Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
njoo pm mremboBora ujipatie zako mume wa mtu anaevaa zake pete hata hupati stress😀
Hakika mkayajengenjoo pm mrembo
😀😀😀 ebu tupe faida zaoBora ujipatie zako mume wa mtu anaevaa zake pete hata hupati stress😀
njoo pm mrembo
😀😀😀 ebu tupe faida zao
Kwanini mnapenda waume za watuBora ujipatie zako mume wa mtu anaevaa zake pete hata hupati stress[emoji3]
Kwanini mnapenda waume za watu
1 Makelele ya wake zaoKwanini waume za watu hawatulii huko ndani kwao wanahangaika njee[emoji3526]
1 Makelele ya wake zao
2 Kunyimwa unyumba
3 Tamaa
Makosa ya kunyima unyumba hiyo BIla kipingamizi ni yenu.Kuhusu makelele inategemea.Sasa je makosa ni yetu au yenu
Tuwekee angalau kidogo tuweze kujifunzaSiri za kambi
karibuHeee[emoji3][emoji3][emoji3]
Tuwekee angalau kidogo tuweze kujifunza
Peleka sonara wakaitanue acha visingizio vya kuhalalisha zinaaKutokana na changamoto ya kunenepa vidole, imepelekea pete zetu kuwa ndogo, na kuonekana kama adhabu pale tunapo zivaa.
Kwa upande wangu, ni mwaka wa sita huu huwa sivai pete ya ndoa zaidi ya kuishi katika maadili ya ndoa tu.
Hii imepelekea wadada kujipitisha pitisha, wakiamini nipo singo; na wale waliobahatika kuonja mvinyo, hawataki kuniacha niende.
Je, kutokuvaa pete ya ndoa ni makosa?
Hata wa nje akiwekwa ndani nae atakuwa na Tabia zile zile,thus wote wanafanana1 Makelele ya wake zao
2 Kunyimwa unyumba
3 Tamaa
Sasa mbona kote moto ni ule uleHata wa nje akiwekwa ndani nae atakuwa na Tabia zile zile,thus wote wanafanana
Kutokana na changamoto ya kunenepa vidole, imepelekea pete zetu kuwa ndogo, na kuonekana kama adhabu pale tunapo zivaa.
Kwa upande wangu, ni mwaka wa sita huu huwa sivai pete ya ndoa zaidi ya kuishi katika maadili ya ndoa tu.
Hii imepelekea wadada kujipitisha pitisha, wakiamini nipo singo; na wale waliobahatika kuonja mvinyo, hawataki kuniacha niende.
Je, kutokuvaa pete ya ndoa ni makosa?
Sisi waislam tunavaaa Pete za majini tuuu na hatuna shida mbonaKutokana na changamoto ya kunenepa vidole, imepelekea pete zetu kuwa ndogo, na kuonekana kama adhabu pale tunapo zivaa.
Kwa upande wangu, ni mwaka wa sita huu huwa sivai pete ya ndoa zaidi ya kuishi katika maadili ya ndoa tu.
Hii imepelekea wadada kujipitisha pitisha, wakiamini nipo singo; na wale waliobahatika kuonja mvinyo, hawataki kuniacha niende.
Je, kutokuvaa pete ya ndoa ni makosa?
Mnajisifia kuvaa Pete za majiniSisi waislam tunavaaa Pete za majini tuuu na hatuna shida mbona