Mimi napokea mzigo nakulipa hapo hapo, nanunua kwa jumla sasa ivi @70,000 kwa gunia hapa dodoma. Yakichanganya nitashusha bei kwa kadri ya soko litakapokuwaSoko lipo la uhakika yaani mzigo unafika na kuuzwa hapohapo? Au inabidi uanze kutafuta wateja. Maana kukaa na kuanza kutafuta wateja ni gharama lazima nayo ipigiwe mahesabu
Mchele sh ngapi?Tofauti na mahindi nikuletee nini kingine
Sawa mkuu. Ni zao gani lingine lina soko ambalo una uzoefu nalo au huwa unanunua pia?Mimi napokea mzigo nakulipa hapo hapo, nanunua kwa jumla sasa ivi @70,000 kwa gunia hapa dodoma. Yakichanganya nitashusha bei kwa kadri ya soko litakapokuwa
Kusini niliko mchele haulimwiMchele sh ngapi?
Mm sijawa na uzoefu na mazao mengineSawa mkuu. Ni zao gani lingine lina soko ambalo una uzoefu nalo au huwa unanunua pia?
Mkuu mchele vipi bei yake now huko Dodoma?Mm sijawa na uzoefu na mazao mengine
Mimi napokea mzigo nakulipa hapo hapo, nanunua kwa jumla sasa ivi @70,000 kwa gunia hapa dodoma. Yakichanganya nitashusha bei kwa kadri ya soko litakapokuwa
MjiniKaka uko dodoma sehemu gani
Mjini
Bado cjafuatilia lakn upo kati ya 2500-3500Huko mchele bei gani
Afu iyo ya phone used uta kabwa tu na wateja itor kwenye list ni ya watu wa mjini mjini .janja janja nyingi
Inawezekana mpunga alionunua pia ulichelewa kukaukaHapo mchani ni hiyo mashine uliyotumia kukoboa.
Kwahiyo wanyamwanga ni washamba hivi?Nenda Tunduma maeneo ya Kisimani na Black Kwa wauza maturubai na vyombo vya plastic chukuwa kiasi nenda navyo Kamsamba, Chiliamatundu, na vijiji vingine uwauzie wakulima wa Mpunga, kwenye lile blonde utapiga Hela sana. ukimaliza unahamia Kasende, Iyendwe, ukiweza chukuwa na Vitenge pale Black Kwa Kina Momba. Au Chukuwa vipodozi pale Black upeleke Mbeya mjini na Iringa hapo waone magwiji wa Black wakusadie jinsi ya kusafirisha mizigo