Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Endeleza kwenye hizo mashine mkuu utanishukuru baadaeAhaaa ishu Iko ivi mzee alikat moto alituachia Mali ziko na Maza ,mimi Maza akaniachia mashne ya kusaga niendeshe pesa zangu
Baadae nikaingia kwenye kilimo Cha viaz kule ndo nlikokuzia mtaji fasta lakin sipend kilimo mana nikazi ngumu sana ndomana natak niingie kweNy biasharaView attachment 2696001
Ebu elezea ilikuaje icje ikawa CHAI!Usiende kulima hata dakika moja
Rafiki yangu alipoteza hela shambani
Huko mpanda 160M
Huwez kunishauri kuhusu kilimo.
Sio Chai kakaEbu elezea ilikuaje icje ikawa CHAI!
Duh so sad mkuu ,naamin mlimpa therapy kidogo kisaikolojiaSio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .
Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
Tuliwalipa zote na penaltyDuh so sad mkuu ,naamin mlimpa therapy kidogo kisaikolojia
sasa mzee kufanya project kubwa hivo ya kilimo uku ukitegemea mvua si ndo tuna hitaji ujuha huo?Sio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .
Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
Ndo hvo Home Boy, Tulipotea Mchezonisasa mzee kufanya project kubwa hivo ya kilimo uku ukitegemea mvua si ndo tuna hitaji ujuha huo?
kabla huja ingia kwenye kilimo hakikisha kuna source ya uhakika ya maji iwe ni kisima,mto,bwawa,maji ya kuvuna etc...
yaani uwekeze more than 150M kwenye kilimo cha kutegemea mvua only in bongo ndo utakutana na mambo kama haya
Kumbe una Chimbo linakupa pesa, ongeza bidii hapohapo,ongeza ekari 6 sasa then next year nyingine 6 mpaka zifike 100Niseme nimeingia kutafut pesa mtaan mwak 2020 vyanzo vyang by mapay vimkuw mashn y kusag,kupig mahnd na kilimo ambch nimlim miak miwill.All in all itategmea bei ya viaz
Nb ekar 3 zinatosh kukupa 15m na ekar moj hugarim 1 mpak 1.5 milion kulim inategemea Bei ya pembjeo
200m alafu unategemea mvua aiseee watu ni majasiri duhSio Chai kaka
Yani Jamaa ni Mfanyabiashara mzuri tu, sasa akapewa deal la kwenda kulima Mahindi Mpanda
Akatenga kama 200M .
Akashuka kutoka lake zone akachukua uelekeo mpaka kusini mwa Tanzania
Akalima fresh sasa yamekua na maendeleo mazuri baadae mvua zikazngua
Alipata hasara kubwa sana na Equity kulikua na deni la hela kadhaa ...
Kilimo ntalipa Kwa kununua
Kule Home Boy mwanzo tulitest kama 50M hivi ikaleta mambo mazuri sana ila tuliambiwa Mara ushirikiana asee.200m alafu unategemea mvua aiseee watu ni majasiri duh
Hiyo 50mil ni kama bahati tu mliponea chupuchupuKule Home Boy mwanzo tulitest kama 50M hivi ikaleta mambo mazuri sana ila tuliambiwa Mara ushirikiana asee.
Information is more than Cash kwenye Uwekezaji.
Tulikua tumejipanga sana mpk trektaHiyo 50mil ni kama bahati tu mliponea chupuchupu
200mil ilitakiwa kuwe na miundombinu kabisa masuala ya kutegemea mvua hayakupaswa kuwepo
Trekta peke yake halitoshi, kwa 200m maji na wataalam mgeweza kumudu, acheni kamari kwenye vitu seriousTulikua tumejipanga sana mpk trekta
Matajiri wa Ziwani wanaamini sana uchawi kuliko Uhalisia Mkuu WanguTrekta peke yake halitoshi, kwa 200m maji na wataalam mgeweza kumudu, acheni kamari kwenye vitu serious
Hongera SanaAhaaa ishu Iko ivi mzee alikat moto alituachia Mali ziko na Maza ,mimi Maza akaniachia mashne ya kusaga niendeshe pesa zangu
Baadae nikaingia kwenye kilimo Cha viaz kule ndo nlikokuzia mtaji fasta lakin sipend kilimo mana nikazi ngumu sana ndomana natak niingie kweNy biasharaView attachment 2696001
Sema inavyoonekana hiyo pesa kuna mahali ameipata na huku kwenye kilimo ni kama hajapawekea msisitizoMatajiri wa Ziwani wanaamini sana uchawi kuliko Uhalisia Mkuu Wangu
Yeah Tulikua tunanunua Samaki na Dagaa chakula ya kuku pia Logistics i.e Simenti na mafutaSema inavyoonekana hiyo pesa kuna mahali ameipata na huku kwenye kilimo ni kama hajapawekea msisitizo
Ndio maana mnaona hata mkipoteza kuna mahali bado mtapata pesaYeah Tulikua tunanunua Samaki na Dagaa chakula ya kuku pia Logistics i.e Simenti na mafuta
SahihiNdio maana mnaona hata mkipoteza kuna mahali bado mtapata pesa
Kilimo mmekifanya kama sehemu ya kwenda kutembea tuSahihi