msimu flani,
ilinicost kutokana na kushindwa kuujua mpunga mzuri, kwahiyo nilinunua mpunga (kamsamba) baada ya kuukoboa (mlowo) nikapata chenga kwa kiasi kikubwa aisee...
ikanikatisha tamaa yan, bado sijafwatilia kujua wazoefu wanapambanaje kuepukana na hili...
kama una uzoefu wowote naomba unipe ABCs boss🤲
ahaa... kwani mbegu huwa hazichangii kwenye hili?Hapo mchani ni hiyo mashine uliyotumia kukoboa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Njoo kwanza mbeya carnival mafiat mataa hapa
Nunua guta (bajaji ya mizigo) utapiga hela mpaka uzeeni mwako.Habari za majukumu waheshimiwa[emoji112]
naamini mko salama...
Ndugu yenu hapa, kwenye moja na mbili za utafutaji nimekusanya Tsh. 5,000,000/=
kilichonileta hapa ni kupata ushauri kwa wenye uzoefu kidogo kwenye uchaguzi wa biashara ya kuingia kati ya hizi
1. Spea za pikipiki (coz nina uzoefu kwenye biashara ya bodaboda (kutoa mkataba) kwa miaka miwili)
2. Second hand phones from dubai and their accessories (coz ninajuana na wadau wengi wanaofanya hii kitu)
3. Electrical and electronics devices (coz naipenda)
4. Vifaa vya ujenzi ( coz kwa sehemu ninapoenda kuish mji bado mpya ndo unajengwa, kwa hapa... changamoto nafkiri kwamba mtaji ni mdogo)
au kama kuna option nyingine iliyo nzuri zaid ya nilizotaja sio mbaya pia
Nahitimu chuo next month (BACHELOR DEGREE IN COMPUTER ENGINEERING)
NaTaNgUlIzA ShUkRaNi ZaNgu KwEnU [emoji1488][emoji1488]
Ndio ipi hiyoNunua guta (bajaji ya mizigo) utapiga hela mpaka uzeeni mwako.
Nunua mahindi pakia kwenye fuso gunia 100 @50,000 pakia kwenye fuso tandam zije dodoma, nalipa 7,000,000 faida yako Milioni Moja, usafiri Milioni mojaHabari za majukumu waheshimiwa👋
naamini mko salama...
Ndugu yenu hapa, kwenye moja na mbili za utafutaji nimekusanya Tsh. 5,000,000/=
kilichonileta hapa ni kupata ushauri kwa wenye uzoefu kidogo kwenye uchaguzi wa biashara ya kuingia kati ya hizi
1. Spea za pikipiki (coz nina uzoefu kwenye biashara ya bodaboda (kutoa mkataba) kwa miaka miwili)
2. Second hand phones from dubai and their accessories (coz ninajuana na wadau wengi wanaofanya hii kitu)
3. Electrical and electronics devices (coz naipenda)
4. Vifaa vya ujenzi ( coz kwa sehemu ninapoenda kuish mji bado mpya ndo unajengwa, kwa hapa... changamoto nafkiri kwamba mtaji ni mdogo)
au kama kuna option nyingine iliyo nzuri zaid ya nilizotaja sio mbaya pia
Nahitimu chuo next month (BACHELOR DEGREE IN COMPUTER ENGINEERING)
NaTaNgUlIzA ShUkRaNi ZaNgu KwEnU 🙏🏾🙏🏾
tatizo kwenye hii ninayoifanya mpaka sasa ambayo ni (PASSIVE BUSINESS)... kuna changamoto nyingi sana, na kipato chake ni kidogo ukilinganisha na mtaji uliowekezwa...Komaa na hiyo "moja n mbili" utafika mbali
Ukiwa tayari niambieSounds great✌🏾... nashukuru mkuu
ngoja hili niliangalie kwa ukaribu
Tofauti na mahindi nikuletee nini kingineNunua mahindi pakia kwenye fuso gunia 100 @50,000 pakia kwenye fuso tandam zije dodoma, nalipa 7,000,000 faida yako Milioni Moja, usafiri Milioni moja
Kuna mdada naye ilimkuta hii nilimwonea huruma. Aliuza kwa taabu kwa watu aliofahamiana nao coz zilikuwa chenga lakini zinanukia vizuri.Niliwahi kufanya hii msimu flani,
ilinicost kutokana na kushindwa kuujua mpunga mzuri, kwahiyo nilinunua mpunga (kamsamba) baada ya kuukoboa (mlowo) nikapata chenga kwa kiasi kikubwa aisee...
ikanikatisha tamaa yan, bado sijafwatilia kujua wazoefu wanapambanaje kuepukana na hili...
kama una uzoefu wowote naomba unipe ABCs boss🤲
Soko lipo la uhakika yaani mzigo unafika na kuuzwa hapohapo? Au inabidi uanze kutafuta wateja. Maana kukaa na kuanza kutafuta wateja ni gharama lazima nayo ipigiwe mahesabuNunua mahindi pakia kwenye fuso gunia 100 @50,000 pakia kwenye fuso tandam zije dodoma, nalipa 7,000,000 faida yako Milioni Moja, usafiri Milioni moja
Biashara ya ndizi na viazi mduara imekaaje mkuu?Tofauti na mahindi nikuletee nini kingine