Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inabidi ufanye uvumbuzi sasa, uje na kitu ambacho wengi hawakifanyi ili kampuni yako iweze kuvuma na kukuaAliye jiajiri mkuu wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi ufanye uvumbuzi sasa, uje na kitu ambacho wengi hawakifanyi ili kampuni yako iweze kuvuma na kukuaAliye jiajiri mkuu wangu
That is good .Naona mambo yangu yanaenda vilw navotaka..
Mkuu natumia katika biashara na mambo ya beting
Huwezi ukaamua kujiita maskini wakati hapo hapo unataka utajiri au una ndoto zakuwa tajiri? Sawa nakujaza maji kwenye gunia huku ukiwa na mategemeo gunia kujaa majiUnaweza kuwa na elimu ambayo mimi sina
MKuu naomba kufahamu jina lina m LIMIT vipi mtu asitimize ndoto zake. Kwa mtazamo wangu naona ni ishu ya kuwa Hardworking,creative, Right people,Capital, support........nk
Mbona jamaa anajiita zero brain wa Ticktock anakimbiza na kuna tetesi kuwa ndo mzalishaji maudhui anayelipwa hela nyingi Sana Tanzania.Huwezi ukaamua kujiita maskini wakati hapo hapo unataka utajiri au una ndoto zakuwa tajiri? Sawa nakujaza maji kwenye gunia huku ukiwa na mategemeo gunia kujaa maji
Ni ngumu pengine kuweza kunielewa, ila yahitaji ufikiri wa nje ya box
Unaweza kuwa na hela sawa na ukawa na uhaba wa maarifa kichwani vilevile ( zero brain)Mbona jamaa anajiita zero brain wa Ticktock anakimbiza na kuna tetesi kuwa ndo mzalishaji maudhui anayelipwa hela nyingi Sana Tanzania.
Kuna watu wanaitwa
Baraka
Neema
Lakini hakuna kinachotokea kwao so is nothing
Inawezekana ila ukiona MTUUnaweza kuwa na hela sawa na ukawa na uhaba wa maarifa kichwani vilevile ( zero brain)
Endelea kuota mkuu ila saa 10 usiku sais alfajiri inakaribiaNina ndoto za kuja kuwa DIRECTOR mkubwa afrika mashariki na kati..
Naamini Mungu yupo
Naamini katika jutihada zangu nitafanikisha hilo..
Kama na wewe unaamini una ndoto fanya juhudi zako ila ikifika mida kama hii (Usiku wa manane) kaa peke ako lia kwa Mungu wako.
Sema kile unachohutaji be specific unataka nini.
Sema kwa sauti unataka nini usiogope.
Kaa peke ako kama kuna mabaya ulifanya au kufanyia watu omba msamaha. Jisafishe kwanza
Wakuu haya maisha yanaenda usione watu wanafanikiwa tuu ukasema ni kujituma tu.
Hapana nyuma ya yote hayo kuna IMANI haijalishi wewe ni mtu wa ibada au laa ila kama unaamini kuna ONE basi jua tayari upo connected.
Be humble. All in all tupendane tuishi kwa upendo na FURAHA
Papii kocha Song Waambie
Acha kujichuaEndelea kuota mkuu ila saa 10 usiku sais alfajiri inakaribia