Nina mtaji wa Tsh. Million 15, nahitaji muongozo

Nina mtaji wa Tsh. Million 15, nahitaji muongozo

Ahaaa ishu Iko ivi mzee alikat moto alituachia Mali ziko na Maza ,mimi Maza akaniachia mashne ya kusaga niendeshe pesa zangu
Baadae nikaingia kwenye kilimo Cha viaz kule ndo nlikokuzia mtaji fasta lakin sipend kilimo mana nikazi ngumu sana ndomana natak niingie kweNy biasharaView attachment 2696001
Endeleza kwenye hizo mashine mkuu utanishukuru baadae
 
Ebu elezea ilikuaje icje ikawa CHAI!
Sio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .

Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
 
Sio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .

Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
Duh so sad mkuu ,naamin mlimpa therapy kidogo kisaikolojia
 
Sio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .

Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
sasa mzee kufanya project kubwa hivo ya kilimo uku ukitegemea mvua si ndo tuna hitaji ujuha huo?
kabla huja ingia kwenye kilimo hakikisha kuna source ya uhakika ya maji iwe ni kisima,mto,bwawa,maji ya kuvuna etc...
yaani uwekeze more than 150M kwenye kilimo cha kutegemea mvua only in bongo ndo utakutana na mambo kama haya
 
sasa mzee kufanya project kubwa hivo ya kilimo uku ukitegemea mvua si ndo tuna hitaji ujuha huo?
kabla huja ingia kwenye kilimo hakikisha kuna source ya uhakika ya maji iwe ni kisima,mto,bwawa,maji ya kuvuna etc...
yaani uwekeze more than 150M kwenye kilimo cha kutegemea mvua only in bongo ndo utakutana na mambo kama haya
Ndo hvo Home Boy, Tulipotea Mchezoni
 
Niseme nimeingia kutafut pesa mtaan mwak 2020 vyanzo vyang by mapay vimkuw mashn y kusag,kupig mahnd na kilimo ambch nimlim miak miwill.All in all itategmea bei ya viaz
Nb ekar 3 zinatosh kukupa 15m na ekar moj hugarim 1 mpak 1.5 milion kulim inategemea Bei ya pembjeo
Kumbe una Chimbo linakupa pesa, ongeza bidii hapohapo,ongeza ekari 6 sasa then next year nyingine 6 mpaka zifike 100
 
Sio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .

Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
200m alafu unategemea mvua aiseee watu ni majasiri duh
 
Kule Home Boy mwanzo tulitest kama 50M hivi ikaleta mambo mazuri sana ila tuliambiwa Mara ushirikiana asee.
Information is more than Cash kwenye Uwekezaji.
Hiyo 50mil ni kama bahati tu mliponea chupuchupu
200mil ilitakiwa kuwe na miundombinu kabisa masuala ya kutegemea mvua hayakupaswa kuwepo
 
Back
Top Bottom