Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Endeleza kwenye hizo mashine mkuu utanishukuru baadaeAhaaa ishu Iko ivi mzee alikat moto alituachia Mali ziko na Maza ,mimi Maza akaniachia mashne ya kusaga niendeshe pesa zangu
Baadae nikaingia kwenye kilimo Cha viaz kule ndo nlikokuzia mtaji fasta lakin sipend kilimo mana nikazi ngumu sana ndomana natak niingie kweNy biasharaView attachment 2696001